edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Walaaa cjawah kumtaman mkuu ,ilaa nilimkulaa Ili awe na adabu na uwezo wakurudisha Ile Hela akuwa nao[emoji28][emoji28][emoji28]Ulikuwa unamtamani tu Huyo demu toka Mwanzo ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaa cjawah kumtaman mkuu ,ilaa nilimkulaa Ili awe na adabu na uwezo wakurudisha Ile Hela akuwa nao[emoji28][emoji28][emoji28]Ulikuwa unamtamani tu Huyo demu toka Mwanzo ....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]anayo ss hyo TV mkuu ..ana kitu zaidi ya pamba anazovaa c unawajua Tena wahaya Kwa sifaa.kwangu angeacha TV bondi... hela kwangu ni msala mzito
Wanadada wengi wadogo , unakuta wa 2000 ila kwa hiyo minyama uzembe mara nyingi tu naishushia shkamoo ya nguvu.Wanaume ndio wanaongoza kutopenda kuitikia shikamoo, haswa watu wazima visheti.
“Linauliza Unataka kuninyima nini?” Bila hata aibu
Marahaba Dadamtu!Achana nae
Ilimuuma baada ya kukosa attention yako.Kuna mama mmoja nilimsalimia hakuitikia hila alinisikia kabisa toka hapo sijawahi msalimia hila cha ajabu alinigeuzia kibao anawaambia wenzake huyu mtoto anakiburi sana hasalimii anapita tu😂
Mkuu! Hawa wapo wengi sana. Kuna kijana alikuwa anakuja kwangu mara kwa mara na ikazoeleka nami nikamfanya kama mdogo wangu wa mwisho.Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Nadhani ni ivyoIlimuuma baada ya kukosa attention yako.
Tenda wema nenda zako, hayo ndo malipo ya wema uliowatendea.Mkuu! Hawa wapo wengi sana. Kuna kijana alikuwa anakuja kwangu mara kwa mara na ikazoeleka nami nikamfanya kama mdogo wangu wa mwisho.
Mwisho wa siku akawa anasimulia habari mbalimbali za mapambano ya maisha. Nami kwa kuwa alikuwa kama ndugu sasa nikamshauri afungue biashara ya duka.
Kwa jinsi alivyokuwa na hofu niliamua kutoa usaidizi wangu ili biashara ikae vizuri. Baada ya biashara kuimalika nikamshauri amuweke mkewe dukani, nae aendelee na mapambano mengine.
Ukweli Mungu kawasaidia wamepata kausafiri wana tumifugo nk. Basi mkewe kiburi kimeingia hataki hata kusalimia, anajifanya hakuoni hata ukimsalimia.
Binadamu wana kazi mzee!
Nikupe shule kidogo.Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.
sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,
Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Pole sana mkuu. Wanawake wana tabia za ajabu sana, si unaona hata kwenye huduma customer care ya wengi wao ni mbaya kwa wateja. Endela na maisha yako tu, muda ni kila kitu kwenye maisha.Mkuu! Hawa wapo wengi sana. Kuna kijana alikuwa anakuja kwangu mara kwa mara na ikazoeleka nami nikamfanya kama mdogo wangu wa mwisho.
Mwisho wa siku akawa anasimulia habari mbalimbali za mapambano ya maisha. Nami kwa kuwa alikuwa kama ndugu sasa nikamshauri afungue biashara ya duka.
Kwa jinsi alivyokuwa na hofu niliamua kutoa usaidizi wangu ili biashara ikae vizuri. Baada ya biashara kuimalika nikamshauri amuweke mkewe dukani, nae aendelee na mapambano mengine.
Ukweli Mungu kawasaidia wamepata kausafiri wana tumifugo nk. Basi mkewe kiburi kimeingia hataki hata kusalimia, anajifanya hakuoni hata ukimsalimia.
Binadamu wana kazi mzee!