Mzigdash
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 440
- 377
Nafasi ya Ruge pale CMG inakaimiwa na Sebastian Maganga nazanani anaweza na anaijua culture ya CMG
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza roho ya kwanini!!
Ruge amezaliwa Marekani uwe unaelewa bwashee!Kwahyo wahaya wakienda marekani ndo wanatoka uko na upendo nakutojivuna?
Nafasi ya Ruge pale CMG inakaimiwa na Sebastian Maganga nazanani anaweza na anaijua culture ya CMG
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisaRuge alijenga foundation nzuri pale CMG system tayari imeshajiweka Yupo Seba Maganga na Sheba Kusaga wamefanya kazi na Ruge Muda mrefu. Kusaga Wala haitajiki kuingia deep zaidi hapo alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nilikuwa sijui bwana kumbe ni mtanzania mmarekani?Ruge amezaliwa Marekani uwe unaelewa bwashee!
Umesikia wapi?Nimesikia Hassan Ngoma ndio atakuwa Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji na kwa sasa anachukua course maalumu ya wiki moja katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini!
Ndio maana mwanzo nikasema IF ataheshimu hilo na asijaribu kupindua meza akaharibu zaidi..Ruge alijenga foundation nzuri pale CMG system tayari imeshajiweka Yupo Seba Maganga na Sheba Kusaga wamefanya kazi na Ruge Muda mrefu. Kusaga Wala haitajiki kuingia deep zaidi hapo alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes aendelee kufanya hivyo na sio kuingia kwenye operations kama alivyosema.Kusaga anauwezo wa kutumia laws of power...! Yaani anatumia watu kufanikisha mambo yake kwa 100%, refer ruge. Kwa hiyo nadhani clouds haiwezi kumshinda kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure. Na Maganga amedumu kwa kuwa aliielewa Falsafa ya Ruge na kumsaidia kuitekeleza.Nafasi ya Ruge pale CMG inakaimiwa na Sebastian Maganga nazanani anaweza na anaijua culture ya CMG
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu ni wewe kuanzisha kampuni na kumshinda kwa kufanikiwa zaidi sio kwa nadharia ya yeye anakosea wapi, ili yeye na wengine tujifunze kwakoNimemsikia Joseph Kusaga kwenye mahojiano fulani siku chache baada ya kifo cha Ruge, akisema sasa ataingia full na kutekeleza majukumu ya kuiongoza team ya CMG kama alivyokuwa akifanya Ruge.
Kauli ile niliipima.
Joe hana bond nzuri na wafanyakazi. He is too bossy na ni mkali. Ana uchaga mwingi na haamini kwenye mtu kupata kingi. Rejea kauli ya Lady Jaydee katika ule waraka wake maarufu "Kila siku mnamsema Ruge.. Ila huyo Kusaga ni nyoka zaidi".
Sasa, Joe akianza kushiriki rasmi kwenye operation za CMG basi itarajiwe vijana wengi kufanya kazi kwa nidhamu ya uoga na mizengwe. Tofauti na walivyokuwa chini ya Ruge.
Si ajabu kuanza kusikia majina makubwa yanachomoka pale na kukimbilia E-FM/TVE.
Na vile Majizzo ana msemo wake "It's not personal. It's business" atawanyakua kweli kweli.
Muda utasema!
Nimemsikia Joseph Kusaga kwenye mahojiano fulani siku chache baada ya kifo cha Ruge, akisema sasa ataingia full na kutekeleza majukumu ya kuiongoza team ya CMG kama alivyokuwa akifanya Ruge.
Kauli ile niliipima.
Joe hana bond nzuri na wafanyakazi. He is too bossy na ni mkali. Ana uchaga mwingi na haamini kwenye mtu kupata kingi. Rejea kauli ya Lady Jaydee katika ule waraka wake maarufu "Kila siku mnamsema Ruge.. Ila huyo Kusaga ni nyoka zaidi".
Sasa, Joe akianza kushiriki rasmi kwenye operation za CMG basi itarajiwe vijana wengi kufanya kazi kwa nidhamu ya uoga na mizengwe. Tofauti na walivyokuwa chini ya Ruge.
Si ajabu kuanza kusikia majina makubwa yanachomoka pale na kukimbilia E-FM/TVE.
Na vile Majizzo ana msemo wake "It's not personal. It's business" atawanyakua kweli kweli.
Muda utasema!
Mmhh.. Ume-catch feelings? Why?Muhimu ni wewe kuanzisha kampuni na kumshinda kwa kufanikiwa zaidi sio kwa nadharia ya yeye anakosea wapi, ili yeye na wengine tujifunze kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruge WA USAMnasemaga wahaya hawana upendo sijui huyo ruge alikuwa wa wapi?
Semina ekekezi Ngududoto university!!Wiki moja? hiyo kozi au semina?
Ukizaliwa Marekani ndo uhaya unakutoka unakuingia umarekani?Ruge amezaliwa Marekani uwe unaelewa bwashee!
Wahaya wanazaliwa Bukoba we bwashee!
Wahaya wana Upendo sanaaaaaaMnasemaga wahaya hawana upendo sijui huyo ruge alikuwa wa wapi?