Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Dah, imebidi nicheke tuNaomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Mkuu hivi unajua direct kutoka Dar hadi Los Angeles ni km 16000??Ni zaidi ya hizo, flight distance ya Ethiopia to Nigeria ni 4000
Chini ni zaidi ya km 15000
Hapana zipo za kuunga unga tuNaomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Mleta madaNaomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Nchekie kilinge kinasemaje, usafiri wa kwenda Kihurio chap mkuuHuko check na Kilinge cha Mbagala
Hata likiwepo ni ghali bora kupanda ndege.Tehe tehee....samahani mkuu imebidi nicheke kwanza.
Kwa barabara kuroka Dar to Ghana ni 7053kmNi zaidi ya hizo, flight distance ya Ethiopia to Nigeria ni 4000
Chini ni zaidi ya km 15000
Au achukuwe Yale ya kutokea kiseke ppf[emoji16][emoji16][emoji16]Upo Mwanza sehemu gani mkuu. Kuna yale mabasi yanayozuungukia Kirumba nafikiri yanaweza kukushusha Ghana. Au panda ya Pansiasi kisha shuka pale kona usubirie hapo ya kukufikisha Ghana.
Unaweza ukachukua boda fasta tu ukafika Ghana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji3516]
Bila kupumzika qudadeq hatoboi,si bora apande ndegeKwa barabara kuroka Dar to Ghana ni 7053km
Mwendo wa siku 5.
Kutokea Arusha ni 6,043km ni 4days na 9hrs
Lile asipande.... wapuuzi sana.... hakuna kuchimba dawaLipo huwa linaanzia Zanzibar