Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
I knew it girl...#by the way I'd like to know you better..na wewe hyo night Kali unakuwaga unaenda wapKidding 😉😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I knew it girl...#by the way I'd like to know you better..na wewe hyo night Kali unakuwaga unaenda wapKidding 😉😉
Morombo hadi saa 6 zipoJaribu kitunga uongo unaofanana na ukweli, daladala Arusha mwisho saa 4 ikizidi sana ni saa 5.
Hakuna abiria usiku kwa Arusha.
Barabara zinazochelewa kufunga kazi ni Ngulelo na Morombo.
Za Kutoka wapi kwenda wapi?Zipo sana tu chugga
Kilombero mpaka NjiroZa Kutoka wapi kwenda wapi?
Ilikuwa long time bana Tena sio Dar.I knew it girl...#by the way I'd like to know you better..na wewe hyo night Kali unakuwaga unaenda wap
Oooh as salaam aleykhum ustaadhat karuceeIlikuwa long time bana Tena sio Dar.
Zenji.
Kulikuwa Internet Cafe ilikuwa inachelewa kufungwa enzi za Hi5
Sio hatari mara nyingi mwendo wao huwa ni aste aste sana ili kuokoteza abiria, lakini pia sababu usiku kama huo wapinzani sio wengi ko wanajaza fasta gari zao.Mkuu Sasa si hatry kubwa iyo
Unaijua sigara bwege wewe?Mimi mbona sio bwege mkuu, hizi daladala kweli zipo sehemu nyingi tu hapa bongo
ganjaUnaijua sigara bwege wewe?
Sijakusudia kukutusi mkuu ila nilikusudia kukuuliza umemuelewa mjumbe huyo alipoandika "sigara bwege" hapo juu alikuwa na maana gani?
Zina Kazi kubwa Mbili 1. Kubeba Malaya, Walevi na Vibaka wa Usiku na 2. Kuwakwepa Matrafiki kutokana na Ukangafu ( Ubovu ) uliotukuka wa hayo Magari ( Mabasi )Wakuu kuna daladala huwa mchana wala asubuhi hauzioni. Unaziona kuanzia saa 6 usiku. Hizi nimekutana nazo sana Arusha unakuta taa moja tu ndio inawaka, sasa usiombe wakati wa kupamba mlima, mbona utaomba poo. Ikifika saa 11 alfajiri hauzioni tena. Sasa sijui huwa wanaziiba gereji.
Hizo ni za tia maji x 2!😂😂😂! Daladala ya namna hiyo inayotembea ikilalamika na kutetemeka ka teja, nilipanda mara moja 2005 kutoka fire baada ya kikao kilichoahirisha mgomo wa madaktari kilichofanyika ukumbi wa korea kuisha saa nane usiku! Nilikutana na hiyo daladala inaendeshwa na teja na conda teja! Ina'vibrate' mwanzo mwisho! Sofa zimenyofokanyofoka! Ila nashukuru Mungu ilinifaa sana usiku huo kuniacha shekilango😜!Wakuu kuna daladala huwa mchana wala asubuhi hauzioni. Unaziona kuanzia saa 6 usiku. Hizi nimekutana nazo sana Arusha unakuta taa moja tu ndio inawaka, sasa usiombe wakati wa kupamba mlima, mbona utaomba poo. Ikifika saa 11 alfajiri hauzioni tena. Sasa sijui huwa wanaziiba gereji.
HahahahaWakuu kuna daladala huwa mchana wala asubuhi hauzioni. Unaziona kuanzia saa 6 usiku. Hizi nimekutana nazo sana Arusha unakuta taa moja tu ndio inawaka, sasa usiombe wakati wa kupamba mlima, mbona utaomba poo. Ikifika saa 11 alfajiri hauzioni tena. Sasa sijui huwa wanaziiba gereji.
teh teh tehYa Ngoswe....