Kuna binadamu wanakula jamani, nani aliwahi kukushangaza kwenye sekta ya misosi?

Mimi huwa nashangaa inakuaje watu wanaweza kula jioni wakati wanaenda kulala binafsi nafungua kinywa asubuhi kidogo na kula mchana, ila nashangaa wanaweza vipi kula milo zaidi ya miwili?
Na miti unapiga kama kawa???
 
Kuna dawa za asili upewe hasa kwa watoto wenye umri wa miaka kuanzia 15-20 katika hali ya kubalance mambo hayo ili wasipitilize
 
Mimi huwa nashangaa inakuaje watu wanaweza kula jioni wakati wanaenda kulala binafsi nafungua kinywa asubuhi kidogo na kula mchana, ila nashangaa wanaweza vipi kula milo zaidi ya miwili?
Miwili tu kama mimi, safi!
ila mimi nakula mchana na jioni, mlo wangu wa kwanza saa sita na nusu mchana.
 
Wamerithi kwa wazazi wao sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…