Wanawake mkianza kujali mambo ya msingi ktk jamii zetu ,naamini mashoga na wasagaji hawatakua na nafac ktk jamii zetuHuwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada, huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Ule uombaji hapana... mimi nina mtindo wa kumchunguza mtu comments na post zake, nikimuona ana uwalakini simuelewielewi namlipua FASTA![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Khaaaaaa!! Labda alimwambia kishkaji km ana pesa amsaidie bana
Wanawake mlijaaliwa huruma ndomana mnazaa... mnaweza kuvumilia kubeba mzigo wa toto lisilosikia tumboni zaidi ya miezi 9... maana wapo wanaopitilizaga muda, sembuse kunihurumia HOHEHAHE mie kunifungilia Piemu mtoto wa mwenzio tuyajege... kah! Usiwe hivyo Cutie π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Piem kuna mbwa mkali
Ule uombaji hapana... mimi nina mtindo wa kumchunguza mtu comments na post zake, nikimuona ana uwalakini simuelewielewi namlipua FASTA!
Wanawake mlijaaliwa huruma ndomana mnazaa... mnaweza kuvumilia kubeba mzigo wa toto lisilosikia tumboni zaidi ya miezi 9... maana wapo wanaopitilizaga muda, sembuse kunihurumia HOHEHAHE mie kunifungilia Piemu mtoto wa mwenzio tuyajege... kah! Usiwe hivyo Cutie [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji24]
Kwanini Kujua kila kitu ni tatizo? Inategemea na wewe unajichanganya vipi na JamiiHuyu member anayejiita GENTAMYCINE, dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
- Michezo
- Mapenzi
- Siasa
- Mziki
- Usalama
- Matukio yanayotokea kwa Mwamposa
- Chakula na mapishi
- Urembo
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji. Nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani, nimeshindwa kumuelewa?
Nataka tujenge ukuta bandarini wasione kinachoendelea ndani DP world wakianza kazi zao π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka tuyajenge nini??
Nataka tujenge ukuta bandarini wasione kinachoendelea ndani DP world wakianza kazi zao [emoji24]
Hebu nielekeze ni kwa namna ipi mwanamke anahusika na ushogaWanawake mkianza kujali mambo ya msingi ktk jamii zetu ,naamini mashoga na wasagaji hawatakua na nafac ktk jamii zetu
Hivi kumbe ID ya MamaSamia2025 ni ya kiume πββοΈUngekuta siko kwenye penzi zito na mke wa jirani yangu lazima ningekuja PM tuyajenge.. umeongea point sana aisee. Beautiful Joanah
Ndiyo.Hivi kumbe ID ya MamaSamia2025 ni ya kiume πββοΈ
πππHuwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada, huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Ukikutana na Veda ( Mhariri Wao ) na Figganigga ( Baba Lao ) nisalimie sana Kiongozi sawa?Genta mwenyewe sasa
Mr Twaha Bigirimana toka kitongoji cha Ruyenze, Jamhuri ya RwandaHuyu member anayejiita GENTAMYCINE, dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
- Michezo
- Mapenzi
- Siasa
- Mziki
- Usalama
- Matukio yanayotokea kwa Mwamposa
- Chakula na mapishi
- Urembo
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji. Nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani, nimeshindwa kumuelewa?