Jidanganye tuI like you=Hii inatumika kuonesha kwamba unampenda mtu ila ule upendo usiyo husisha hsisia za kimapenzi,kama unapenda uwepo wake n.k
I love you=Hii inatumika baina ya watu wenye hisia za kimapenzi kwamba unampenda lakini upendo wenu umechukua hatua nyengine ya kutaka hadi kuonganisha nyuchi.
JIONGEZE!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
duu hii imekaa noma huyo ni binti flani au nae she is aged woman ngoja tuanzie hapoIm a grown up man with university son. Kilichonishangaza alisema kwa aibu sana na alikuwa anasita.
Heshima Kwa chips yai..hata wewe umepitia I guess ..Ww ni mzee wasema ,
Halafu ukapewa vichocolate na juice,
Boom grenade likarushwa, ukàtoa jibu kama na ww ulikua unatamani kupigwa bom,
Hauna tofauti na dada wa form2 alieambiwa ''i lv u" kwa chipsi yai[emoji38][emoji38]
owk inawezekana akawa so into u may be ameona kuna vitu anaweza akapata kutoka kwako kimawazo and other stuffYuko kama early 30 na ana watoto wawili
[emoji38]ukikua kwenee chipsi hautaona ngeni machoniHeshima Kwa chips yai..hata wewe umepitia I guess ..
ngoja wataalam wa haya mambo waje maana mie nilishaacha kutongoza miaka Zaidi ya 10 nyuma. Toka huduma za uuzaji mbunye zilipoanza TZ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kula maini mzeeee unakwama wapi ?
Ila kumbuka kubeba zana za vitani
Maana ya i like u imeniua mbavu[emoji2296]
duu weee mzee mbona una lugha zenye ukakasi sana ha hangoja wataalam wa haya mambo waje maana mie nilishaacha kutongoza miaka Zaidi ya 10 nyuma. Toka huduma za uuzaji mbunye zilipoanza TZ