Hujanielewa concept yangu, kinachotakiwa ni VALUE sio QUANTITY ya walipaji!! Kodi ya FDIs kubwa 100 zina offset Kodi za wamachinga wote!!
Kingine unielewe, Kodi nyingi in VALUE zinatokana na indirect tax, haya matozo, Kodi za miamala, VAT kwenye bidhaa zinaingiza pesa nyingi kuliko PAYE au Corporate Tax!! Sababu Kila mtu ananunua bidhaa whether ana kazi au Hana, ila hao wanaolipa DIRECT TAX ni fraction tu ya tax base.
So ni makosa kudhani waTanzania million 30 hawalipi Kodi ilihali wananunua bidhaa ambazo kama nilivyoeleza hapo juu Zina SHIFTABLE TAX yaani mzigo wa Kodi wa mzalishaji anaishia kulipa mteja wa mwisho.