mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Kumbe ni miradi😆😆 bas sawa nduguTafuta kazi ufanye mkuu,huu mradi ni kwa wanafunzi!,wewe siyo mwanafunzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni miradi😆😆 bas sawa nduguTafuta kazi ufanye mkuu,huu mradi ni kwa wanafunzi!,wewe siyo mwanafunzi!
Ni msaada maalumu kwa ajili ya wanafunzi,wewe pambana na umasikini wako mkuu!Kumbe ni miradi😆😆 bas sawa ndugu
Marekani yote HAKUNA State inayoitwa BostonKuna rafiki yangu mmoja ambaye si Mtanzania anaishi Marekani, Boston state!
Huyu jamaa kiasili ni Msweden ambaye anaishi huko Kwa Joe Biden, mimi na yeye urafiki wetu ulianza miaka mingi kidogo baada ya kukutana mkoani Arusha kwenye ishu moja hivi, kuanzia hapo tukawa kama ndugu!.
Sikutaka kabisa kushea hii ishu lakini kuna mdau mmoja nimekutana naye akanieleza habari za vijana ambao wako vyuoni na kile alichotaka kufanya ni kama amekatishwa tamaa na muitikio, mind u, hiyo ishu ingewanufaisha wanafunzi wenyewe lakini ni kama alikuwa anapigia mbuzi gitaa!
Ok kinaona nami niandike huu uzi uenda Vijana mlioko vyuoni mtabadilika kwasababu mnakosa fursa na bahati na mkimaliza vyuo mnaanza kupigia watu kelele!
Mwaka jana mwezi wa 4 huyo rafiki yangu Msweden aishie Marekani tuliwasiliana nae na akanitaka na kuniomba ya kwamba kuna lap top aina ya Mac book ziko 20 mpya kabisa ambazo anatarajia kunitumia,na atakapozituma nitafute wanafunzi wa vyuo ambao wako na changamoto za lap top niwagawie ili niwasaidie katika masomo yao!.
Hii ishu tulikuwaga tukiongea ananiambia kwasababu wakati yuko Arusha alipokuwa akitembelea vyuoni anaona namna wanafunzi wanavyopata taabu,hivyo akanitaka zitakapofika nihakikishe zinawafikia walengwa na kila nitakayekuwa nampatia nihakikishe nampigia Via WhatsApp wanawasiliana ili kumu-encourage,siyo hivyo tu bali alituma na kiasi cha fedha ambacho alitaka kila mwanafunzi kwenye hao wanafunzi 20 niwagawie $500 kila mtu!.
Ok,baada ya mzigo kufika na kuupokea nikaona ni vyema nianze na vyuo vya jiji la Dar es salaam kwakuwa ndipo nilipo ili baadae kwakuwa project ni endelevu nitaelekea mikoani huko pia!.
Chuo cha kwanza kwenda ilikuwa ni UDSM,Niliondoka na gari yangu nikaenda kuipaki pale mawasiliano,sikutaka kwenda na gari pale Udsm kwasababu nilizozijua mimi,hivyo nikachukua Laptop 4 nikaziweka kwenye Begi la mgongoni kisha nikaanza kutembea mdogo mdogo kuelekea huko!
Ilikuwa mida ya saa 6 mchana,wakati naingia pale Udsm kuna wanafunzi kadhaa nilikutana nao lakini kila nikijaribu kuwasimamisha walinikaushia huku wengine wakisogeza Earphone zao vizuri ili waendelee kula ngoma za Kiba na Mondi fresh!.
Nikaona siyo kesi,nikaendelea kupandisha juu ili ikiwezekana nizigawe na kuondoka,na sikutaka kuzigawa kama pipi, nilitaka kwanza tupige stori mbili tatu ili nifahamu kabisa niliyeongea naye anaouhitaji huo!
Kuna mademu ambao nilikuwa nikiwaangalia naona kabisa hata chai yawezekana hawajanywa lakini ukiwasimamisha wanajifanya kunataka huku hata kukuangalia hawakuangalii!.
Nilifika hadi uelekeo wa ile Maktaba mpya nikakutana na sister mmoja ambaye umri wake ulikuwa umeenda kidogo,nikamsimamisha nikamuomba aniazime muda na akakubali,hivyo nikaanza kumuhoji na kiukweli alikuwa na uhitaji huo,ikabidi nichomoe laptop nikampatia na nikamkabidhi na ile $500, aisee yule sister alidhani natania maana aliruka kwa furaha mnoo!, baada ya hapo wakazingumza na mshikaji akamshukuru sana!
