Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
sasa si ungeandika vizuri kwanza bandiko lakoJamani jamani hali ni mbaya sana elimu elimu, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa utapia ujinga unaangamia taifa.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno,
Mungu aingilie kati hili anguko naogopa sana tuko twendako.
Ni hayo tu
Wadiz
Nisamehe tu ndiomana nimetumia nafsi jumuishi na mimi nikiwemosasa si ungeandika vizuri kwanza bandiko lako
haya pole kumbe nawe ni miongoni mwao...Nisamehe tu ndiomana nimetumia nafsi jumuishi na mimi nikiwemo
Nimeshangaa walimu nao wanaandikaJamani jamani hali ni mbaya sana elimu elimu, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa utapia ujinga unaangamia taifa.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno,
Mungu aingilie kati hili anguko naogopa sana tuko twendako.
Ni hayo tu
Wadiz
Angalia kitenzi ni tuende au twende? Enda, nenda, (tuende/twende) karibu sana ndugu mwalimutuendako
ama
Twendako..
Hii nyimbo..
huu wimbo
Mungu atusaidie mimi naogopa sana, tutakuja kuletewa program ya universal writing skills education (UWSE)Nimeshangaa walimu nao wanaandika
- Alima wakimaanisha Halima
- Muagama wakimaanisha Mhagama
- Asumani wakimaanisha Athuman
- Mwanaamis wakimaanisha Mwanahamisi
- Alamisi wakimaanisha Alhamisi
- Maali wakimaanisha Mahali
- Maharifa wakimaanisha Maarifa
- Maangahiko wakimaanisha Mahangaiko
Kwani ni Charts au Chats?, Tuanzie hapo🙄Jamani jamani hali ni mbaya sana elimu elimu, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa utapia ujinga unaangamiza taifa nyakati za sasa katika uga wa mawasiliano kwa njia ya maandishi, sms, charts na etc.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno,
Mungu aingilie kati hili anguko naogopa sana tuko twendako.
Ni hayo tu
Wadiz
CCYaani hapa kuwaelimisha herufi tu miaka 100
Je kutengeneza vitu na kubuni itakuwa 200 mingine
Bado tuko nyuma sana kwa kweli
Kuna think tank wetu wao wanaumiza vichwa ili watoto wawe wapumbavu mpaka wanakuwa
Na hao ndio wameshika nchi
Roho zao mbaya wanahakikisha nchi na watu wake wabaki masikini daima
Duuh use your spellings correction ndio utaelewa hayo ni maneno tofautiKwani ni Charts au Chats?, Tuanzie hapo🙄
Tuamue/twamueNimeona
Angalia kitenzi ni tuende au twende? Enda, nenda, (tuende/twende) karibu sana ndugu mwalimu
Inaumiza sanaCC
chawa wa chama chetu
Thank you 🙏🙏🙏Tuamue/twamue
Tuondoke/twondoke
Tuinuke/twinuke
Tuanze/twanze
Kiswahili kinahitaji umakini sana ili kukisustain
Kwamba "ndiomana". Naona na wewe ni mmoja wao wa wale unaowasema.Nisamehe tu ndiomana nimetumia nafsi jumuishi na mimi nikiwemo
Nyani hajajiona alivyo makalioni ila anavunjika mbavu kuona wenzake ni wekunduKwamba "ndiomana". Naona na wewe ni mmoja wao wa wale unaowasema.