Kuna dalili wafanyakazi wengi wa Clouds wakashindwana na Joe Kusaga

Kuna dalili wafanyakazi wengi wa Clouds wakashindwana na Joe Kusaga

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,072
Nimemsikia Joseph Kusaga kwenye mahojiano fulani siku chache baada ya kifo cha Ruge, akisema sasa ataingia full na kutekeleza majukumu ya kuiongoza team ya CMG kama alivyokuwa akifanya Ruge

Kauli ile niliipima

Joe hana bond nzuri na wafanyakazi. He is too bossy na ni mkali. Ana uchaga mwingi na haamini kwenye mtu kupata kingi. Rejea kauli ya Lady Jaydee katika ule waraka wake maarufu "Kila siku mnamsema Ruge.. Ila huyo Kusaga ni nyoka zaidi".

Sasa, Joe akianza kushiriki rasmi kwenye operation za CMG basi itarajiwe vijana wengi kufanya kazi kwa nidhamu ya uoga na mizengwe. Tofauti na walivyokuwa chini ya Ruge.

Si ajabu kuanza kusikia majina makubwa yanachomoka pale na kukimbilia E-FM/TVE.

Na vile Majizzo ana msemo wake "It's not personal. It's business" atawanyakua kweli kweli.

Muda utasema!
 
Yote yanawezekana, CMG inaweza kuwa bora zaidi ikaimarika kipindi hichi, inaweza kujikuta pia imedorora na kushuka sana.
Kitu kimoja nna uhakika nacho, Ruge alijitahidi kuwafanya jamaa wawe kama familia na ule uhuru wa kuwa wabunifu kiasi cha wafanyakazi kujisikia ni sehem ya CMG sio waajiriwa. Yaani mtu akiwa anaendesha kipindi unaona kabisa anavyojisikia fahari namna anavyoifanya kazi yake.

Ruge aliweka viwango vya juu sana, inabidi mrithi wake afanye kazi ya ziada hata kuweza kuendeleza pale alipoacha jamaa.
Lakini pia haimaanishi hakuna mtu wa kuweza kuja kufanya vizuri zaidi ya Ruge.
 
Kazini ni zaidi ya Salary..

Kuna mambo ya morale, capacity building, career development and more..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ni kama Ndoa.... Si kuwa Mwili Mmoja tu......ni pamoja na Kujaliana, Kufarijiana,mpaka MTU anaona Raha kuwa nawe......
CHIKICHIKI unaweza hata kwenda nunua,......Shubhaaamiti,............
 
Yote yanawezekana, CMG inaweza kuwa bora zaidi ikaimarika kipindi hichi, inaweza kujikuta pia imedorora na kushuka sana.
Kitu kimoja nna uhakika nacho, Ruge alijitahidi kuwafanya jamaa wawe kama familia na ule uhuru wa kuwa wabunifu kiasi cha wafanyakazi kujisikia ni sehem ya CMG sio waajiriwa. Yaani mtu akiwa anaendesha kipindi unaona kabisa anavyojisikia fahari namna anavyoifanya kazi yake.

Ruge aliweka viwango vya juu sana, inabidi mrithi wake afanye kazi ya ziada hata kuweza kuendeleza pale alipoacha jamaa.
Lakini pia haimaanishi hakuna mtu wa kuweza kuja kufanya vizuri zaidi ya Ruge.
Naam.

Na ndio focus ya uzi huu. Kusaga inabidi acheze vizuri karata zake. Achukue tahadhari na asilete 'new manifesto' itakayovuruga mtindo uliozoeleka pale. Labda aboreshe.

Akizingua, jamaa wanasepa.

Halafu, nimefuatilia nikaona mahusiano ya wafanyakazi wa CMG na Majizo wa EFM yameimarika sana hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikia Joseph Kusaga kwenye mahojiano fulani siku chache baada ya kifo cha Ruge, akisema sasa ataingia full na kutekeleza majukumu ya kuiongoza team ya CMG kama alivyokuwa akifanya Ruge.

Kauli ile niliipima.

Joe hana bond nzuri na wafanyakazi. He is too bossy na ni mkali. Ana uchaga mwingi na haamini kwenye mtu kupata kingi. Rejea kauli ya Lady Jaydee katika ule waraka wake maarufu "Kila siku mnamsema Ruge.. Ila huyo Kusaga ni nyoka zaidi".

Sasa, Joe akianza kushiriki rasmi kwenye operation za CMG basi itarajiwe vijana wengi kufanya kazi kwa nidhamu ya uoga na mizengwe. Tofauti na walivyokuwa chini ya Ruge.

Si ajabu kuanza kusikia majina makubwa yanachomoka pale na kukimbilia E-FM/TVE.

Na vile Majizzo ana msemo wake "It's not personal. It's business" atawanyakua kweli kweli.

Muda utasema!
Nimesikia Hassan Ngoma ndio atakuwa Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji na kwa sasa anachukua course maalumu ya wiki moja katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini!
 
Nimesikia Hassan Ngoma ndio atakuwa Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji na kwa sasa anachukua course maalumu ya wiki moja katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda anajiendeleza tu ili apate elimu ya uandishi wa Habar vizur.
 
Back
Top Bottom