Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Lipia tangazo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mleta mada anatafuta watu wa kumfuata PM kumuomba hiyo fursa ili awapige na kitu kizito. Stay watchful..Hana Shukrani kabisa
Bora umemshtukia..Lipia tangazo mkuu
Ela niliyokuwa nimewatajia ilikuwa pesa nzuri na yule mama wa kizungu alionekana yuko okay with it. Na aliahidi itasaidia kukuza career yangu kwa sababu kwa afrika ndipo wanaingia, pia ilionekana nitakwua na muda wa kuendeleza nilichokuwa ninafanya.Sasa unatafuta kazi ya nini wakati mtaani unapiga ishu za ela kubwa, si uongeze juhudi hukohuko ulipo kuliko kupoteza muda kusaka ajira.
Sawa mzunguWaafrika hasa watanzania sio watu wa kuwasaidia. Ni kuwaacha na mashida yao yawatwange kisawasawa.
Waafrika ni jamii ya watu wa kuteseka milele yote.
Kudadeki, walikuchuliaje kwani mzee??Ela niliyokuwa nimewatajia ilikuwa pesa nzuri na yule mama wa kizungu alionekana yuko okay with it. Na aliahidi itasaidia kukuza career yangu kwa sababu kwa afrika ndipo wanaingia, pia ilionekana nitakwua na muda wa kuendeleza nilichokuwa ninafanya.
Sasa nilivyotumiwa offer na huyo dada wa kikenya, wkanza ilikuwa inasema nitakwua nataoka kazini saa mbili usiku kama kazi ni nyingi na hakuna malipo ya overtime. Pili kama kazi zikizidi itabidi niende ofisini hadi weekend na wala silipwi overtime, bado mshahara ukawa kiduchu offer haikuwa hata robo ya ela niliyotaja. nikaona isiwe tabu nikaachana nayo.
Shida ni kwamba kampuni ile ya hao wazungu haiikutaka kufungua ofisi tanzania, so wakaingia mkataba na kampuni fulani ya kenya ndiyo ilicruit watu, kuwatrain na kuwaajiri, hiyo kampuni ya kenya haina kibali cha kufanya kazi TZ nayo ikatafuta kampuni nyingine ya TZ inayodeal na mambo ya huduma za HR. So hapo unaweza kuelewa pesa ilikuwa inapigwa panga mara ngapi.Kudadeki, walikuchuliaje kwani mzee??
Mikazi yote hiyo ulipwe laki tatu? Na makato yetu si laki mbili hiyo
Ukiona hivyo Cha kufanya anacho Bado na pia Hana majukumuIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Au sio tajiri sie tunajenga kwa siku tunapata 5000 hujakuwa ww sio comment ya MTANZANIA HIYO500K huu mshahara mdogo Sana .
Mimi Kama mtu hana 5M Kwa mwezi asijisumbue kunitafuta .
Sijawah kujuta, nafas imetoka nimeomba na nyie humuhum mpooUlikuwa na kazi tayari? Vipi umewahi kujutia?
Mimi sijawahi kuomba nafasi ya kazi yoyote iliyotangazwa humu.Sijawah kujuta, nafas imetoka nimeomba na nyie humuhum mpoo
Anadeka huyo Nipe mimi sasa 😅😅😅😅 niende zangu SongeaIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Hizi chain of command ndo zinaletaga tabu hasa hapo kati aingie muafrica.Shida ni kwamba kampuni ile ya hao wazungu haiikutaka kufungua ofisi tanzania, so wakaingia mkataba na kampuni fulani ya kenya ndiyo ilicruit watu, kuwatrain na kuwaajiri, hiyo kampuni ya kenya haina kibali cha kufanya kazi TZ nayo ikatafuta kampuni nyingine ya TZ inayodeal na mambo ya huduma za HR. So hapo unaweza kuelewa pesa ilikuwa inapigwa panga mara ngapi.
Kabisa mkuu halafu kwenye mkataba wao waliweka kipengele kuwa mkataba/ofa waliyokutumia huwezi kuishare na wale wazungu.Hizi chain of command ndo zinaletaga tabu hasa hapo kati aingie muafrica.