GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huwa sina Uvumilivu kwa Wapumbavu.GENTAMYCINE kuna mtu Amelianzisha huku Ankali em plz Tunaomba roho mtakatifu akushukie Usimtukane
Sasa kama sina lolote na huniogopi mbona unaanza kutia Huruma? Aliyekutuma unianzishie huu Uzi ili Unichokoze na Unichafue amekuponza mno. Cheza na Wote ila siyo Mimi sawa?Nyie ndo mnamuogopa hana lolote yule.
Wewe umezuiwa kujua kila Kitu? Idiot.Unakuwaje unajua kila kitu jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me nakupenda kinoma noma [emoji7][emoji7] Cuzoo wako GENTAMYCINE ila me kwakweli nampenda sanaaaAwwwwww!! [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
NAKUPENTRAAAAA Sisy Shunie huna baya
Cuzoo yupi nikuitie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baadhi tunafahamu, ila tunapenda kwenda na flow a.k.a upepo a.k.a mood za raia au watu 😊😊😊Natamani kuhabarisha umma kuhusu huyu mwamba ila naogopa sana maana mh yasijenikuta
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nimekujua unanichukulia Dahan wangu 😭😭😭Ungemfata PM tu, kuliko kuzunguka zunguka
Professor naomba kuuliza... hivi wale wote walio-like hii kauli yako ni chawa wako?! 🤔🤔🤔Kwa Ufafanuzi wako huu Kuntu nadhani Topiki hii au Mjadala huu ungeishia tu rasmi hapa.
Nami naongezea la muhimu...
ANGALIZO
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.
Nimemaliza.
Cc: 2025DG
Kivumbi leooooo 🤣🤣🤣🙌🏾Tukutane tupigane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me nakupenda kinoma noma [emoji7][emoji7] Cuzoo wako GENTAMYCINE ila me kwakweli nampenda sanaaa
Duhh! Hii nakupenda umeiongea kishambenga [emoji1]... Sema safi! Huna baya cute wife, nimejikuta na-fall in love na Avatar yako [emoji39][emoji1786]
Tukutane tupigane
Uchochezi 🤣Kivumbi leooooo 🤣🤣🤣🙌🏾
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sisy hii imeenda….mimi nabeba mchanga wa kuputa, mnipe location ya mpambano unakofanyika nije kushuhudia NDOIGE zinavyorushwa
Ukiona tena usiniite utaniua kwa pressure mkuuMwachiluwi [emoji12]
Location bado sijajua ngoja niwasiliane na naepigana nae kwanza
Lakini ni weekend hii [emoji1787][emoji1787]
Ukiona tena usiniite utaniua kwa pressure mkuu