Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
UshindweeeeeeeKama hawavuti bangi hao watoto sijui.
Najaribu kuwaza tu Bibie si kwa ubaya,fanya kauchunguzi kidogoUshindweeeeeee
On a second thought, huwa wanapiga sana huu wimbo so maybe;
View: https://youtu.be/WeYsTmIzjkw?si=kWaLHpib7OuKUKnR
Moja na Pepsi big πUnakula sahani ngapi za kiepe yai mai?
Na miti unapiga kama kawa???Mimi huwa nashangaa inakuaje watu wanaweza kula jioni wakati wanaenda kulala binafsi nafungua kinywa asubuhi kidogo na kula mchana, ila nashangaa wanaweza vipi kula milo zaidi ya miwili?
Inawezekana kabisa, ngoja nichunguze.Najaribu kuwaza tu Bibie si kwa ubaya,fanya kauchunguzi kidogo
Sawa bibie,Inawezekana kabisa, ngoja nichunguze.
Kuna dawa za asili upewe hasa kwa watoto wenye umri wa miaka kuanzia 15-20 katika hali ya kubalance mambo hayo ili wasipitilizeMimi ni wanangu wa kiume wana miaka kati ya 17 na 19, hua wanaamka asubuhi na kuweka wali kwenye rice cooker kwa sababu wakila vitafunio kama mikate hawashibi.
Wanaanza na chai na kitafunio kama starter, halafu wanakula wali wao na mboga watakayokua wamejipikia, Kwa wiki tunamaliza kilo 40 za mchele. Wakiwa wanakula ni kama vita wakimaliza wamelowa jasho na cha kushangaza hawanenepi, ukiwaona huwezi kuamini kiasi cha msosi wanachokula.
Uzuri wote wanapenda kupika na wanajifunza mapishi mapya for fun ili wajifaidie. Kama wazazi tunawasapoti tu hela tu za matumizi wanaenda kuhemea vitu vyao wenyewe.
Niliacha kuwapikia walioifikisha miaka 12 nikahakikisha nimewafundisha basics na kuwanunulia vifaa vya kuwarahisishia mapishi ili wajipikie wenyewe maana sikuweza kukeep up na spidi yao.
Wewe ni nani ambaye unamvulia kofia kwenye hiyo sekta?
View attachment 3239244
View attachment 3239243
Labda, ngoja tuone, la sivyo wakioa itakua kasheshe.Wakianza kutumia hela walizozipata kwa jasho lao kununulia misosi wataacha.
Miwili tu kama mimi, safi!Mimi huwa nashangaa inakuaje watu wanaweza kula jioni wakati wanaenda kulala binafsi nafungua kinywa asubuhi kidogo na kula mchana, ila nashangaa wanaweza vipi kula milo zaidi ya miwili?
Huwa hiyo nafanya tu pale ninapotaka kuzaliana π€£Na miti unapiga kama kawa???
Wamerithi kwa wazazi wao sio bureDuuh! Hao wanao ni hatari. Lol
Japo nikiwa kama mzazi pia nakushauri hao wanao walee kwa kuwajengea kwamba kuna leo na kesho nikimaanisha si kila wanachofanya sasa basi uwaache tu sababu unao uwezo wa kuwatimizia.
Kilo 40 za mchele nyingi eti kwa wiki.
Jioni siwezi kabisa nilijaribu nikakosa usingizi.Miwili tu kama mimi, safi!
ila mimi nakula mchana na jioni, mlo wangu wa kwanza saa sita na nusu mchana.
Hawa watoto wa mjini, hawajui kulima.Wape shamba walime
Jela tena π³Waambie watoto wako kuna jela
mama ali tupa majina ya the machines π€£πhawa lazima wale sana, wapo kwenye hatua ya ukuaji
17 mimi nilikuwa napiga ule mkate wa 2300 mwenyewe
achana na Milo 3, sisi home huwa hadi Ina karibia 9 ,π€£πMimi huwa nashangaa inakuaje watu wanaweza kula jioni wakati wanaenda kulala binafsi nafungua kinywa asubuhi kidogo na kula mchana, ila nashangaa wanaweza vipi kula milo zaidi ya miwili?
Aisee, watu ni hatari sana!Emmanuel huyu jamaa alikuwa ananishangaza alikuwa akiagiza wali anataka uje na kofia.Kofia ni chips mayai inawekwa juu ya wali.Kajamaa kembamba kanakula taratibu ila msosi mwingi kisenge.
Dah mimi siwezi kabisa nahisi nimezoesha tumbo langu hivyo.achana na Milo 3, sisi home huwa hadi Ina karibia 9 ,π€£π