Waasisi wa nchi zao wanajua how choice works, nchi yetu hatujui KUCHAGUA lipi la kwenda nalo mpaka sasa,
Fikiria tulivyoingia:-
(a)kwenye sera za ujamaa,
(b) mpaka mwaka 2024 still in our country
mtu anaona katiba yetu iko sawa eti anaogopa gharama za uchaguzi!
Taifa laweza kulinda uhai au hata kuanzisha vita kwa ajili ya kumwokoa mtu mmoja tu kwa gharama yoyote.
Kwa usalama wa Rais na pia hata wa Makamu wa Rais katiba ya Namibia iko sawa sana!
Haiweki rehani usalama wa rais kisa gharama za uchaguzi!
(c) fikiria aina ya Muungano wetu,
(d) fikiria elimu tunavyoiendesha.
(e) fikiria kodi na namna zisivyorudi zilikokusanywa kwa uwiano kuendeleza nchi kwa usawa
etc