Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

Hiyo Katiba ya Namibia iliandikwa na Jaji Joseph Warioba na Jaji Mark Bomani (RIP) mwaka 1991 huku Mizengo Pinda akiwa msaidizi wao. Hata huyu marehemu Dr Hage Geingob alikuwapo kwenye jopo hilo la latiba kama local expert.
Ya kweli haya ?
 
Kama hicho ndio kigezo basi ya Tz ni katiba bora zaidi. Sababu sisi hatufanyi kabisa uchaguzi mpya makamu anapokea kijiti na tunaokoa gharama za uchaguzi

Yah right.

Makamu anachukua halafu anang'ang'ania ...... kama COUP hivi!!
 
waroho wa madaraka mara zote wao huwaza uchaguzi tu

kuna Watu hawakuitisha maandamano kwa ajili ya kupanda gharama za maisha wala Mgao wa Umeme

lakini ilipokuja marekebisho ya sheria ya uchaguzi haraka haraka wakaitisha maandamano kushinikiza Serikali iongeze idadi yaani kila jambo liwe na Wabunge wawili
Mkuu rais wao alikufa kwenye hospital in Iowa Pohamba jijini windhiek.

Vipi wewe ni wa huko nini?
 
waroho wa madaraka mara zote wao huwaza uchaguzi tu

kuna Watu hawakuitisha maandamano kwa ajili ya kupanda gharama za maisha wala Mgao wa Umeme

lakini ilipokuja marekebisho ya sheria ya uchaguzi haraka haraka wakaitisha maandamano kushinikiza Serikali iongeze idadi yaani kila jambo liwe na Wabunge wawili
Noted
 
Waasisi wa nchi zao wanajua how choice works, nchi yetu hatujui KUCHAGUA lipi la kwenda nalo mpaka sasa,

Fikiria tulivyoingia:-

(a)kwenye sera za ujamaa,

(b) mpaka mwaka 2024 still in our country
mtu anaona katiba yetu iko sawa eti anaogopa gharama za uchaguzi!

Taifa laweza kulinda uhai au hata kuanzisha vita kwa ajili ya kumwokoa mtu mmoja tu kwa gharama yoyote.

Kwa usalama wa Rais na pia hata wa Makamu wa Rais katiba ya Namibia iko sawa sana!

Haiweki rehani usalama wa rais kisa gharama za uchaguzi!
(c) fikiria aina ya Muungano wetu,
(d) fikiria elimu tunavyoiendesha.
(e) fikiria kodi na namna zisivyorudi zilikokusanywa kwa uwiano kuendeleza nchi kwa usawa
etc
Kwa katiba yetu, fikiria jinsi Makamu wa Rais mlafi anavyoweza kula njama na kumuua Rais ili arithi. Katiba mbovu kabisa
 
MTU hukuandalia rais kivipi mkuu,
Wakati alikuwa makamu wa Rais
Na alipigiwa kura na wananchi
Hakuna anayekwenda kupanga foleni ya kupiga kura ati Ili amchague makamu wa rais na after all kile kibox Cha kuweka tick au x Huwa kipo Kwa rais pekee. Makamu wa rais ni by the way na Kwa hivyo ni sahihi sana watu wakisema rais wetu wa sasa hajachaguliwa na yeyote
 
Mnajulikana hamna kher nyie hata muongozwe nanani nchi ilkua hofu tupu hii wafanyabiasha wamekimbia nch siasa za ubabe leo mna uhuru kufanya siasa mtakavyo bado mnaona hafai acheni chuki za kipuuzi
Nani kakuambia tunahitaji kuongozwa kizembe zembe kama ilivyo sasa? Fuatilia mikutano ya makonda ili ujionee, watu hawahitaji vijineno laini laini huku wakiendelea kuteseka. Wanahitaji lugha Kali itakayowatisha watu wabaya.
 
Hakuna anayekwenda kupanga foleni ya kupiga kura ati Ili amchague makamu wa rais na after all kile kibox Cha kuweka tick au x Huwa kipo Kwa rais pekee. Makamu wa rais ni by the way na Kwa hivyo ni sahihi sana watu wakisema rais wetu wa sasa hajachaguliwa na yeyote
Hata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.

Lakini bora Samia ameituliza nchi japo hakuwekewa tiki. Hakuna tishio la kutekwa, shughuli za siasa zinaendelea na uhuru wa maoni upo mpana
 
Nani kakuambia tunahitaji kuongozwa kizembe zembe kama ilivyo sasa? Fuatilia mikutano ya makonda ili ujionee, watu hawahitaji vijineno laini laini huku wakiendelea kuteseka. Wanahitaji lugha Kali itakayowatisha watu wabaya.
Lugha kali ndiyo kitu gani? Yaani huo usanii wa Makonda unaona ndiyo uongozi?
 
Hata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.

Lakini bora Samia ameituliza nchi japo hakuwekewa tiki. Hakuna tishio la kutekwa, shughuli za siasa zinaendelea na uhuru wa maoni upo mpana
Haya tufanye Magufuli hakuchaguliwa, basi alishiriki kwenye kupigiwa kura. Hayo mengine ya kutuliza nchi na kutotekwa hizo ni ngonjera za kufunika madhaifu.
 
Haya tufanye Magufuli hakuchaguliwa, basi alishiriki kwenye kupigiwa kura. Hayo mengine ya kutuliza nchi na kutotekwa hizo ni ngonjera za kufunika madhaifu.
Wewe mpumbavu sana. Hivi familia zilizopotelewa na wapendwa wao kama Akwiline, Ben Sanane unaweza uktamka pumba kama hizo??
 
Back
Top Bottom