Gusa achia twende kwao
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 248
- 287
Sawa mkuu....Sema madalali sometimes huwa wanazingua kukata kata mishahara ya watu sio jambo jemaLocalization ya Google products and search ranking
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu....Sema madalali sometimes huwa wanazingua kukata kata mishahara ya watu sio jambo jemaLocalization ya Google products and search ranking
5m bado kidogo, labda uwe na shida mnooo. Usikubali kazi za manyanyaso mkuu. Angalau waje na 15m ndo kubali tena kwa masharti.500K huu mshahara mdogo Sana .
Mimi Kama mtu hana 5M Kwa mwezi asijisumbue kunitafuta .
Sema kwa sasa wanapata ela nzuri sema sasa kupata ndicho kipengele, pesa wanayolipwa kwa mwezi inatofautiana mwezi hadi mwezi but ina range kati ya 800k hadi 3 mlsSawa mkuu....Sema madalali sometimes huwa wanazingua kukata kata mishahara ya watu sio jambo jema
Trueeee..Iko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Sawa matajir wa Jf😊☺️5m bado kidogo, labda uwe na shida mnooo. Usikubali kazi za manyanyaso mkuu. Angalau waje na 15m ndo kubali tena kwa masharti.
Tumewasikia matajir wa Jf 😊 ☺️ 😊500K huu mshahara mdogo Sana .
Mimi Kama mtu hana 5M Kwa mwezi asijisumbue kunitafuta .
Huyo ana mwanaume wake, na kamkataza kwenda huko!Huenda hayo mambo yake ni ya muhimu zaidi kuliko huo mkataba, na akiangalia anaona kabisa kuwa atapata zaid ya hiyo ya kwenye mkataba.
Nigeie mmoyo connection kwa ajili ya mdogo wang.amemaliza chuo 2017 bachelor procurement and logistics management. Yupo home tu sasa hv hana diraIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Dah Toka 2017 mpka Leo ajapata inshu kwel maisha magumuNigeie mmoyo connection kwa ajili ya mdogo wang.amemaliza chuo 2017 bachelor procurement and logistics management. Yupo home tu sasa hv hana dira
Kuna bi dada tulipiga kitabu wote alikuwa ananicheki daily nimtafutie kazi, siku jamaa yangu akaniambia ofisini kwao wanahitaji mtu . Nikamcheki na nikamuunganisha siku ya interview akatumiwa link ya online. Bwana we si akakacha akutokea kumbe anaogopa tangu siku hiyo nimeacha kuwaangaikia watu maana inakera sanaIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Magumu hadi sio poa.ajira portal anaitwa kwenye written tu ila oral bila bila ndugu.kama uma connection kindly assist.Dah Toka 2017 mpka Leo ajapata inshu kwel maisha magumu
AiseeUnamsaidia mbongo?
Hata nikisikia nafasi sehemu huwa sitoi connection kwa hawa vijana.
Kuna mtu nilimsaidia akaajiriwa kama mhasibu,akaja akamuibia mwajiri wake msala nikabaki nao mimi.
Ni ka boyfriend kake itakuwa amefikiria katamsaliti akienda kuishi mbali.Huenda hayo mambo yake ni ya muhimu zaidi kuliko huo mkataba, na akiangalia anaona kabisa kuwa atapata zaid ya hiyo ya kwenye mkataba.
Kiherehere chako,kisa uneona exIko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.
Sikushangai, wabongoo kwa kuangushana kwa kweli hawajambo?Huyo kama mm tu, niliitwaga interview sehem fulani hivi na konekshen niliitoa humuhumu nikakataa kwemda kabisa
Mbona unampendelea kwa kumpa cheo kikubwa hivyo cha kuwa dereva wa boda, huyo boyfriend atakuwa muuza maji ya Kandoro stendi ya bus ama muuza karanga tu.Ni ka boyfriend kake itakuwa amefikiria katamsaliti akienda kuishi mbali.
Na si ajabu hako la boyfriend ni bodaboda.
Mnajitafutia matatizo wenyewe, Mbongo ni mtu wa kumsaidia kweli jamani?Iko hivi
Kuna mdogo wa ex wangu kamaliza chuo mahali huu ni mwaka wa 3 au 4 kana sikosei.
Basi juzi kati hapo nikakutana na huyu ex wangu akaniambia kama ofisini kwetu au namjua mtu yeyote nimsaidie mdogo wake apate kazi.
Basi bana kuna mdau flani hivi namjua ni hr kwa kampuni hizi za wachina nikampandia akaniambia dogo atume cv,bahati nzuri siku hiyo hiyo wakamfanyia online interview dogo akawa kapata ile nafasi.
Akaambiwa aje Dar kwa ajili ya kusaini mkataba na training ya kama mwezi hivi..dogo kafika dar akaambiwa mshahara ni laki 5, kituo cha kazi kitakua songea ila watamsafirisha wao,watampa allowance ya siku 10 kila siku 55k na pia watamlipia kodi ya nyumba mwaka mzima,akaambiwa nyumba atakayopanga isizidi elfu 80 kwa mwezi.
Cha kushangaza dogo baada ya kuambiwa hivyo kumbe hakuridhika na ule mkataba,wakamuambia ajitafakari mpaka asubuhi ya leo awe amewapa majibu ili mchakato uendelee, so mimi asubuhi hii nimempigia kujua alichoamua cha ajabu ananiambia eti yuko njiani kurudi mkoani kwao kwani mkataba ule hajaupenda akasema yeye alitegemea kituo cha kazi kingekua huko huko mkoani kwao Dodoma coz kuna mambo yake mengine bado anayaweka sawa huko dodoma hivyo kwa sasa hayuko tayari kuishi nje ya mkoa wao.
Aisee nimeshikwa na hasira sio poa,nimempigia dada ake nimemwambia live next time asije akaniambia ujinga wa huyu mdogo wake kwa hiki alichokifanya.
Mkipewa connection zitumieni vizuri wakuu otherwise mnatukatisha tamaa.