Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Interest yako ni nn hasaMimi naulizia issue za kuinvest bro ,kuhusu kuwa gardener Safi Kaka pambana kikubwa mkono uende kinywani .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Interest yako ni nn hasaMimi naulizia issue za kuinvest bro ,kuhusu kuwa gardener Safi Kaka pambana kikubwa mkono uende kinywani .
Tour guide inalipa sana au watu wa front desk safi kabisa. Mana zanzibar kuongea lugha zaidi ya moja ni mpango.. ila ikiwa zaidi ya kiingereza itafaa mana hata mm kiingereza naongea lakin fursa sio nyingi sana kwq lugha hiiJe Kama mtu anazungumza lugha za kimataifa Kama
English
German
N.k
Anaweza kupata fursa gani Zanzibar?.
Tamaaa 😅😅😅Vp u ataka kuacha kazi yako😄
watu wataongea ila lazima ujiangalie ww mwenyewe maana mda wa kuteseka utakuwa mwenyewe....Ela niliyokuwa nimewatajia ilikuwa pesa nzuri na yule mama wa kizungu alionekana yuko okay with it. Na aliahidi itasaidia kukuza career yangu kwa sababu kwa afrika ndipo wanaingia, pia ilionekana nitakwua na muda wa kuendeleza nilichokuwa ninafanya.
Sasa nilivyotumiwa offer na huyo dada wa kikenya, wkanza ilikuwa inasema nitakwua nataoka kazini saa mbili usiku kama kazi ni nyingi na hakuna malipo ya overtime. Pili kama kazi zikizidi itabidi niende ofisini hadi weekend na wala silipwi overtime, bado mshahara ukawa kiduchu offer haikuwa hata robo ya ela niliyotaja. nikaona isiwe tabu nikaachana nayo.
Waambie🤣🤣🤣 Sijui niseme au ninyamaze? Mtu wa ngapi huyu unamuunganisha na Kazi anakuangusha? 🤗🤗🤗🤗 JF kiboko
Ukibahatika kufanya kazi na mchina au mwarabu bandidu utamuelewa mtu anaecha mkatabaUkiona hivyo Cha kufanya anacho Bado na pia Hana majukumu
Huyu popote alipo nimemsonya 😂😂 kama ana mishe zake bora angekataa tu sa ndio nini hiviIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Nikonnect na MzunguOfa yao ilikuwa na hicho kipengele, nilitaka kumtumia msg yule mzungu maana nilikuwa na email yake na pia yeye ndiye alinifuataga linkedin, so alikuwa kati ya watu ambao nimeconnect nao. Ila baadaye nikaamua niache tu.
Ila walipata watu walikuwa wanataka watu 15 wakawa wanawalipa 720k kwa mkataba wa miaka miwili japo baadaye baada ya miaka miwili waliwaongeza maslahi at least now si mabaya.
Mkuu hiyo project inaelekea mwaka wa tano now na wameikabidhi kwa wakenya 100% ndiyo wasimamizi hadi ofisi zilizokuwa hapa wamezifunga wakarudisha utendaji nairobi.Nikonnect na Mzungu
Huyo Dogo hayupo NormalIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Duuh Kumbe ,Nipe wakenya haoMkuu hiyo project inaelekea mwaka wa tano now na wameikabidhi kwa wakenya 100% ndiyo wasimamizi hadi ofisi zilizokuwa hapa wamezifunga wakarudisha utendaji nairobi.
Mkuu hujauliza hata ni kazi gani? How sure are you kuwa ni kazi unayoweza kuimudu wakati hata hujui ni kazi gani?Duuh Kumbe ,Nipe wakenya hao
Usisahau mwendelezoIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Samahani mkuu kwa kukurupuka ni kazi Gani hio?Mkuu hujauliza hata ni kazi gani? How sure are you kuwa ni kazi unayoweza kuimudu wakati hata hujui ni kazi gani?
Wakenya wanaitwa Digital Data Divide.
Localization ya Google products and search rankingSamahani mkuu kwa kukurupuka ni kazi Gani hio?