Kuna anayejua Pesa za Kodi, Tozo, Misaada na Mikopo zinakwenda wapi?

Kwanza una tin number? Kwa sababu nyie mnaolialia hapa utakuta ndio wanyonyaji wakubwa
TIN mi nilimiliki kabla hata wewe hujazaliwa kwenye biashara yangu! Nakatwa Kodi ya 67k Kila mwezi as PAYE.
 
Zawadi kwa Kila goli mashindano ya caf, kulipana posho kwenye seminars nk ( refer Kuna Uzi wa TANAPA) nk
 
Reactions: RNA
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…