Kuna baadhi ya wazazi wanaishi kwa siri na maumivu makubwa. Wanatamani wawaombe watoto wao msamaha lakini hawajui waanzeje

Kuna baadhi ya wazazi wanaishi kwa siri na maumivu makubwa. Wanatamani wawaombe watoto wao msamaha lakini hawajui waanzeje

Ni mpaka uishi hayo maisha ndio unaweza kupata hisia halisi za hii mada
Hapa nazungumzia wale wazazi kwa sababu zozote zile waliwatelekeza watoto wao udogoni na kuja kuonana nao ukubwani
Hapa nazungumzia wale wazazi ambao walitengena kwa sababu zozote zile na watoto kulelewa na mzazi mmoja ama mzazi wa kufikia.. Mzazi wa kambo
Kuna unafuu kidogo kama huyo mtoto/watoto huko wanakolelewa wakapata mapenzi kama ya mzazi halisi.. Kuna wachache wana hiyo bahati.. Wengi wameambulia mateso, masimango na shida za kila aina
Kuna wazazi wa kike walipata ujauzito wakiwa shuleni..wakaacha masomo na kulea mimba na hatimaye kujifungua salama.. Baadhi walitaka kurudi na kuendelea na masomo hivyo kuwaachia ndugu zao walee mtoto ...maranyingi ni mama dada au shangazi
Makuzi ya mtoto katika umri wa awali ni muhimu sana kupata mapenzi ya wazazi wote wawili.. Mmoja ama wote wakiyumba mapenzi hayo huhamishiwa kwa walezi wanaowalea
Kuna wazazi ambao walitengena wakiwa kwenye ndoa na watoto na baada ya hapo wakapata wenza wapya! Hapo watoto wanaenda kuanza maisha mapya mageni kwa mama/baba wa kufikia

Kuna tofauti kubwa sana kati mzazi halisi na mzazi wa kufikia.. Daima kuna kitu kitapungua
Kuna baadhi ya wazazi ambao walipata watoto kabla ya ndoa na sasa wakapata watu wa ndoa, hapo wengi waliwaacha watoto kwa ndugu ili wao wakajenge ndoa zao
Kuna wazazi waliwatelekeza watoto kwa ndugu na wao kupotea kwenda kutafuta maisha
Scenario ni nyingi lakini mwisho wa siku watoto huwa wakubwa na kuja kukutana na wazazi wao halisi(kwa wale wenye bahati hiyo)
Hapo watoto huwa na maswali mengi sana ambayo wengi huwa hawayaulizi.. Na wazazi nao huwa na maelezo mengi sana lakini hawajui waanzie wapi
Ukaribu kati ya wawili hawa huwa hauna strong bonds.. Matokeo yake ni watoto kuwa na vinyongo na wazazi wao.. Huku wazazi wakiwa na maumivu ya ndani, wakitamani wajieleze na kuomba msamaha lakini hawajui waanzie wapi

Zile nyakati za shule wakati watoto wakifuatwa na wazazi wao
Zile nyakati za shule watoto wanaposimuliana furaha za nyumbani na wazazi wao.. Kuna ambao hawana cha kusimulia na hubaki na maumivu na maswali mengi.. Huku nao wakitamani wangekuwa na wazazi wao..
Ni afadhali waambie wajue kwamba wazazi wamekufa kuliko waambiwe wapo Hai

