Kuna anayejua Pesa za Kodi, Tozo, Misaada na Mikopo zinakwenda wapi?

Kuna anayejua Pesa za Kodi, Tozo, Misaada na Mikopo zinakwenda wapi?

Mkuu, miradi haiishi na haitawahi Isha. Kinachotumiwa ni kufanya kulingana na uwezo wetu. Mikopo hataweza kumaliza umaskini wetu..... Especially kama uwezo wa kulipa utakuwa compromised.
 
Mkuu, miradi haiishi na haitawahi Isha. Kinachotumiwa ni kufanya kulingana na uwezo wetu. Mikopo hataweza kumaliza umaskini wetu..... Especially kama uwezo wa kulipa utakuwa compromised.
Je Upo tayari kutekeleza huu ushauri hapa ?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-174641.png
    Screenshot_20220722-174641.png
    99.1 KB · Views: 4
Nikienda dukani kununua kitu kikubwa nadai risiti ila nikinunue pipi sidai risiti mm.
mimi nna kama miezi mitatu sijapewa risiti labda sinunui sana au
 
Habari JF,

Mimi kama mtanzania wa hali ya chini nimekuwa nikifuatilia namna wananchi tunavyolipa kodi na Tozo mbali mbali lakini kuna mikopo mikubwa sana tumechukua ndani ya kipindi kifupi.

Kila nikijaribu kufuatilia pesa hizi zinatumika wapi sipati majibu sahihi, wengine wanasema JPM aliacha Nchi haina pesa kabisa hivyo zinapelekwa kwenye miradi, ukiwauliza mbona mpaka anaondoka miradi ilikuwa inaendelea vizuri? Wanakosa majibu.

Baadhi wanasema zinakwenda kwenye mirafi mipya, ukiwauliza ni miradi ipi hiyo mikubwa ya trilions of money wanakosa Jibu.

Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.

Swali kwa wale wanaojua pesa hizi zinakwenda wapi atoe jibu tafadhari ,ili nikatwe kodi/tozo nikiwa na Amani.
Ulipoambiwa kura za Lissu zimeibiwa ukafikiri kaibiwa Lissa ukakaambali lafu utegemea kila kitu kiende sawa
 
Habari JF,

Mimi kama mtanzania wa hali ya chini nimekuwa nikifuatilia namna wananchi tunavyolipa kodi na Tozo mbali mbali lakini kuna mikopo mikubwa sana tumechukua ndani ya kipindi kifupi.

Kila nikijaribu kufuatilia pesa hizi zinatumika wapi sipati majibu sahihi, wengine wanasema JPM aliacha Nchi haina pesa kabisa hivyo zinapelekwa kwenye miradi, ukiwauliza mbona mpaka anaondoka miradi ilikuwa inaendelea vizuri? Wanakosa majibu.

Baadhi wanasema zinakwenda kwenye mirafi mipya, ukiwauliza ni miradi ipi hiyo mikubwa ya trilions of money wanakosa Jibu.

Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.

Swali kwa wale wanaojua pesa hizi zinakwenda wapi atoe jibu tafadhari ,ili nikatwe kodi/tozo nikiwa na Amani.
Hivi na zile zilizokua zinaporwa Kwa watu kupitia ofisi ya DPP zilienda wapi?
 
Hela zooote hizo zikikusanywa Hazitoshi hata budget yetu kujitegemea wenyewe, tuna tegemea wafadhili watuongezee

Nchi ina watu zaidi ya milioni 60, milioni 2 tu ndo walipakodi, hizo hela unazoona ni nyingi Hazitoshi hata kidogo.

Tra wanakusanya Around Trilioni 1, kwa mwaka ni kama Trilioni 18, Hapo Kuna Trilioni 6 mishahara na Trilioni 7 deni la Taifa, hapo Tayari umekaribia kumaliza hela yote

Bado Kuna Miradi ya Matrilioni ya Hela karibia 20 na matumizi mengine yasiyo Mishahara ya Serikali Takriban Trilioni 4.

Kasome budget yako mambo yote yameelezewa

Hajui kitu huyo ni bendera fuata upepo
 
Ukimpa data anachukia yeye shida yake anataka kusikia kuwa serikali imefeli Ili amtukuze marehemu wake
 
Siyo kweli labda useme wenye TIN number. Kodi karibia kila mtu hulipia labda mfumo ndo haujakaa sawa. Kwenye bidhaa wanalipia, betting huko ndo usiseme kila siku wanalipia, mafuta ukinunua wanalipia kodi tayari. Unasemaje ni mil.2 ndo walipa kodi?
Tupe wewe data walipa Kodi waliosajiliwa TRA na wana tin number ni wangapi? Tupe takwimu sahihi
 
Basi hii nchi haiko systematically. Mwenye kituo kila mwezi analipa kodi fixed amount au ina vary kulingana na mauzo? Kama ina vary lazma umhesabie mtumiaji kuwa nae analipa ndo maana bei inakuja ikihusisha na kodi humo humo na mlipaji ni huyo mlaji.
Kwanza una tin number? Kwa sababu nyie mnaolialia hapa utakuta ndio wanyonyaji wakubwa
 
So what Next? Bakhresa sio Tajiri sababu umetoa hela yako kununua Bidhaa yake?

Huyo alietoa hela Kubeti chanzo alichotumia kupata hela Amelipa Kodi? Ukifikiria kwa muono huo ndio utaelewa kwanini walipa kodi ni milioni 2.
Unajipa kazi hatakaa akuelewe
 
Back
Top Bottom