misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Lakini si biashara au muajiriwa hapo?
Vitu vingine kukaa kimya tu sio lazima kuanzisha thread,ungeanzisha thread labda nafasi ya Ruge anateuliwa B12 au Gadner ungeanza kuwajadili tabia zao.
Lakini mwenyewe katafuta pesa kwa jasho lake halafu unampangia nini cha kufanya kwenye biashara yake haupo serious kabisa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu vingine kukaa kimya tu sio lazima kuanzisha thread,ungeanzisha thread labda nafasi ya Ruge anateuliwa B12 au Gadner ungeanza kuwajadili tabia zao.
Lakini mwenyewe katafuta pesa kwa jasho lake halafu unampangia nini cha kufanya kwenye biashara yake haupo serious kabisa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app