HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeelewekaWing wetu na hela vinahusiana vip mana hamna anae kula Serikalin maskin wote wapo bize na bado wananyonywa
Sheria ya Nchi ipo wazi ukiwa unaingiza zaidi ya milioni 4 Tra inakuhusu.Tatizo wengi wa hao wapo informal sector, ila wanalipa Kodi indirect nyingi tu mfano hawana account za benki ila wanakatwa Kodi kwenye miamala ya M pesa. Hawakatwi PAYEE ila wanakatwa tozo mbali mbali kwenye biashara na ujasiriamali wanaofanya.
Hao Kenya walichofanya ni kuformalise kazi nyingi mpaka wanaochomelea na kuuza vyuma chakavu Wana trade unions zao na wanakatwa Kodi which in turn Tanzania wapo ila hawajawa formalized tu.
Na kingine uwezo wa kukusanya Kodi sio kuongeza namba ya walipa Kodi ILA ni kuongeza Volume ya malipo ya Kodi. Unaweza wasamehe makapuku million 2 ila ukabana biashara kubwa 100 tu zikafidia!! So kudhani kwamba muuza mishkaki akitoa Kodi ndio kutapandisha mapato ni kujidanganya kama hatutoweza kumaximise Kodi hasa kwenye investments kubwa.
Unapolipa Kodi betting umelipa wewe imelipa kampuni ya Kubeti?Hapana ni makosa kudhani direct tax ndio Kodi, mfano Kodi ya majengo watu kibao walikua hawalipi ila ilipowekwa kwenye Luku haikwepeki kulipwa na mapato kutoka hiyo segment yamepaa mara dufu sababu hayakwepeki.
So ukisubiri mpaka Kila mtu awe na ajira azalishe ndio alipe Kodi tutachelewa. Hata betting tu watu wakishinda wanakatwa VAT inaenda serikalini sasa utasema hawalipi Kodi kisa ana bet?
Unakuwa na working force kubwa halafu chini ya Asilimia 10 wanalipa kodi ni majanga,Wing wetu na hela vinahusiana vip mana hamna anae kula Serikalin maskin wote wapo bize na bado wananyonywa
hatari sanaWatakuonyesha madarasa ya misaada ya covid
jitahidini muwe na uwezo mkubwa wa kufikiri nchi hii inakusanya pesa nyingi sana kwa mweziUnakuwa na working force kubwa halafu chini ya Asilimia 10 wanalipa kodi ni majanga,
Lipa kodi Kwanza then fuatilia kodi yako inafanyiwa nini, kosoa serikali, strive for mabadiliko.
Ila unakaa hulipi kodi, unaingiza mpunga wa Kutosha, unasubiria Mzungu ulaya akuwekee paracetamol Hospital usitegemee maendeleo.
baba-mwajuma unazinguaUnapolipa Kodi betting umelipa wewe imelipa kampuni ya Kubeti?
wewe baba mwajuma huelewi vitu vingi sana sema unajiona mjuajiUnapopinga data bila kuleta data mbadala husaidii chochote
Ila hoja ya mtoa mada ina mashiko, kweli inawezekana walipakodi tz 2.2m , wanaotambulika na TRA, ila KWa fact wanaolipa kodi KWa njia MOJA au nyingine ni wengiTembelea hapo Mkuu Kuna source
Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi
Aisee hadi mwak 2025 lazima watu wafeee wengi tu . Kwa stressswww.jamiiforums.com
Tanzania walipa Kodi wanaotambulika Tra ni milioni 2.2 tu, hata ukitoa watoto na wazee Kuna watu zaidi ya milioni 20 Wanapaswa kulipa kodi,
Mfano Kenya wanaolipa kodi ni milioni 5.5 na Sisi tupo wengi kushinda wao.
Hii post yako ni upumbavu tuu umeweka..
Kwani ukisikia ndio utafanya nini? Utaisikia tuu mwezi wa 4 mwakani..Mungu anipe uzima namuomba sana nataka masikio yangu yasikie repot ya CAG
Tupe idadi yako WeweWaongo sana. Eti walipa kodi ni milion 2, huku mitaani wanapita kila siku wale watoza ushuru. Migodini, ziwani, kodi hadi kwenye maji na umeme ila wao wanahesabu wenye TIN 😁😁
😂😂 mr. Takwimu we ni km mr. Kuku tu au wa vanila village. Indirect tax payers wapo kibao takribani kila mtanzania ni mlipaji wa kodi.Tupe idadi yako Wewe
Bila Takwimu hakuna kitu utafanya ,utaishia kuwa kama Jiwe unashika kila kitu afu humalizi.😂😂 mr. Takwimu we ni km mr. Kuku tu au wa vanila village. Indirect tax payers wapo kibao takribani kila mtanzania ni mlipaji wa kodi.
Hoja ina mashiko sikatai, ila kinachokusanywa hakikidhi mahitaji, ni kinatumika chote na hakitoshi. Sababu matumizi ni mengi kuliko tunachochangia mwisho wa siku tunakuwa selfish, cha kwetu tunakila na most of time kwenye matumizi yasiyo na tija huku tukisubiria tujengewe Vyoo.Ila hoja ya mtoa mada ina mashiko, kweli inawezekana walipakodi tz 2.2m , wanaotambulika na TRA, ila KWa fact wanaolipa kodi KWa njia MOJA au nyingine ni wengi
Ndo maana Kuna makusanyo kwe halmashauri, KILA mkoa izo pesa si bado zinakusanywa KWa wananchi, na si zinapekwa kwenye mfuko mkuu wa serikali
Hapo bado vyanzo vingine wakiwepo hata wafanyakazi ,sijui Kama pesa za kodi zimo ndani TRA, WEKA TOZO ,WEKA PESA AMBAZO TUNASAIDIWA WADAU WETU WA MAENDELEO, WEKA MIKOPO
Mtoa mada ana haki ya kujiuliza, alafu mapato binfsi nasikiaga TRA imekusanya kiasi flan, haya mengine hutangazwa na nani? Au yote huwa yamejuishwa ndani ya yale yaTRA?
NIkupongeze mtoa mada KWa uzi fikilishi
Ulipo happy hata ukienda dukani hudai risiti,ukiuza hutoa risiti sasa kwa nini Serikali isiweke tozo?Hizo link wametoa wenye tin number siyo idadi ya walipa kodi. Kulipa kodi ni wajibu wa kila raia ndo maana tunasisitizwa kudai risit halali ya malipo tuliyofanya ili kodi zetu zifike kiuhalisia.
Sawa mr. Takwimu japo hata jiwe tulikuw tukiona akitoa yakwimu za samaki majini, mara barabara kilomita kadhaa. Lkn wte ni blah blah tuBila Takwimu hakuna kitu utafanya ,utaishia kuwa kama Jiwe unashika kila kitu afu humalizi.