Kuna anayejua Pesa za Kodi, Tozo, Misaada na Mikopo zinakwenda wapi?

Kwa hiyo tafsiri yako unataka ili uitwe mlipa kodi lazima uwe na TIN uwe unailipia directly whether una biashara au huna ila ukienda kudai risit ya malipo kwa muuzaji we siyo mlipa kodi?
Kama huna biashara au kazi inayokuwezesha kulipa Kodi hiyo Hela ya kununua bidhaa unaipata wapi? Isijekua tupo na majambazi humu
 
Uache upumbavu Kati ya watu M60 ni M2 tu ndio walipakodi ?
Weka wewe ukweli hapa sasa mbona unapinga bila takwimu? Yeye kakuonyesha mpaka takwimu bado umekaza fuvu tu[emoji23] haya pitia bajeti kuu, pitia bajeti ya kila wizara halafu angalia mapato ya ndani ndio uje kubishana Kwa takwimu badala ya kubwabwaja tu hapa
 
Hizo link wametoa wenye tin number siyo idadi ya walipa kodi. Kulipa kodi ni wajibu wa kila raia ndo maana tunasisitizwa kudai risit halali ya malipo tuliyofanya ili kodi zetu zifike kiuhalisia.
Jitahidi uwe na tin number ACHA kuishi kiujanjaujanja unanyonya wenzako
 
Haelewi huyu Kodi inatokana na mapato ya ulichozalisha vinginevyo wewe ni jambazi/tapeli
 
Hicho ndo wasichokijua. Mi ninunue umeme umeweka VAT eti unasema silipi kodi ila mlipaji ni tanesco. Nibet nile mil.5 nakatwa tax napewa mil.4 unasema silipi kodi. Rubbish kabisa, bora wewe umemfafanulia vzr.
Tueleze hiyo Hela unayoyafanyia yote hayo umeilipia Kodi ya mapato? Vinginevyo hiyo Hela hujaipata kihalali
 
So mzalishaji hua halipi Kodi?
 
Hizo fedha za kununua bidhaa wanazipata wapi ilhali umesema hawana kazi/shughuli yoyote?
 
Hii nchi inajenga madarasa miaka yote.... Yaani toka Nyerere. Ina maana population yetu inakuwa kwa speed kubwa kuliko nchi nyingine au ni mipango yetu mibovu?
Wakati tunapata uhuru 1961 tulikuwa milioni 8 au 10 Leo tupo watu milioni 60 au 65 kama sikosei
 
Hizo fedha za kununua bidhaa wanazipata wapi ilhali umesema hawana kazi/shughuli yoyote?
Wanazipata kupitia multiplier effect, Kumbuka pia nusu ya waTanzania ni watoto yaani below 18 so wengi ni dependents, pia Kuna remittances hizi ni pesa wanazotuma watu kutoka nje au hata ndani mfano mzazi yupo kijijinu n.k

So mpaka watoto tegemezi wanalipa Kodi kupitia indirect tax kwenye pipi, biskuti, vocha n.k.
 
Hao wanaotia mafuta hela zao wanapata wapi? Sababu anaelipa kodi hapo ni mwenye kituo cha mafuta. Imeingia kodi ya Mtu mmoja,

Huyo anaejaza mafuta Sasa sehemu anayoingizia Kipato amelipa Kodi?
sasa wewe kuna vitu huvielewi
 
walipa kodi mil 2!mil 58 je?
 
Kila mtumia bidhaa ni mlipa Kodi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…