Kuna binadamu wanakula jamani, nani aliwahi kukushangaza kwenye sekta ya misosi?

Kuna binadamu wanakula jamani, nani aliwahi kukushangaza kwenye sekta ya misosi?

Dah mimi siwezi kabisa nahisi nimezoesha tumbo langu hivyo.
Nakuelewa Kuna muda nili kuwa nakula mlo 1 kwa siku, Tena saa 11 au 1 jioni.

sio kwamba sikuwa na hela nope, ila mambo ni mengi.

una amka saa 11 kuja kushituka saa 6, una sema ngoja ifike saa 10.
una kuja kugundua ni saa 1, ukila ni kulala mida hiyo hiyo.
 
Duuh! Hao wanao ni hatari. Lol

Japo nikiwa kama mzazi pia nakushauri hao wanao walee kwa kuwajengea kwamba kuna leo na kesho nikimaanisha si kila wanachofanya sasa basi uwaache tu sababu unao uwezo wa kuwatimizia.

Kilo 40 za mchele nyingi eti kwa wiki.
Kweli, unesema vyema.

Sasa kwenye hili la chakula, hebu nisaidie maeazo, nifanyaje kuwaandaa na hayo ya leo na kesho? niwanyime wakae na njaa?
 
kuna msukuma aliwahi kula elfuu 30 yangu baada ya kumaliza kisado kimoja cha uji na chapati 35 muda wa mapumziko. cha ajabu na mchana pia nikamuona kwenye foleni muda wa lunch.

kuna mwingine alikula elfu 25 yangu baada ya kunifutia kreti moja ya soda non stop

tangu siku iyo mtu akinambia anaweza kumaliza ata kilo 50 za wali hususan kama ni msukuma simbishii
 
kuna msukuma aliwahi kula elfuu 30 yangu baada ya kumaliza kisado kimoja cha uji na chapati 35 muda wa mapumziko. cha ajabu na mchana pia nikamuona kwenye foleni muda wa lunch.

kuna mwingine alikula elfu 25 yangu baada ya kunifutia kreti moja ya soda non stop
Duuh hizo ni kali kuliko 😅

Ila umetusaidia, sitajaribu kumchallege msukuma kwenye msosi!
 
ukipata bi mkubwa kama huyu ukikua unamnunulia ranger inaonekana anapenda kuona wanae wanakula na sio kwetu uku utasimangwa lkn utashiba na maneno
 
Nakuelewa Kuna muda nili kuwa nakula mlo 1 kwa siku, Tena saa 11 au 1 jioni.

sio kwamba sikuwa na hela nope, ila mambo ni mengi.

una amka saa 11 kuja kushituka saa 6, una sema ngoja ifike saa 10.
una kuja kugundua ni saa 1, ukila ni kulala mida hiyo hiyo.
Ila kiafya pia ni vizuri sana hauwezi kuwa na uzito wa kijinga jinga.
 
Ila kiafya pia ni vizuri sana hauwezi kuwa na uzito wa kijinga jinga.
Ehh, Kuna muda hata maji huwa sinywi asubui.

nakuja kunywa saa 6/7, juice ya limao au majani fulani hivi hayana ladha chungu ila ni Kama chai.

sambusa za nyama, sharifu au shawarma.
 
Binafsi nikiwa na miaka 5yrs mpk 20, nilikuwa nakula kama siko vzr, yaani tunaweza maliza kula tukakaanga mihogo au viazi vitamu au ndizi,

Maziwa ya mgando, sijui mayai was available

Lakini na miaka hii ya 20+ sina hamu ya msosi nikila fresh nisipokula fresh mpk nyumbn wanashangaa ni wewe uliyekuwa unakula km mchwa so poa....
 
ukipata bi mkubwa kama huyu ukikua unamnunulia ranger inaonekana anapenda kuona wanae wanakula na sio kwetu uku utasimangwa lkn utashiba na maneno
Yani tumepambana hivi kuja kuwapa watoto wetu maisha bora, leo msosi utushinde. Hata sijasema kiasi cha nyama na kuku, waja wangenichamba sana humu!

Range watawanunulia mama watoto zao, sisi tunafanya majukumu yetu tu!

Na pole kwa kushibishwa maneno, pambana wanao waje kushiba chakula wanachopendelea.
 
Walaji km Walaji, tumewaona bhana. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah, Nakusubiri Miaka yako mi 5 mbele ili nicheke vizuri, Halafu sasa mtu akukute njiani Sister du wa maana. Sahani unayofuta sasa😁😁😁😁 Gubu hoyeeeeeeee
🤣🤣 cha msingi ninae Mr. Tizi.. hakijaharibika kitu.. tunakula mchana, jioni zoezi… siogopi gubu
 
Back
Top Bottom