Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
TIN mi nilimiliki kabla hata wewe hujazaliwa kwenye biashara yangu! Nakatwa Kodi ya 67k Kila mwezi as PAYE.Kwanza una tin number? Kwa sababu nyie mnaolialia hapa utakuta ndio wanyonyaji wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TIN mi nilimiliki kabla hata wewe hujazaliwa kwenye biashara yangu! Nakatwa Kodi ya 67k Kila mwezi as PAYE.Kwanza una tin number? Kwa sababu nyie mnaolialia hapa utakuta ndio wanyonyaji wakubwa
Kodi ninayolipa Mimi Kila mwezi we unaitoa Kwa mwaka mzimaJitahidi uwe na tin number ACHA kuishi kiujanjaujanja unanyonya wenzako
Zawadi kwa Kila goli mashindano ya caf, kulipana posho kwenye seminars nk ( refer Kuna Uzi wa TANAPA) nkHabari JF,
Mimi kama mtanzania wa hali ya chini nimekuwa nikifuatilia namna wananchi tunavyolipa kodi na Tozo mbali mbali lakini kuna mikopo mikubwa sana tumechukua ndani ya kipindi kifupi.
Kila nikijaribu kufuatilia pesa hizi zinatumika wapi sipati majibu sahihi, wengine wanasema JPM aliacha Nchi haina pesa kabisa hivyo zinapelekwa kwenye miradi, ukiwauliza mbona mpaka anaondoka miradi ilikuwa inaendelea vizuri? Wanakosa majibu.
Baadhi wanasema zinakwenda kwenye mirafi mipya, ukiwauliza ni miradi ipi hiyo mikubwa ya trilions of money wanakosa Jibu.
Nikajiuliza je zinakwenda kulipa mishahara ,posho na mafuta magari ya serikali nimeona bado tumekusanya pesa Nyingi.
Swali kwa wale wanaojua pesa hizi zinakwenda wapi atoe jibu tafadhari ,ili nikatwe kodi/tozo nikiwa na Amani.
Una uelewa Mdogo sana wa mamboJitahidi uwe na tin number ACHA kuishi kiujanjaujanja unanyonya wenzako
Hawezi kukuelewaTIN mi nilimiliki kabla hata wewe hujazaliwa kwenye biashara yangu! Nakatwa Kodi ya 67k Kila mwezi as PAYE.