HakikaKwa katiba yetu, fikiria jinsi Makamu wa Rais mlafi anavyoweza kula njama na kumuua Rais ili arithi. Katiba mbovu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaKwa katiba yetu, fikiria jinsi Makamu wa Rais mlafi anavyoweza kula njama na kumuua Rais ili arithi. Katiba mbovu kabisa
Hahahahaa kura za kutengenezaHata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.
Lakini bora Samia ameituliza nchi japo hakuwekewa tiki. Hakuna tishio la kutekwa, shughuli za siasa zinaendelea na uhuru wa maoni upo mpana
Hatari wapi huko 😂😂😂 Itakua nchi iliyotokana na muunganiko wa zimbabwe na visiwa flaniKuna nchi Marais hawafi na ikatokea akazima, haitangazwi mpaka aanze kuoza. Wakihakikisha hafufuki ndio kwa taabu Sana mnaambiwa.