Kuna baadhi ya wazazi wanaishi kwa siri na maumivu makubwa. Wanatamani wawaombe watoto wao msamaha lakini hawajui waanzeje

Wahi kamsalimie kabla hajanyamaza ukajilaumu!!

Usiishie kulaumu wazee kina mama wanazingua sana haha maisha!!
 
Achana naye huyo mzee wako ajifie tu apoteee hana maana.

Nina hasira sana na watu wanaotelekeza watoto
 
Mkuu Mshana Jr ulichoandika hapa ni ukweli kabisa, Mimi ni Mhanga kabisa, na ilitokea kwa Wazazi wangu wote. Mzazi wa kiume mpaka leo huwa hata kupokea simu yangu no ngumu kwa sababu ya mambo ya kuvunja moyo aliyonifanyia miaka 16 iliyopita na kwa uwezo wa Mungu nili survive na yeye akaishia kuaibika tu, na hata tukikutana huwa ananiogopa sana na kutetemeka ule ujasiri mpaka sasa hana.

Mama naye alinifanyia mambo mabaya sana lakini alikuja kugundua kile alichokuwa ananifanyia sio sahihi aliniomba sana msamaha na kwa moyo mweupe kabisa nikamsamehe, sasa katika kuendelea na maisha ya kila siku huwa napata kujua kwanini alikuwa ananifanyia vile, na Mimi huwa namwambia kwa uthabiti na kwa hisia sana anaishia kuhuzunika na kulia sana ingawa nilishamsamehe kwa dhati. Lakini bado anajiona na hatia sana. Sasa kwa upande mwingine na Mimi huwa naumia sana sijui hili linakuwaje Mkuu ?
Nilishawahi kuandika uzi kwa baadhi ya matukio yaliyonikuta na familia yangu.
Huwa najitahidi sana kufanya na kuonyesha sina kinyongo na Mama kwa sababu sote tunaishi Jijini. Lakini yeye ndiye anajutia sana vile ninavyomuonesha kumjali.
But anadhani labda kama namfanyia maigizo sijui nafanyaje kumfanya ahisi kama sina kinyongo naye.
 
Pole sana mkuu ukawaje ukapigwa na pande zote mbili? Ulikuwa mkorofi sana?
 
Nguvu ya maombi na msamaha mkuu ni kubwa sana
Your browser is not able to play this audio.
 
Bush Dokta
Mshana Jr
Pitieni hapo kwenye huu uzi mtaona na kama mna uwezo wa kuangalia mambo kwa jicho la tatu mtaona how hardly I survived to gain the momentum mpaka kufikia hapa nilipo leo

Thread 'Maisha sio kulalamika, ni kupambana tu...' https://www.jamiiforums.com/threads/maisha-sio-kulalamika-ni-kupambana-tu.2108610/

Post # 18 kwenye huu uzi ni ya jamaa niliyesoma naye Primary mpaka Sekondari tukaja kuachana baadaye lakini bado baadae tukakutane tena kwenye mizunguko na maisha yangu yalivyokuwa sio maigizo.
 
Mkuu nimevutiwa kuijua hata kidogo alikua anakufanyia nn bi mkubwa wako
 
Naomba niisome kwa utulivu mzuri usiku wa leo nikitoka meditation
 
Naomba niisome kwa utulivu mzuri usiku wa leo nikitoka meditation
Aisee Mkuu natamani kuonana na Wewe still na face some trials nashukuru kuna dogo alinipa namba yako naweza kukucheki next week kuna mambo fulani naweza nikapata connection ili kufanikisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…