Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo kakamtu...🤣🤣🤣🤣🤣mi pia mgumu sana hizo mamboBinafsi salam ya shkamoo na marahaba sitoi wala sipendi kuzipokea. Mtu akiniamkia shkamoo nitapokea tu ili asijisikie vibaya ila huwa simwambii mtu shkamoo. Salam ya kishenzi sana...
Mambo Dadamtu 🤣🤣Shikamoo kakamtu...🤣🤣🤣🤣🤣mi pia mgumu sana hizo mambo
Kumbe bado wapo wanaosalimia siku hizi?🤔Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Fresh,hivi ndivyo inatakiwa tusalimiane kaka mtu🤣Mambo Dadamtu 🤣🤣
Inatakiwa kuwa hivi Dadamtu, mambo ya kunizeesha sitaki🤣Fresh,hivi ndivyo inatakiwa tusalimiane kaka mtu🤣
Jumapili Leo vipi nawe ni muumini au upande wa pili?
Mpige kidole 🖕🏽 uone km hajakuitikia simple sana yaan Wala usiumize kichwa chakoUnamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia,
Ww ndio mwanaume sasa shobo nokwangu angeacha TV bondi... hela kwangu ni msala mzito
Oooh okay sisi tu wamoja lkn....unakemea uzee sio?Inatakiwa kuwa hivi Dadamtu, mambo ya kunizeesha sitaki🤣
Leo zamu yako nadhani, jana ilikuwa zamu yangu😝
Uko sahih ndug mim kuna mmama nilikuwa namsalimia kuna kipind anaitika na kuna kipind haitik nilikuwa nikawa simsalimii du huwa hasikii vzur [emoji119]Wengine wana usikivu mdogo na huwa wanaogopa kusema, sio jambo la kuhitimisha kwamba kafanya maksudi
Kweli mkuuKuna wengine ni viziwi au wanachangamoto ya usikivu hafifu, we jaribu pia kumpungia[emoji1787]
Uzee unakuja taratibu ila kwa uhakika mamaOooh okay sisi tu wamoja lkn....unakemea uzee sio?
Mkuu umenikosha hapo kwenye lishabiki la utokuna mama mmoja hivi nilimpa salam akanikata jicho la chuki, akanicheki juu mpaka chini aisee halafu akayeya...
nusu saa baadae akarudi akanikuta namhesabia jirani yake laki moja na nusu.
Yule mama ikabidi ashindwe aende au arudi, asalimie au akauke..
nilivyoondoka tu jirani yake akampa data zangu...
kesho yake mchana napigiwa simu na namba ngeni, sauti ya mwanamke, inahitaji kuniona, kuna emergence eti... hahaha..
kwenda, namkuta yule mama sura limemshuka kama lishabiki la Yanga lililofungwa goli 3 na waarabu.. eti na yeye anataka KUKOPA LAKI...
TAFUTENI HELA, SALAM ACHIENI WATOTO WADOGO..
Yaani na Mimi nilitaka kuandika hivyo, umeniwahi.Wengine wanaishi kwa miongozo ya waganga wao, labda salamu za kawaida ila akiitikia shikamoo tu kwisha habari yake.