Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

😂Mie wiki tu tatzo
 
Kwani wanaume wanao "cheat" huwa hawaridhishwi na wake zao?
 
Wise words "wasiwasi utakufanya ushindwe kufanya vitu vingi Usitake kufunua kujua Kila" in short usichunguze mimi mke wangu sitom chunguza labda nmfumanie kitandani kwangu nitachukua uamuzi wa kumuua kabsa Ila otherwise hapana
 
Hakuna formula kwenye hili eneo. (Rejea ya Manara, Mwaka na Masanja)

1.Akiwa mama wa nyumbani, ukiona safari za vikoba zimeanza kila siku,mpaka usiku, (UKIONA MANYOYA JUA........)
2. Akiwa mfanya kazi, Aisee kuna watu wako romantic kwa wake za wenyewe huko maofisini. (SEMINA, SEMINA ELEKEZI, WARSHA MAKONGAMANO, SAFARI ZA KIKAZI NDIO ZAMU YAO WADAU KUTUMIA MKE WENU)
3.Akiwa Mfanya biashara, we anza kufika na kusifi sifia biashara yake. anza kuacha acha chenji, hawa ndio wale unasikia nilianza bishara na mtaji wa Elfu kumi. sasa hivi nina miliki milion sitini benki! 😀 (UNYUMBA NI MTAJI)
4. Akiwa mtu wa maombi na maombezi, aisee hawa unapiga muda wowote huku ukimshukuru Mungu mke wako ni mwna maombi. Kujua vifungu na nukuu za biblia sio sbb ya utakatifu. Mathayo 7:21-23. (USISAHAU ROHO MTAKATIFU ANAISHI ROHONI, SIO KWENYE KICHWA CHA CHINI.)
 
We unavyomcheat sababu huwa ni zipi?

Sababu zako ndio sababu zake
 
Unadhani bado upo kwenye dunia ambayo sex ni mwiko kwa mwanamke kabla ya ndoa. Pole sana

Nikusaidie tu. Binadamu haridhishwi, Ila anaamua kuridhika na kutosheka

Binadamu hatulizwi, Ila anajituliza

Kwa hiyo kama bado unafikiri kuwa fundi na kutoa pesa umemaliza. Pole sana kwa sababu binadamu yoyote ana tabia ya kukinai na kukichukulia poa kile anachokipata daily. Hivyo kiu ya kupata kitu kipya au tofauti huwa ni kawaida sanaa

Kwa hiyo ni kheri hata wenye hofu ya Mungu au wenye upendo mkubwa kwako watajizuia.. Ila wengine mkuu, hesabu maumivu
 
Siko mbali kuna mchangiaji mmoja kazungumza kitu kimoja "binadamu tunatabia ya Kuchoka ya kukinai kile kitu ambacho tu nakutumia Kila siku"

Nikupe testimony nilikuwa na mpenz wangu tulikuwa tunafanya mapenz Ata mara tano kwa siku😂siku moja akaniambia "nimekinai akaongezea jitahidi uwe unakaa Ata mwez ndo unakuja kunitembelea" mimi nikapuuzia kilicho Kuja kutokea itabaki stort mkuu🙄
 
Kumridhisha kwa mapenzi?
Atachepuka apate hela,
Kama unamridhisha na kwenye hela atachepuka kutafuta mwenye six pack,
Kama nawe una six pack atachepuka kufuata handsome boy,
Kama nawe ni handsome basi atachepuka kufuata mwanaume mwenye sura ngumu!
Usisahau kununua kitabu cha jinsi ya kumuelewa mwanamke chenye kurasa 9999999999999999999990
Ambacho kinatarajia kutoka mwishoni mwa karne ya 1999000
 
Kuna point nzuri nimeipenda.. kwamba mwanamke ambaye ameshapenzika na wanaume zaidi ya mmoja ana likelihood kubwa sana ya kucheat hata aridhishwe vipi...

Hoja yako naweza kui qualify kwa mifano hai kabisa, yaani mwanamke aliyepigwa na wanaume wengi hata akiolewa haoni shida kumvulia mwanaume mwingine pindi akipata upenyo.
 
Haswaaaaa utùlie na yy asiwe makundi pombe huko atadanfanyws tu.....ataambiwa unadhani mumeo hana shauri yako na ujinga wako mashiga hatariiii piaa
Kampani zinawaharibu sana wanawake, hapo nakubaliana na wewe.. nahisi ukianza kuona mwanamke wako anatoka out na rafiki yake wa kike, hiyo ni red alert kubwa sana
 
Kama hukumkuta bikra lazima atakucheat,
Kuna ma ex zake ambao hata aolewe wakiomba lazima awape hiyo haijalishi unamridhisha ama humridhishi.
Point yako nimeisoma vema na kuna mdau mwingine amesema kitu kama ulichosema... maana yake mwanamke ambaye amekutana kimapenzi na wanaume zaidi ya mmoja kabla yako, huyo ana probability kubwa za kucheat hata umridhishe namna gani.

So naelewa hoja ya kwanini kumkuta mwanamke bikra ni issue sensitive sana, otherwise itakuwa kuna possibility kubwa ya kuishi na malaya kama mke wako hukumkuta bikrq
 
Kwani wanaume wanao "cheat" huwa hawaridhishwi na wake zao?
Ndo nataka kujua kwa upande wa wanawake nyinyi mpo vipi? Natumai hatuwaweki kwenye mizania moja wanawake na wanaume. Nyinyi wanawake naskia mnaweza kukaa hata mwaka bila kusex wakati kwa wanaume kukaa mwezi tu ni mtihani
 
Wise words "wasiwasi utakufanya ushindwe kufanya vitu vingi Usitake kufunua kujua Kila" in short usichunguze mimi mke wangu sitom chunguza labda nmfumanie kitandani kwangu nitachukua uamuzi wa kumuua kabsa Ila otherwise hapana
I got you... so option nzuri ni kuzipotezea hizo hisia? Maana kweli naona kama zikikutawala unakuwa unaishi kwa wasiwasi
 
Daaah aisee, ila naamini mimi kuna wanawake wengi kwenye makundi hayo huwa wanaikwepa hiyo mitego ya kucheat. Ndo najiuliza hao ambao wanashindwa kuikwepa sababu haswa ni nini???
 
We unavyomcheat sababu huwa ni zipi?

Sababu zako ndio sababu zake
Mfano kwangu mimi labda niseme naweza muona mwanamke mzuri ameumbika nikajikuta ghafla nimetamani kumla.. sasa unataka kuniambia na nyie wanawake mnavutiwa na wanaume wazuri kama sisi tunavyovutiwa na wanawake wazuri??

Mi sitaki kuamini hivo, nahisi wanawake mna vipaumbele vyenu vya tofauti na mimi sipendi kuwaweka kwenye mizani moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…