Mifano ni mingi hata hapa JF..!
So Sad tena painful memory it comes pale unajikuta una mtoto/watoto the way unavowapa mapenzi ya dhati ambayo ukifikilia wewe uliyakosa kwa kuishia kula vipigo na manyanyaso bad enough mzazi badala ya kutengeneza bado anazidi kubomoa kwa kutoa dissapointment words and use time to complain instead of loving and inspire wanasahau mtoto kwa mzazi hakui we still need love from them no matter how older we are BUT what to do ndo wazazi wetu tena, SOMETIMES kuna muda unajiuliza au mimi ndo nina shida coz huhisi msukumo wowote ndani wa kumtafuta mzazi hata kumsalimia lakini jibu linakuja ni kutokana na kukosa BONDING of love since childhood, Mtoto wa kunzia miaka 3-4 anauwezo wa kukumbuka matukio ya maumivu pale napokuwa mkubwa so wazazi wajitahidi sana kuwaonesha watoto upendo wakiwa wadogo na hata akikosea jitahidi kutafuta njia sahihi ya kumrekebisha na si kumtesa kwa kusema unamkomaza Ts REALLY BAD.
 
Hii imenigusa mno mno baba na mama walitengana nikiwa miaka 6 tukatengana na mama mim na mdogo wangu Sasa tuko na miaka 30 sijuag upendo wa mama miaka yote yupo ni kuongea Kwa sim mara chache miaka hata miwil au mitatu tusimuone Sina Ile bond na mama Sina Ile feeling kwamba Kuna mtu anaitwa mama sijui mapenz ya mama yakoje yaan sijui kma Kuna mtu ananielewa Kwa Sasa mama akikutafuta nikukuambia shida za hela na sio kwamba Hana lahasha hakuna story yoyote zaid ya hela yaan naweza kaa hata wiki nisimkumbuke yaan hayupo Kwa akili yangu kabisa
 
Ni mpaka uishi hayo maisha ndio unaweza kupata hisia halisi za hii mada
Hapa nazungumzia wale wazazi kwa sababu zozote zile waliwatelekeza watoto wao udogoni na kuja kuonana nao ukubwani
Hapa nazungumzia wale wazazi ambao walitengena kwa sababu zozote zile na watoto kulelewa na mzazi mmoja ama mzazi wa kufikia.. Mzazi wa kambo
Kuna unafuu kidogo kama huyo mtoto/watoto huko wanakolelewa wakapata mapenzi kama ya mzazi halisi.. Kuna wachache wana hiyo bahati.. Wengi wameambulia mateso, masimango na shida za kila aina
Kuna wazazi wa kike walipata ujauzito wakiwa shuleni..wakaacha masomo na kulea mimba na hatimaye kujifungua salama.. Baadhi walitaka kurudi na kuendelea na masomo hivyo kuwaachia ndugu zao walee mtoto ...maranyingi ni mama dada au shangazi
Makuzi ya mtoto katika umri wa awali ni muhimu sana kupata mapenzi ya wazazi wote wawili.. Mmoja ama wote wakiyumba mapenzi hayo huhamishiwa kwa walezi wanaowalea
Kuna wazazi ambao walitengena wakiwa kwenye ndoa na watoto na baada ya hapo wakapata wenza wapya! Hapo watoto wanaenda kuanza maisha mapya mageni kwa mama/baba wa kufikia

Kuna tofauti kubwa sana kati mzazi halisi na mzazi wa kufikia.. Daima kuna kitu kitapungua
Kuna baadhi ya wazazi ambao walipata watoto kabla ya ndoa na sasa wakapata watu wa ndoa, hapo wengi waliwaacha watoto kwa ndugu ili wao wakajenge ndoa zao
Kuna wazazi waliwatelekeza watoto kwa ndugu na wao kupotea kwenda kutafuta maisha
Scenario ni nyingi lakini mwisho wa siku watoto huwa wakubwa na kuja kukutana na wazazi wao halisi(kwa wale wenye bahati hiyo)
Hapo watoto huwa na maswali mengi sana ambayo wengi huwa hawayaulizi.. Na wazazi nao huwa na maelezo mengi sana lakini hawajui waanzie wapi
Ukaribu kati ya wawili hawa huwa hauna strong bonds.. Matokeo yake ni watoto kuwa na vinyongo na wazazi wao.. Huku wazazi wakiwa na maumivu ya ndani, wakitamani wajieleze na kuomba msamaha lakini hawajui waanzie wapi

