Kuna baadhi ya Vijana wa Chuo ni wajinga sana

Ingawa vijana wa vyuo wana ujinga wao lakini nadhani kwa ulimwengu tulionao ulitumia mbinu zinazofanana na matapeli.......

Imagine mtu anakujia na kibegi mgongoni anataka maongezi na wewe hali ya kuwa humjui na upo kwenye ratiba zako.......
Msikilize mtu. That is the first rule.
 
Mimi hapa ninauhitaji wa laptopโ˜๏ธ๐Ÿ˜ฒ nipo Mtwara. ukiguswa kwa hiari.
 
Mhh vitu vya bure tena kuwapa wanaume ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚lazima aogope, wadada wengi si tamaa mbele hawez kunyali wala.
 
Niliwahi kuandika uzi wenye kuonesha ni kwa namna gani vijana skuizi tuna ujuaji wa kijinga.

Nashukuru sana scenario imeprove andiko langu.
Nashukuru pia kwakua nimejifunza kitu pia[emoji120]
 
Wazo langu:

Wameathiriwa na pranksters (hiddenen cameras) wasamehe sana .


(Kwa lugha rahisi.)
Kwasasa ukiwaaproach kwa njia hiyo wanaogopa kuonekana wakitrend youtube.
 
Kuna shida sana kwenye communication skills ya jamii yetu sio tu kwa wanachuo, hata wadada tu mtaani ukitaka mazungumzo nae njian mostly wanaanzaga na nyodo.

Kuna siku nilikua nimepita chuo cha kcmc, nilikua nataka kujua location ya ATM ya NMB kwa maeneo yalo, Haloo nikisimamisha wadada wa3 walio kua wakipita pale wote hawakua positive kutaka kuongea na mm, mpaka nika ghairi hilo zoezi.

Ni kama tunawaza ngono ngono tu, kwamba ukisimamishwa tu mtongozo unafuata, na hata kama ni hivyo huwezi kusema una mume/boyfriend?

Ni vyema watu tukabadili mtizamo, we need to socialize ety
 
Well said mkuu, tabia hii wanayo haswa wanawake. Unaweza kumsimamisha mwanamke mtaani kutaka kumuuliza kitu, cha kwanza anaanza kukutajia shida zake, hapo bado hujaanza kumwambia kile unachotaka kumuuliza. Yaani wanaboa kishenzi. Ndiyo maana kama nataka uliลผa mtu directions natafuta mwanamme mwenzangu.
 
Ungetengeneza shindano Moja zuri Kisha mshindi akapata hiyo laptop kigezo Cha kwanza ni asiwe na laptop na awe anatokea mazingira magumu kidogo nadhani hata huyo mfadhiri angeona umefanya vema we ukaleta mambo ya tik tok haya bhna
 
Ungeenda kwa Dean ,yy angekupa maelekezo na list ya wanachuo wahitaji
 
There is no free lunch....isipokuwa kwa wadada tu
 
Asilimia kubwa ya wahitimu wa vyuo hapa Tanzania bado wapumbavu na wana mambo ya kijinga sana. Usishangae muhitimu wa chuo kikuu hapa Tanzania kuwa na brain capacity ya mwanafunzi wa darasa la 5.
 
Uwongo mwingine wa ajabu sana.
Kwanza hakuna Mswede akupe laptop Apple 20 bure na dola juu ukagawe hamna.
Na kama ungepewa we ungekua mtu wa kwanza kuiba.
We sema umetaka kuwapa makavu wanachuo kwa njia hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