Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Sii tunawaona humu mtaani bwana weye. Bora sie angalau 28 days angalau tunajicontrolUongo. Na kwarema inaishaga kwa amani..kwann nyie mlazimishe watu kufanya mnayotaka nyie?
Hakuna mwenye unafiki wa wazi wazi. Unakuta mtu yule mdangaji wa wazi wazi kuonyesha hadi matako mtandaoni..ramadhani ikifika anaacha, anajistiri na misemo ya quran inatawala.Sii tunawaona humu mtaani bwana weye. Bora sie angalau 28 days angalau tunajicontrol
Sasa kwani unawakwazaje? Sasa wee huoni kwamba katika hicho kipindi anakuwa anatenda mema angalau na kuna uwezekano kuwa wanaweza kuacha mambo hayo.Hakuna mwenye unafiki wa wazi wazi. Unakuta mtu yule mdangaji wa wazi wazi kuonyesha hadi matako mtandaoni..ramadhani ikifika anaacha, anajistiri na misemo ya quran inatawala.
Ikisha tu loh...balaa linaendelea tena kwa kasi zaidi.
Tunachowaomba.. mfungo wenu usiwakwaze wasio funga..hilo tu.
Hayo ya unafiki hayanikwazi sana, mtu atajua na mungu wake. Kinachonikwaza ni ile kukataza watu kula mbele yenu au kuuza chakula...Sasa kwani unawakwazaje? Sasa wee huoni kwamba katika hicho kipindi anakuwa anatenda mema angalau na kuna uwezekano kuwa wanaweza kuacha mambo hayo.
Kuliko wee ni mwendo mmoja tuu jan to december
Ni wanafiki sana,wanafunga tu kwa sababu inawalazimu kufanya hivyo,lakini sio kwa kufuata ile misingi hasa ya funga..Mwezi ukipita madhambi kama yote. Hii dini mi naipenda sana..nipo mbioni kuhamia huko
Dada wanamlazimisha asilete bidhaa ( uji) kujipatia ridhiki Kwa kuwahzia watu wengine ambao hawafungi,wakristo na wapagani.Waislamu wamemkataza kufanya biasharaSasa kwani mmelazimishwa kivipi
Nifunge ili iweje....mwenye hilo kanisa na huo msikiti naonaga nje tuuHufungi?
Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?[emoji848][emoji2827]Habari!
Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.
Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.
Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.
- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
Hiyo sio sahihi kabisa. Hilo sikubaliani naloHayo ya unafiki hayanikwazi sana, mtu atajua na mungu wake. Kinachonikwaza ni ile kukataza watu kula mbele yenu au kuuza chakula...
Kufunga ufunge wewe unamkatazaje mwingine asile au asifanye biashara ya chakula.
Hii kwako ni sahihi?
Mbususu ndio nini?Wewe si unaongelea kuchakata mbususu kila siku? Tutakuona kuanzia kesho ulivyo mtakatifu..au tusikuone kabisa hapa jf. Mfungo ukiisha mbususu oyeeeee
Nashukuru.Hiyo sio sahihi kabisa. Hilo sikubaliani nalo
Ile kitu eti 😀Mbususu ndio nini?
Habari!
Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.
Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.
Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.
- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?