Zile nyakati za shule wakati watoto wakifuatwa na wazazi wao
Zile nyakati za shule watoto wanaposimuliana furaha za nyumbani na wazazi wao.. Kuna ambao hawana cha kusimulia na hubaki na maumivu na maswali mengi.. Huku nao wakitamani wangekuwa na wazazi wao..
Ni afadhali waambie wajue kwamba wazazi wamekufa kuliko waambiwe wapo Hai

Mifano ni mingi hata hapa JF..!
Ni miaka 40 sasa sijaonana na mzee,najua alipo na tunawasiliana,siku ntakayonana nae ana kwa ana sidhani kama itakuwa siku yenye furaha, maana kuna maswali mengi sana ntataka anijibu.
Nahisi tutaishia kugombana ingawa sina nachohitaji kutoka kwake, nina hasira nae sana,kulelewa na mzazi mmoja wakati mzazi mwingine yupo inaumiza sana.
I will be like... " eeeh mzee ...what happened?".
Ntamuwashia moto asiponipa majibu ya kueleweka. Nina dukuduku sana, sipendi kumuuliza kwa njia ya simu nataka anijibu tukiwa tunaangaliana usoni.
 
Ni miaka 40 sasa sijaonana na mzee,najua alipo na tunawasiliana,siku ntakayonana nae ana kwa ana sidhani kama itakuwa siku yenye furaha, maana kuna maswali mengi sana ntataka anijibu.
Nahisi tutaishia kugombana ingawa sina nachohitaji kutoka kwake, nina hasira nae sana,kulelewa na mzazi mmoja wakati mzazi mwingine yupo inaumiza sana.
I will be like... " eeeh mzee ...what happened?".
Ntamuwashia moto asiponipa majibu ya kueleweka. Nina dukuduku sana, sipendi kumuuliza kwa njia ya simu nataka anijibu tukiwa tunaangaliana usoni.

Wala usimuulize chochote.
Haitabadili chochote.
Mpotezee Wala usimuwekee kinyongo
 
Good message.Kuna kisa kimoja cha ndugu yangu ambacho pia ni funzo kubwa hasa kwa maamuzi ya Kiutu uzima kwa ajili ya kesho ya watoto.Mke wa jamaa ni mtumishi mkubwa tu serikalini na jamaa alipotaka wakae kwa pamoja Kagoma katakata maana wako mikoa tofauti na uhamisho inawezekana.Alichoamua jamaa ni kuwa na watoto na anaowasomesha vizuri tu na akaapa hatooa mke mwingine atafia umoumo kwenye ndoa yake.Ukimuuliza anasema kwake watoto wana thamani kubwa kuliko mateso anayoitoa.Kumbe watoto wengi wanateseka kwa sababu ya ubinafsi wa wazazi wao.
.Alichoamua jamaa ni kuwa na watoto na anaowasomesha vizuri tu na akaapa hatooa mke mwingine atafia umoumo kwenye ndoa yake.Ukimuuliza anasema kwake watoto wana thamani kubwa kuliko mateso anayoitoa.Kumbe watoto wengi wanateseka kwa sababu ya ubinafsi wa wazazi wao.🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Ni mpaka uishi hayo maisha ndio unaweza kupata hisia halisi za hii mada
Hapa nazungumzia wale wazazi kwa sababu zozote zile waliwatelekeza watoto wao udogoni na kuja kuonana nao ukubwani
Hapa nazungumzia wale wazazi ambao walitengena kwa sababu zozote zile na watoto kulelewa na mzazi mmoja ama mzazi wa kufikia.. Mzazi wa kambo
Kuna unafuu kidogo kama huyo mtoto/watoto huko wanakolelewa wakapata mapenzi kama ya mzazi halisi.. Kuna wachache wana hiyo bahati.. Wengi wameambulia mateso, masimango na shida za kila aina
Kuna wazazi wa kike walipata ujauzito wakiwa shuleni..wakaacha masomo na kulea mimba na hatimaye kujifungua salama.. Baadhi walitaka kurudi na kuendelea na masomo hivyo kuwaachia ndugu zao walee mtoto ...maranyingi ni mama dada au shangazi
Makuzi ya mtoto katika umri wa awali ni muhimu sana kupata mapenzi ya wazazi wote wawili.. Mmoja ama wote wakiyumba mapenzi hayo huhamishiwa kwa walezi wanaowalea
Kuna wazazi ambao walitengena wakiwa kwenye ndoa na watoto na baada ya hapo wakapata wenza wapya! Hapo watoto wanaenda kuanza maisha mapya mageni kwa mama/baba wa kufikia

