Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
- #21
ndiyo maanaKwamba "ndiomana". Naona na wewe ni mmoja wao wa wale unaowasema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo maanaKwamba "ndiomana". Naona na wewe ni mmoja wao wa wale unaowasema.
Think Tanks ndio hawa wanaoruka sarakasi bungeni?Yaani hapa kuwaelimisha herufi tu miaka 100
Je kutengeneza vitu na kubuni itakuwa 200 mingine
Bado tuko nyuma sana kwa kweli
Kuna think tank wetu wao wanaumiza vichwa ili watoto wawe wapumbavu mpaka wanakuwa
Na hao ndio wameshika nchi
Roho zao mbaya wanahakikisha nchi na watu wake wabaki masikini daima
Jamani jamani hali ni mbaya sana elimu elimu, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa utapia ujinga unaangamiza taifa nyakati za sasa katika uga wa mawasiliano kwa njia ya maandishi, sms, charts na etc.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno,
Mungu aingilie kati hili anguko naogopa sana tuko twendako.
Ni hayo tu
Wadiz
Akikupea utawezana?xaxa lafiki yangu umendereaje huko
Asante wakimaanisha Ahsante, tena tangazo lipo kila siku kwenye tv, sijui Bakita wako wapi.Nimeshangaa walimu nao wanaandika
- Alima wakimaanisha Halima
- Muagama wakimaanisha Mhagama
- Asumani wakimaanisha Athuman
- Mwanaamis wakimaanisha Mwanahamisi
- Alamisi wakimaanisha Alhamisi
- Maali wakimaanisha Mahali
- Maharifa wakimaanisha Maarifa
- Maangahiko wakimaanisha Mahangaiko
- Nisamee wakimaanisha Nisamehe
Kabla hujatoa kibanzi kilicho jichoni kwa mwenzako,toa kwanza cha kwako.mawasiliano kwa njia ya maandishi, sms, chats etc.
Balaa tupu,xaxa lafiki yangu umendereaje huko
Inabidi itungwe sheria ya kukilinda Kiswahili, chombo chochote cha habari kikiharibu lugha tu kipigwe fineAsante wakimaanisha Ahsante, tena tangazo lipo kila siku kwenye tv, sijui Bakita wako wapi.
Na hili tatizo linakolezwa zaidi na watu kuwa jeuri wanapoambiwa ukweli. Ukimsahihisha mkosaji, anachofanya ni kujaribu kutafuta makosa yako ili akusahihishe. Au wengine watakuambia ''kuandika maneno vizuri kutaniletea maisha mazuri?''.Jamani hali ni mbaya sana, watu wanajua kuhesabu lakini kusoma na kuandika ni utapia kichwa, utapia ujinga unaangamiza taifa nyakati za sasa katika uga wa mawasiliano kwa njia ya maandishi, sms, chats etc.
Sijui labda ni mimi tu naliona hili. Uandishi mbovu na makosa ya herufi sahihi kwenye maneno.
Mungu aingilie kati hili anguko, naogopa sana tuko tuendako.
Ni hayo tu.
Wadiz
Kwenye nafsi ya kwanza na uwingi ,mofimu zinazotumika ni "ni" kwa nafsi ya kwanza umoja na "tu" kwa nafsi ya kwanza uwingi na sio "tw" kama unavyotaka kumaanisha wewe.Nimeona
Angalia kitenzi ni tuende au twende? Enda, nenda, (tuende/twende) karibu sana ndugu mwalimu
Pengine yanatambulisha uwezo wa mtu mmoja mmoja katika kuongeza kipato chake mwenyewe.Matumizi sahihi ya Lugha yanaongeza vipi kipato cha mtu mmoja mmoja
Unaona na wewe shida yako hiyo ?program ya universal writing skills education (UWSE)
Pie charts ,bar charts ,histogram 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani ni Charts au Chats?, Tuanzie hapo🙄
Mbona unachanganya lugha kama unahitaji watu wazungumze na kuandika kiswahili kilichonyooka?Duuh use your spellings correction ndio utaelewa hayo ni maneno tofauti
Ahsante na asante maneno haya yote yapo sahihi ,kinachotofautisha ni lahaja ya mahala husika.Asante wakimaanisha Ahsante, tena tangazo lipo kila siku kwenye tv, sijui Bakita wako wapi.