Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Kama huna biashara au kazi inayokuwezesha kulipa Kodi hiyo Hela ya kununua bidhaa unaipata wapi? Isijekua tupo na majambazi humuKwa hiyo tafsiri yako unataka ili uitwe mlipa kodi lazima uwe na TIN uwe unailipia directly whether una biashara au huna ila ukienda kudai risit ya malipo kwa muuzaji we siyo mlipa kodi?
Ukweli ni upihaya uongo uongo mwingiii
Weka wewe ukweli hapa sasa mbona unapinga bila takwimu? Yeye kakuonyesha mpaka takwimu bado umekaza fuvu tu[emoji23] haya pitia bajeti kuu, pitia bajeti ya kila wizara halafu angalia mapato ya ndani ndio uje kubishana Kwa takwimu badala ya kubwabwaja tu hapaUache upumbavu Kati ya watu M60 ni M2 tu ndio walipakodi ?
Jitahidi uwe na tin number ACHA kuishi kiujanjaujanja unanyonya wenzakoHizo link wametoa wenye tin number siyo idadi ya walipa kodi. Kulipa kodi ni wajibu wa kila raia ndo maana tunasisitizwa kudai risit halali ya malipo tuliyofanya ili kodi zetu zifike kiuhalisia.
Jibu hoja unaipata wapi fedha? Unakua umeshalipa Kodi ya mapato kabla hujafanya matumizi yako? Vinginevyo wewe ni jambaziHujui hata maana ya Indirect Taxpayers. Kaa na takwimu zako
Haelewi huyu Kodi inatokana na mapato ya ulichozalisha vinginevyo wewe ni jambazi/tapeliYa simu unamaanisha Tozo?
Kodi inayoongelewa hapo ni ya kile unachozalisha wewe, Kama ni Mfanyakazi Kuna PAYE, Kama Ni Mfanyabiashara ama unamiliki Mali nyengine Kuna Tin no etc.
Haiwezekani unamiliki Mijumba kibao unaingizia mamilioni ya Hela kwa mwezi hulipi kodi eti unasema nilipojaza mafuta Gari nimelipa kodi?
Kodi ni Ile unachozalisha na sio alichozalisha mwenzako.
Tueleze hiyo Hela unayoyafanyia yote hayo umeilipia Kodi ya mapato? Vinginevyo hiyo Hela hujaipata kihalaliHicho ndo wasichokijua. Mi ninunue umeme umeweka VAT eti unasema silipi kodi ila mlipaji ni tanesco. Nibet nile mil.5 nakatwa tax napewa mil.4 unasema silipi kodi. Rubbish kabisa, bora wewe umemfafanulia vzr.
Shilingi ngapi sasa mbona husemijitahidini muwe na uwezo mkubwa wa kufikiri nchi hii inakusanya pesa nyingi sana kwa mwezi
So mzalishaji hua halipi Kodi?Mkuu ukishinda million 100, serikali inakukata MSHINDI at least 12-18M.
Kingine Kodi nyingi ni shiftable, mfano gari linapotoka kiwandani Bei yake ni million 5 lakini mpaka lifike downstream market Bei ishafika 8m hapo ukinunua wewe na kuagiza kwa CFI unakuta limefika 15M hivi unadhani hiyo 10m iliyoongezeka hakuna ushuru uliohamishwa kutoka Kwa TOYOTA kuja kwa mlaji wa mwisho??
Bei za bidhaa zote zimechajiwa kwa wazalishaji ila wao wanapouza Wana include Ile Kodi waliyokatwa so mwisho wa siku WEWE unailipa sio WAZALISHAJI tena.
Hizo fedha za kununua bidhaa wanazipata wapi ilhali umesema hawana kazi/shughuli yoyote?Hujanielewa concept yangu, kinachotakiwa ni VALUE sio QUANTITY ya walipaji!! Kodi ya FDIs kubwa 100 zina offset Kodi za wamachinga wote!!
Kingine unielewe, Kodi nyingi in VALUE zinatokana na indirect tax, haya matozo, Kodi za miamala, VAT kwenye bidhaa zinaingiza pesa nyingi kuliko PAYE au Corporate Tax!! Sababu Kila mtu ananunua bidhaa whether ana kazi au Hana, ila hao wanaolipa DIRECT TAX ni fraction tu ya tax base.
So ni makosa kudhani waTanzania million 30 hawalipi Kodi ilihali wananunua bidhaa ambazo kama nilivyoeleza hapo juu Zina SHIFTABLE TAX yaani mzigo wa Kodi wa mzalishaji anaishia kulipa mteja wa mwisho.
Wakati tunapata uhuru 1961 tulikuwa milioni 8 au 10 Leo tupo watu milioni 60 au 65 kama sikoseiHii nchi inajenga madarasa miaka yote.... Yaani toka Nyerere. Ina maana population yetu inakuwa kwa speed kubwa kuliko nchi nyingine au ni mipango yetu mibovu?
Mimi nimeuliza tu kwa awamu hiiHivi na zile zilizokua zinaporwa Kwa watu kupitia ofisi ya DPP zilienda wapi?
Swali kwa hiyo tunakua kuliko nchi nyingine ?Wakati tunapata uhuru 1961 tulikuwa milioni 8 au 10 Leo tupo watu milioni 60 au 65 kama sikosei
Wanazipata kupitia multiplier effect, Kumbuka pia nusu ya waTanzania ni watoto yaani below 18 so wengi ni dependents, pia Kuna remittances hizi ni pesa wanazotuma watu kutoka nje au hata ndani mfano mzazi yupo kijijinu n.kHizo fedha za kununua bidhaa wanazipata wapi ilhali umesema hawana kazi/shughuli yoyote?
Analipa hizo corporate tax.... Withholding tax, income tax n.k so atalipishwa tu.So mzalishaji hua halipi Kodi?
sasa wewe kuna vitu huvielewiHao wanaotia mafuta hela zao wanapata wapi? Sababu anaelipa kodi hapo ni mwenye kituo cha mafuta. Imeingia kodi ya Mtu mmoja,
Huyo anaejaza mafuta Sasa sehemu anayoingizia Kipato amelipa Kodi?
kuna kodi nyingi mkuuTueleze hiyo Hela unayoyafanyia yote hayo umeilipia Kodi ya mapato? Vinginevyo hiyo Hela hujaipata kihalali
Usiishie Hapo tueleweshesasa wewe kuna vitu huvielewi
walipa kodi mil 2!mil 58 je?Hela zooote hizo zikikusanywa Hazitoshi hata budget yetu kujitegemea wenyewe, tuna tegemea wafadhili watuongezee
Nchi ina watu zaidi ya milioni 60, milioni 2 tu ndo walipakodi, hizo hela unazoona ni nyingi Hazitoshi hata kidogo.
Tra wanakusanya Around Trilioni 1, kwa mwaka ni kama Trilioni 18, Hapo Kuna Trilioni 6 mishahara na Trilioni 7 deni la Taifa, hapo Tayari umekaribia kumaliza hela yote
Bado Kuna Miradi ya Matrilioni ya Hela karibia 20 na matumizi mengine yasiyo Mishahara ya Serikali Takriban Trilioni 4.
Kasome budget yako mambo yote yameelezewa
Kila mtumia bidhaa ni mlipa Kodi!Weka wewe ukweli hapa sasa mbona unapinga bila takwimu? Yeye kakuonyesha mpaka takwimu bado umekaza fuvu tu[emoji23] haya pitia bajeti kuu, pitia bajeti ya kila wizara halafu angalia mapato ya ndani ndio uje kubishana Kwa takwimu badala ya kubwabwaja tu hapa