Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
-
- #61
Ya kweli haya ?Hiyo Katiba ya Namibia iliandikwa na Jaji Joseph Warioba na Jaji Mark Bomani (RIP) mwaka 1991 huku Mizengo Pinda akiwa msaidizi wao. Hata huyu marehemu Dr Hage Geingob alikuwapo kwenye jopo hilo la latiba kama local expert.
Ni ya kweli by 💯/ 💯. Kama kuna mtu ana taarifa tofauti aikete hapa tulumbaneYa kweli haya ?
😆😆😆😆Ni ya kweli by 💯/ 💯. Kama kuna mtu ana taarifa tofauti aikete hapa tulumbane
Bora yule diktetaNi nani unadhani yuko bora kuliko Samia? Kwangu Samia ni bora kuliko marehemu Magufuli ambaye alitaka kugeuza nchi kuwa ya KIDIKTETA
Bila shaka Tanzania, magufuli kafa mpaka kakaribia kuoza ndipo akajulishwa makamo wake akiwa ziarani Tanga.Duh nchi gani hii
Kama unataka dikteta kufa kama yeye mkakutane kuzimu. Angekuwa mtu mwema ASINGEKUFA akiwa madarakani na umri mdogo miaka 62Bora yule dikteta
Usiwe kilaza kiasi hichoKama unataka dikteta kufa kama yeye mkakutane kuzimu. Angekuwa mtu mwema ASINGEKUFA akiwa madarakani na umri mdogo miaka 62
Unaweza ukakuta wewe ndiye Kilaza na Baba yako ni kihiyoUsiwe kilaza kiasi hicho
Kama hicho ndio kigezo basi ya Tz ni katiba bora zaidi. Sababu sisi hatufanyi kabisa uchaguzi mpya makamu anapokea kijiti na tunaokoa gharama za uchaguzi
Mkuu rais wao alikufa kwenye hospital in Iowa Pohamba jijini windhiek.waroho wa madaraka mara zote wao huwaza uchaguzi tu
kuna Watu hawakuitisha maandamano kwa ajili ya kupanda gharama za maisha wala Mgao wa Umeme
lakini ilipokuja marekebisho ya sheria ya uchaguzi haraka haraka wakaitisha maandamano kushinikiza Serikali iongeze idadi yaani kila jambo liwe na Wabunge wawili
😆😆😆Unaweza ukakuta wewe ndiye Kilaza na Baba yako ni kihiyo
Notedwaroho wa madaraka mara zote wao huwaza uchaguzi tu
kuna Watu hawakuitisha maandamano kwa ajili ya kupanda gharama za maisha wala Mgao wa Umeme
lakini ilipokuja marekebisho ya sheria ya uchaguzi haraka haraka wakaitisha maandamano kushinikiza Serikali iongeze idadi yaani kila jambo liwe na Wabunge wawili
Kwa katiba yetu, fikiria jinsi Makamu wa Rais mlafi anavyoweza kula njama na kumuua Rais ili arithi. Katiba mbovu kabisaWaasisi wa nchi zao wanajua how choice works, nchi yetu hatujui KUCHAGUA lipi la kwenda nalo mpaka sasa,
Fikiria tulivyoingia:-
(a)kwenye sera za ujamaa,
(b) mpaka mwaka 2024 still in our country
mtu anaona katiba yetu iko sawa eti anaogopa gharama za uchaguzi!
Taifa laweza kulinda uhai au hata kuanzisha vita kwa ajili ya kumwokoa mtu mmoja tu kwa gharama yoyote.
Kwa usalama wa Rais na pia hata wa Makamu wa Rais katiba ya Namibia iko sawa sana!
Haiweki rehani usalama wa rais kisa gharama za uchaguzi!
(c) fikiria aina ya Muungano wetu,
(d) fikiria elimu tunavyoiendesha.
(e) fikiria kodi na namna zisivyorudi zilikokusanywa kwa uwiano kuendeleza nchi kwa usawa
etc
Hakuna anayekwenda kupanga foleni ya kupiga kura ati Ili amchague makamu wa rais na after all kile kibox Cha kuweka tick au x Huwa kipo Kwa rais pekee. Makamu wa rais ni by the way na Kwa hivyo ni sahihi sana watu wakisema rais wetu wa sasa hajachaguliwa na yeyoteMTU hukuandalia rais kivipi mkuu,
Wakati alikuwa makamu wa Rais
Na alipigiwa kura na wananchi
Nani kakuambia tunahitaji kuongozwa kizembe zembe kama ilivyo sasa? Fuatilia mikutano ya makonda ili ujionee, watu hawahitaji vijineno laini laini huku wakiendelea kuteseka. Wanahitaji lugha Kali itakayowatisha watu wabaya.Mnajulikana hamna kher nyie hata muongozwe nanani nchi ilkua hofu tupu hii wafanyabiasha wamekimbia nch siasa za ubabe leo mna uhuru kufanya siasa mtakavyo bado mnaona hafai acheni chuki za kipuuzi
Rais atapendekeza jina linapigiwa kura Bungeni tafadhali refer the late Dr. Omari wakati wa Mkapa.Vipi kama Makamu akiondoka katiba inasemaje?
Hata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.Hakuna anayekwenda kupanga foleni ya kupiga kura ati Ili amchague makamu wa rais na after all kile kibox Cha kuweka tick au x Huwa kipo Kwa rais pekee. Makamu wa rais ni by the way na Kwa hivyo ni sahihi sana watu wakisema rais wetu wa sasa hajachaguliwa na yeyote
Lugha kali ndiyo kitu gani? Yaani huo usanii wa Makonda unaona ndiyo uongozi?Nani kakuambia tunahitaji kuongozwa kizembe zembe kama ilivyo sasa? Fuatilia mikutano ya makonda ili ujionee, watu hawahitaji vijineno laini laini huku wakiendelea kuteseka. Wanahitaji lugha Kali itakayowatisha watu wabaya.
Haya tufanye Magufuli hakuchaguliwa, basi alishiriki kwenye kupigiwa kura. Hayo mengine ya kutuliza nchi na kutotekwa hizo ni ngonjera za kufunika madhaifu.Hata Magufuli hakuchaguliwa na Watanzania. Bali kura zilitengenezwa na TISS kwenye kambi ya Chuo cha Mbweni. Halafu ma DSO na ma RSO wakapewa namba za kuandika.
Lakini bora Samia ameituliza nchi japo hakuwekewa tiki. Hakuna tishio la kutekwa, shughuli za siasa zinaendelea na uhuru wa maoni upo mpana
Wewe mpumbavu sana. Hivi familia zilizopotelewa na wapendwa wao kama Akwiline, Ben Sanane unaweza uktamka pumba kama hizo??Haya tufanye Magufuli hakuchaguliwa, basi alishiriki kwenye kupigiwa kura. Hayo mengine ya kutuliza nchi na kutotekwa hizo ni ngonjera za kufunika madhaifu.