Kuna dada kaniambia "I love you"

Kakudanga... Nya
Jr[emoji769]
 
Duuh kwahiyo tuseme mimi nikimuambia mwanamke mwenzangu "I love you" maana yake nataka tufike huko ?? We dunia hebu simama tu mi nishuke kwa kweli !!
 
Ukwaju kweli wewe ni mtaalamu
 
Just relax,don't panic,hana tofauti na yule wa nyumbani,tofauti ni kwenye body tu,isikufanye ukasaliti ndoa yako...
Ndoa iko imara tu nataka kuosha rungu na kukimbia (eat & run)
 
Kwa ushauri zaidi kamwambie mkeo
 
Mkuu piga kazi upo Tz aka bongoland.
Hakuna matumizi sahihi ya maneno.
like = love.
Umemuona kwa mara ya kwanza tayari unamwambia i love you.

Piga kazi "i love you" baada ya kumtimizia shida zake ni salamu kama salamu zingine haina tofauti hi, hello na BYE
 
Duuh kwahiyo tuseme mimi nikimuambia mwanamke mwenzangu "I love you" maana yake nataka tufike huko ?? We dunia hebu simama tu mi nishuke kwa kweli !!
Mnachotakiwa ni kujua matumizi sahihi kwa muda sahihi kingine ni kuwa unajua maana ya "kutaka hadi?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…