Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Status
Not open for further replies.
Ndio kishapigwa marufuku na hakuna cha kufanya [emoji1787]
Unalinganisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Kwa Rezma ambayo ni Ibada ya Wakatoliki na bado Wakatoliki wenyewe hawaifati.
Huu ndio mwezi ambao waume zenu wanaruhusiwa kufanya haya kama Mudi alivyo kuwa anafanya?

Hadithi 298 Anasimulia Aisha Mke wa Mtume

Mimi na Mtume tulikuwa tunaoga katika chungu kimoja tukiwa junub. Wakati wa hedhi, alikuwa akiniamuru nivae izar na alikuwa akinipapasa.

Nikiwa itikafu alikuwa akileta kichwa chake karibu yangu na mimi nakiosha huku mimi niko kwenye hedhi.

Hadithi 299 anasimulia Aisha mke wa Mtume

Kila Mjumbe wa Mwenyezi Mungu alipotaka kumpapasa mtu katika hedhi yake, alikuwa akimuamrisha kuvaa izari na kuanza kumpapasa.
Aisha aliongeza: Hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kudhibiti matamanio yake ya ngono kama Mtume.

Hadith 130 inasimuliwa na Anas Bin Malik

Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa akimtembelea Um Haram binti Milhan na alikuwa mke wa Ubada bin As-Samit.
Siku moja Mtume alimtembelea na akampa chakula na akaanza kutafuta chawa kichwani mwake. Kisha Mtume wa Mwenyezi Mungu akalala na baadaye akaamka akitabasamu. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ninyi Waislam mnayafuata haya matendo ya Mtume wenu?
 
Waislamu wabaguzi sana, wa bara waishio zenji watakoma, utadhani wao wakiwa bara tunawanyanyapaa 😏😏😏
 
Siku hizi najifunza sana kuheshimu imani za wengine. Huu uzi siyo mzuri. Nawatakia Ramadhani njema our Muslims Brothers and sisters.

Hate of any kind is Bad.
I second you, yani ukitaka kujua binadam huwa tunapelekwa sana mihemko Mara nyingi issues zinazohusisha imani..

No matter issue iwe na content ya kujadilika ama la its better kukaa kimya tu kinyume na hivyo utakosea angali ujui.
 
Ustaarabu wa kungia hekaluni kumuabudu Bwana na viatu vilivyokanyaga mauchafu ya kila aina lakini cha ajabu nyumbani kwako sebuleni unavua akili hii???

Ustaarabu wa kuingia kufanya ibada hata kama unatoka kugegedana mda huo huo beana hana shida anapokea maombi akili hii??

Ustaarabu wa kusali na vimini akili hii?

Ustaarabu wa kusali kwa kuchanganyikana Me na Ke, kuimba na kutikisa viwiliwili kwa wenye misambwanda inakuaje????
Usafi wa roho ndo muhimu kwa Mungu
 
Hili halikubaliki Tanzania, labda Afghanistan
 
Uwislam haupo Saudia tu,
Hakuna miji ya kidini ila kuna tamaduni za miji na Baazi ndio kama hizo. Na zilikua nyingi tu mf:
Zamani kulikua ngumu wakristo kupanga nyumba hapa Dar kutokana na tamaduni za wenyeji.
Nyerere akaamua kujenga Mission kota
Ndio nikasema, kama miji yote kwa sasa ipo chini ya serikali, basi taratibu na sheria za kiserikali ziko juu ya zile za kitamaduni, hivyo huwezi impose utamaduni wako kwa usiyemuhusu, serikali inamlinda na ndio maana inakusanya kodi toka kwake hata akiwa katika sehemu yenye tamaduni tofauti na zake
 
Ukiona hivyo % kubwa hapo ni waislam
Ni uwepo wa imani haba tu ndicho kinachowasumbua, mbona mimi naweza kufunga na nikapishana na pisi kali pale Posta, watu wakila mahotelini, nikapita hata kwenye Casino wakiwa wanafanya dhambi zao lakini nisiweweseke wala kubabaishwa na mambo yao?
 
Ukweli ni wanafeli,,, hawajui huyo hio ndio riziki yake na pia watu wa imani zingine wanatakiwa kula.
 
Acheni wivu nyinyi uislam hauna matabaka kwenye mfungo wote lazima wafunge unafananishaje na kwaresma.

Huyo Dada auze tuu huo uji hakuna wa kumdhuru nchi huru hii uskute wateja wake wengi waislam labda wakamwambia hivyo.
Yes auze, aruhusiwe kuuza, hao waliomwambia hivyo wamekosea sana, kama umefunga si usinuwe huo uji, kwani lazima?!
 
Twende mbele turudi nyumi ndugu zetu msiokua waislam ni wavivu kujifunza yani hamuujui kabisa uislam hilo ndo tatizo basi usomen kama philosophy tu mtaujua uislam upoje sio hizo fununu mnazosema

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom