Ameshapewa file lako ambalo limeeditiwa aahaaaUnamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Mimi nikimsalimia mtu mara moja na nina uhakika 100% ameniona na kunisikia lakini akakausha sisumbuki tena kumsalimia labda anianze yeyeUnamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Kwani asipoitika unapoteza niniUnamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Ulikuwa unamtamani tu Huyo demu toka Mwanzo ....Nilipopanga Kuna dada mmoja muhaya nilivyoamia hapa nilimkuta ,ss nikawa tukionana namsalimia anaitikia km hatak ,cku zingine haitikii kbs nikaonaa km najipendekeza hv nikawa na vunga nikikutana naye cmsalimi NAMI imeeenda hvyo anaweza akafungua mlango akiwa anatoka ananikuta labda njee pekee yangu Wala hasalimii .
Bhana kaja kafiwa na mama yake na anatakiwa kwenda bukoba na nauli Hana akaomba anakojua nadhan akakosa ,jion npo zangu geto mlango unagongwa nafungua namkuta n yy [emoji28][emoji1787][emoji1787].
Nikamkaribishaa ndan heee kaingia mzma mzma uku anatia HURUMA ,akajieleza pale kafiwa kakwama nauli km naweza msaidia nimsaidiee .
Nikamwambiaa pole na msiba kwanza ,nikamuuliza mbona Huwa unisalimi kbs hata mm nikikusalimia uitikii Kwan tumegombanaga mm nawe.akajiumauma pale mwishowe nilimsaidia nauli japo baada ya msiba alikujaa ilipaa Kwa namnaa yakee c yakurudishiwa Hela Bali Ile namna wanaume tunafanyagaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
kwangu angeacha TV bondi... hela kwangu ni msala mzitoNilipopanga Kuna dada mmoja muhaya nilivyoamia hapa nilimkuta ,ss nikawa tukionana namsalimia anaitikia km hatak ,cku zingine haitikii kbs nikaonaa km najipendekeza hv nikawa na vunga nikikutana naye cmsalimi NAMI imeeenda hvyo anaweza akafungua mlango akiwa anatoka ananikuta labda njee pekee yangu Wala hasalimii .
Bhana kaja kafiwa na mama yake na anatakiwa kwenda bukoba na nauli Hana akaomba anakojua nadhan akakosa ,jion npo zangu geto mlango unagongwa nafungua namkuta n yy [emoji28][emoji1787][emoji1787].
Nikamkaribishaa ndan heee kaingia mzma mzma uku anatia HURUMA ,akajieleza pale kafiwa kakwama nauli km naweza msaidia nimsaidiee .
Nikamwambiaa pole na msiba kwanza ,nikamuuliza mbona Huwa unisalimi kbs hata mm nikikusalimia uitikii Kwan tumegombanaga mm nawe.akajiumauma pale mwishowe nilimsaidia nauli japo baada ya msiba alikujaa ilipaa Kwa namnaa yakee c yakurudishiwa Hela Bali Ile namna wanaume tunafanyagaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]