babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Tayari kashajiunga sasa afahamishwe nini badala yeye ndo atufahamishe,Wabongo kwa kujump to conclusion hatujambo yani mleta mada kaomba kufahamu kuhusu hilo kampuni watu wanaanza kumtukana mala wajinga hawishi mara nini.
Kama kuna mtu nalifahamu vyema hilo kampuni si amjuze mana ndio hitaji la mleta mada.
#MaendeleoHayanaChama
Huyu mwehu tu