Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Siyo kweli labda useme wenye TIN number. Kodi karibia kila mtu hulipia labda mfumo ndo haujakaa sawa. Kwenye bidhaa wanalipia, betting huko ndo usiseme kila siku wanalipia, mafuta ukinunua wanalipia kodi tayari. Unasemaje ni mil.2 ndo walipa kodi?Tembelea hapo Mkuu Kuna source
Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi
Aisee hadi mwak 2025 lazima watu wafeee wengi tu . Kwa stressswww.jamiiforums.com
Tanzania walipa Kodi wanaotambulika Tra ni milioni 2.2 tu, hata ukitoa watoto na wazee Kuna watu zaidi ya milioni 20 Wanapaswa kulipa kodi,
Mfano Kenya wanaolipa kodi ni milioni 5.5 na Sisi tupo wengi kushinda wao.