Kuna baadhi ya watu ukiwasalimia hawaitikii salamu

Kuna baadhi ya watu ukiwasalimia hawaitikii salamu

Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.

sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,

Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Wewe umenona usoni unanisalimia mimi ambaye hata chai ya rangi sijaiona ili iweje yaani! Wewe endelea kuupiga mwingi na mama yako.
 
Mimi huwa nampa Shikamoo MTU ambaye namuona anaeleweka na sio kila MTU hivyo Kama mtu ni mkristo nampa Bwana yesu Asifiwe na kwa Muslim namwambia Assalamualaikum


Binafsi wanawake huwa siwasalimii labda yeye anianze na watu wazima nao wapa salamu lazima wawe Age 50+yes

Salamu ni kitu muhimu ila sio kwa mtu mweusi hajawa civilized kuelewa maana ya salamu
 
Kuna mama mmoja nilimsalimia hakuitikia hila alinisikia kabisa toka hapo sijawahi msalimia hila cha ajabu alinigeuzia kibao anawaambia wenzake huyu mtoto anakiburi sana hasalimii anapita tu[emoji23]
hila = ila.
 
Kawaida sana, temana nao hao mkuu.... mimi kitaa tokea wamejua napuliza mjani salamu zimepungua sana na hakuna nilichopungukiwa mpaka sasa
 
Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.

sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,

Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
NB:
Wa mama watu wazima mikoa ya pwani hawapendi kuamkiwa shikamoo...
Wewe salimia habari za asbh, mchana,jioni ukishindwa salimia Kwa kujiamini habari za saizi kwishaa
 
Unamuamkia mtu kwa nia nzuri lakini anakutazama kama hajasikia, unapotezea, kesho tena unamsalimia lakini bado haitikii salamu, hujawahi kosana nae wala kupishana kauli, hawa watu wapo ila wanakera sana, hasa hasa wadada.

sijui ni stress za maisha au wanaona huna hadhi ya kusalimiana nae,

Najua hata wewe ushakutana na chanagamoto kama hiyo.
Wengine sio watu ni majini
 
Wengine wana usikivu mdogo na huwa wanaogopa kusema, sio jambo la kuhitimisha kwamba kafanya maksudi
Hii nimekutana nayo mara mbili kumbe walikuwa viziwi,sasa hivi mtu nikimsalimia hanijibu si conclude upesi.
 
Kuna mmama mzee, nyumba kama ya tatu kutoka ninapoishi tulikuwa tunasalimiana freesh tu,ghafla akabadilika mara aitikie kama anaumwa ,mara nyingine asiitikie.Nilichofanya sasa hivi namuona kama jiwe napita tu na watu ninaoishi nao nimepiga marufuku kumsalimia.Anaongea ongea tu huko pembeni sina adabu.
 
Kuna mmama mzee, nyumba kama ya tatu kutoka ninapoishi tulikuwa tunasalimiana freesh tu,ghafla akabadilika mara aitikie kama anaumwa ,mara nyingine asiitikie.Nilichofanya sasa hivi namuona kama jiwe napita tu na watu ninaoishi nao nimepiga marufuku kumsalimia.Anaongea ongea tu huko pembeni sina adabu.
We nae mkoloni kama mjukuu wa Nyerere, yaani umewapiga wengine marufuku wasimsalimie jamani 🥴🥴🥴 Lamomy
 
Back
Top Bottom