Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

Hata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.

Lakini bora Samia ameituliza nchi japo hakuwekewa tiki. Hakuna tishio la kutekwa, shughuli za siasa zinaendelea na uhuru wa maoni upo mpana
Hahahahaa kura za kutengeneza
 
Matembezi ya Rais wa Namibia akivinjari mitaani bila ya maonesho ya waziwazi ya mabunduki kutisha raia


View: https://m.youtube.com/watch?v=hC3iuMbNQxU

Well in this rare moment, this was the case for beach-goers at Swakopmund where President Hage Geingob and First Lady Monica Geingos are currently on vacation and joined in a morning walk 2022, much to the amusement of the holidaymakers.
 
Kuna nchi Marais hawafi na ikatokea akazima, haitangazwi mpaka aanze kuoza. Wakihakikisha hafufuki ndio kwa taabu Sana mnaambiwa.
Hatari wapi huko 😂😂😂 Itakua nchi iliyotokana na muunganiko wa zimbabwe na visiwa flani
 
Ingekua nchi za hovyo hapo kungekua na magari ya kuzuia makombora, kuzima Moto, kumwagia raia maji ya wadhawasha, bunduki aina zote, ma security kila mahali kuonyesha kwamba kiongozi Ni adui ya wanànchi wa kawaida.
Shithole country tabu Sana.
 
Back
Top Bottom