Nikaelekea kwenye vile vizimba vya kujisomea,nikakuta wanafunzi 4,jamaa 2 na mademu 2 ila baada ya kuwasalimia na kuomba niongee na mmoja nikaona wenzie wanaondoka wakamwambia atawakuta stendi wanamsubiri ili waondoke,jamaa naye nikaona mawazo yako kwa yule demu mwingine akaniambia Bro nina haraka utanisamehe!,Ok nikaona isiwe kesi,nikaondoka zangu kutafuta wengine!.
Zile lap top pale mlimani zote nilizigawa kwa wanafunzi wa kike kwasababu wanaume wote kila nikitaka kuzungumza nao wanajifanya wanaweka Earphone masikioni!.
Baada ya hapo nilielekea vyuo vingine pia!.
Ninachotaka kusema hapa ni kwamba,Wanafunzi wa vyuo wengi ni wajinga na malimbukeni for nothing!.
Wengi wanajiona wajanja kumbe ni wajinga tu,hata sisi vyuo tumesoma na hatukuwahi kuwa na ulimbukeni huo wa kijinga!.Badilikeni
Baada ya hilo tukio nasikia wameanza kufunguka masikio na wananisubiri sana,kuna wengine wananipigia simu sana nadhani namba walipewa na hao waliopata hiyo bahati,naishia tu kuwaambia labda siku nyingine maana ni zamu ya wanafunzi wa mikoani!.
Wanafunzi wa vyuo badilikeni,unaposoma huwa ni kuondoa ujinga kichwani na kuwa na maarifa mapya,lakini baadhi yenu mnakuwa wajinga kwa kunata kiasi kwamba utadhani ni wewe tu ndiyo mwenye degree hapa duaniani!.
Sawa mkuu nadhani Boston itakuwa pale KyelaMarekani yote HAKUNA State inayoitwa Boston
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mie ni mtu wa shamba, nipe kazi hiyo bhana.Mkuu wewe niwa mjini,hiyo kazi inatuhusu sisi watoto wa mbwa tusiochagua kazi!
[emoji3][emoji3][emoji3]Masikini! Nawahurumia kondoo wa Mungu watakaoelekea kwenye machinjio yajulikanayo kama pm ya mleta mada
Mkuu,Kama mambo yanakuaga hivi sometime, sitokua nampuuza yoyote ninaekutana nae njiani
Mkuu kama una tatizo nieleze hapa nitakusaidia,mawasiliano ya mshikaji siwezi kukupa!Niunganishe na huyo msweden-tanzanian
tuwasiliane boss 0767911491
pm aifunguki
Kama ulitapeliwa na elimu yako,basi wewe ni ZEZETA LA KIMATAIFA1. Vile haviitwi vizimba, vinaitwa vimbweta.
2. Wanafunzi wa UDSM hawajapauka, hata mtu awe na shida kuna mazingira mazuri ya kuishi nazo.
3. Kwa matukio ya utapeli yaliyowahi kutokea, wewe ni mtu ambaye hukutakiwa kuaminiwa kwa namna yoyote ile. Tena watu kama nyinyi huwa mnatolewa mfano kabisa wakati wa orientation.
MbrrrrrrrrrrrrrrrrMbrrr mbrrrr mbrr
We mpumbav unasoma hata hauelewi. Wapi nimesema nilitapeliwa? Soma kwa kuelewa, sio unasoma tu.Kama ulitapeliwa na elimu yako,basi wewe ni ZEZETA LA KIMATAIFA
Kuchukua akili maana huna akili kabisaPm kufuata nini mkuu!
Japo kuna risk ya kusimamishwa na tapeli ila ni kua tu makiniMkuu,
Umelijua Hilo Leo mkuu Mimi huwaga sim dharau yeyote Alie HAI
😅😅😅Mkuu tapeli utamjua kwenye maneno yake..Japo kuna risk ya kusimamishwa na tapeli ila ni kua tu makini
Akili ukiwa nayo wewe ili umuudumie mumeo inatosha,mimi akili yangu nikugawa lap top na pesa kwa wasomi!Kuchukua akili maana huna akili kabisa