Kuna baadhi ya graduates wanaomba connection ukiwapa wanakuangusha

Kuna baadhi ya graduates wanaomba connection ukiwapa wanakuangusha

Je Kama mtu anazungumza lugha za kimataifa Kama

English
German
N.k

Anaweza kupata fursa gani Zanzibar?.
Tour guide inalipa sana au watu wa front desk safi kabisa. Mana zanzibar kuongea lugha zaidi ya moja ni mpango.. ila ikiwa zaidi ya kiingereza itafaa mana hata mm kiingereza naongea lakin fursa sio nyingi sana kwq lugha hii
 
Kwa sehemu yako ulifanya Jambo zuri.....

Ila kama hakuridhia hiyo ni juu yake... as long umeshamwonyesha njia basi hakuna wa kukulaumu.....

Naye usimlaumu ana maamuzi binafsi
 
Ela niliyokuwa nimewatajia ilikuwa pesa nzuri na yule mama wa kizungu alionekana yuko okay with it. Na aliahidi itasaidia kukuza career yangu kwa sababu kwa afrika ndipo wanaingia, pia ilionekana nitakwua na muda wa kuendeleza nilichokuwa ninafanya.
Sasa nilivyotumiwa offer na huyo dada wa kikenya, wkanza ilikuwa inasema nitakwua nataoka kazini saa mbili usiku kama kazi ni nyingi na hakuna malipo ya overtime. Pili kama kazi zikizidi itabidi niende ofisini hadi weekend na wala silipwi overtime, bado mshahara ukawa kiduchu offer haikuwa hata robo ya ela niliyotaja. nikaona isiwe tabu nikaachana nayo.
watu wataongea ila lazima ujiangalie ww mwenyewe maana mda wa kuteseka utakuwa mwenyewe....
 
Iko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.

Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.

Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.

Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.

Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.

Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Huyu popote alipo nimemsonya 😂😂 kama ana mishe zake bora angekataa tu sa ndio nini hivi
 
Ofa yao ilikuwa na hicho kipengele, nilitaka kumtumia msg yule mzungu maana nilikuwa na email yake na pia yeye ndiye alinifuataga linkedin, so alikuwa kati ya watu ambao nimeconnect nao. Ila baadaye nikaamua niache tu.
Ila walipata watu walikuwa wanataka watu 15 wakawa wanawalipa 720k kwa mkataba wa miaka miwili japo baadaye baada ya miaka miwili waliwaongeza maslahi at least now si mabaya.
Nikonnect na Mzungu
 
Iko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.

Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.

Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.

Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.

Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.

Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Huyo Dogo hayupo Normal
 
Iko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.

Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.

Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.

Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.

Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.

Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Usisahau mwendelezo
 
Acheni hizo, kama mnajuta mbona magari na Bodaboda zinaua watu Kila siku hamuachi kupanda? Agizo la kutenda hisani au kumsaidia sio la binadamu nila Muumba ( Mungu) Mwenyewe ukiacha pia hutafaidi Lolote, Cha muhimu Hawa Vijana tuwafanyie tuu vetting mana wazuri na wenye shida wako kama zamani.
 
Kabla mpa connection muulize ana mpango gani na familia maana ukute akili kawekeza kwa mishangazi atawaza nini kuhusu maishaya leo na baadae
 
Binafsi sijaona shida yoyote kwa huyo dogo.

Interview si ya upande mmoja, ni ya pande mbili.

Yeye naye amewafanyia interview kuona kama kampuni inamfaa, Ameona haimfai.

Mkuu, Kwani hapo ulipo ukipata nafasi lets say umoja wa mataifa ukafika na usiridhike na mkataba utasaini hivyo hivyo ili aliyekupa hiyo nafasi asione umemsumbua?
 
Back
Top Bottom