Kuna tofauti kubwa sana kati mzazi halisi na mzazi wa kufikia.. Daima kuna kitu kitapungua
Kuna baadhi ya wazazi ambao walipata watoto kabla ya ndoa na sasa wakapata watu wa ndoa, hapo wengi waliwaacha watoto kwa ndugu ili wao wakajenge ndoa zao
Kuna wazazi waliwatelekeza watoto kwa ndugu na wao kupotea kwenda kutafuta maisha
Scenario ni nyingi lakini mwisho wa siku watoto huwa wakubwa na kuja kukutana na wazazi wao halisi(kwa wale wenye bahati hiyo)
Hapo watoto huwa na maswali mengi sana ambayo wengi huwa hawayaulizi.. Na wazazi nao huwa na maelezo mengi sana lakini hawajui waanzie wapi
Ukaribu kati ya wawili hawa huwa hauna strong bonds.. Matokeo yake ni watoto kuwa na vinyongo na wazazi wao.. Huku wazazi wakiwa na maumivu ya ndani, wakitamani wajieleze na kuomba msamaha lakini hawajui waanzie wapi

Zile nyakati za shule wakati watoto wakifuatwa na wazazi wao
Zile nyakati za shule watoto wanaposimuliana furaha za nyumbani na wazazi wao.. Kuna ambao hawana cha kusimulia na hubaki na maumivu na maswali mengi.. Huku nao wakitamani wangekuwa na wazazi wao..
Ni afadhali waambie wajue kwamba wazazi wamekufa kuliko waambiwe wapo Hai

Mifano ni mingi hata hapa JF..!
Kitu ambacho hujui Watz na Wafrkka hawajali kitu chochote kuhusu hilo.
 
Ni miaka 40 sasa sijaonana na mzee,najua alipo na tunawasiliana,siku ntakayonana nae ana kwa ana sidhani kama itakuwa siku yenye furaha, maana kuna maswali mengi sana ntataka anijibu.
Nahisi tutaishia kugombana ingawa sina nachohitaji kutoka kwake, nina hasira nae sana,kulelewa na mzazi mmoja wakati mzazi mwingine yupo inaumiza sana.
I will be like... " eeeh mzee ...what happened?".
Ntamuwashia moto asiponipa majibu ya kueleweka. Nina dukuduku sana, sipendi kumuuliza kwa njia ya simu nataka anijibu tukiwa tunaangaliana usoni.
Ntamuwashia moto asiponipa majibu ya kueleweka. Nina dukuduku sana, sipendi kumuuliza kwa njia ya simu nataka anijibu tukiwa tunaangaliana usoni.🤔🥺
 
.Alichoamua jamaa ni kuwa na watoto na anaowasomesha vizuri tu na akaapa hatooa mke mwingine atafia umoumo kwenye ndoa yake.Ukimuuliza anasema kwake watoto wana thamani kubwa kuliko mateso anayoitoa.Kumbe watoto wengi wanateseka kwa sababu ya ubinafsi wa wazazi wao.🥺🤔🙇🏿‍♂
Ofcourse Watoto wanalipa gharama ya Starehe za wazazi wao.
 
Back
Top Bottom