wacha we!
hauko sahihi
Meeen!!jaribu kutafuta kama utapata kuna kampuni inaitwa clouds fm hapo Blera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ubinafsi, uchoyo wa maarifa na roho mbaya tulizonazo watanzania za kutotaka mwengine afanikiwe hakuwa nao! Mie nahisi hakuwa wa nchi hii. Tunafichwa jambo.
Yaani hata nyodo tu akose? Asaidie watu na kutoa misaada kemukemu bila kuita waandishi wa habari na kuonyesha live wakati tv station alikuwa nayo?
Ruge alistahili kukaguliwa uraia.
Wanasemaga Ruge ni Mhaya wa Mjini. Zile tabia za Kihaya ingawa alikuwanazo lakini aliweza kuzidhibiti ili zisionekane sana.Mnasemaga wahaya hawana upendo sijui huyo ruge alikuwa wa wapi?
Nimekuelewa sana,,lakn kwa ninavyoelewa mimi ni kwamba share holders ndo wanaogawana profit,kama clouds entertainment ina miliki radio na tv inamana kwamba wao as family ndo wanaogawana faida na waliobaki nikupokea mshahara tu,kama ilivyokuwa kwa ruge,sema alipewa nafasi kubwa tu as one of founders ya kutumia anavyotaka mfano kuandaa kampeni mpali mbali kama za malaria na zingne ambazo alikuwa anapokea mkwanja mrefu tu..ila kusema ni share holders hapo tutakesha tuagize warumi atuletee chai kesho..binafsi sijakuelewa
unataka kusema nini hasa? Brela, clouds, clouds entertainment vina nini?
Ninachokupinga ni issue ya mshiko. unaweza ukawa mmiliki wa kampuni ila sio mwendeshaji!
na mwendeshaji anaweza kuwa signatories
Nimekuelewa sana,,lakn kwa ninavyoelewa mimi ni kwamba share holders ndo wanaogawana profit,kama clouds entertainment ina miliki radio na tv inamana kwamba wao as family ndo wanaogawana faida na waliobaki nikupokea mshahara tu,kama ilivyokuwa kwa ruge,sema alipewa nafasi kubwa tu as one of founders ya kutumia anavyotaka mfano kuandaa kampeni mpali mbali kama za malaria na zingne ambazo alikuwa anapokea mkwanja mrefu tu..ila kusema ni share holders hapo tutakesha tuagize warumi atuletee chai kesho..
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio ukizaliwa uhayani ni mwendo wa migomba tu ila ulaya bata na kujielewa ndivyo alivyokua ruge
Soma vizuri kwenye hii link:Nina imani alikua na mkono wake redioni, ndio maana televisheni haikua na ubunifu hata kidogo kwasababu marehemu hakuwa sehemu yake.
Hata wewe uandishi wako nimeupenda hasa ulivyo malizia.Ni kweli kabisa ni kama Ndoa.... Si kuwa Mwili Mmoja tu......ni pamoja na Kujaliana, Kufarijiana,mpaka MTU anaona Raha kuwa nawe......
CHIKICHIKI unaweza hata kwenda nunua,......Shubhaaamiti,............
topic hii inashabihiana na mjadala unaoendelea ? Sidhani.ndio ukizaliwa uhayani ni mwendo wa migomba tu ila ulaya bata na kujielewa ndivyo alivyokua ruge
tena kama hawa wahaya wanaozaliwa kwenye majani ya migomba wamejaa nyodo mdundo balaaaaa
Mapenzi ndiyo yanayoongoza Dunia......usijekuta hata SAGA lote hilo kuna mambo ya Mapenzi........ Na katika Dunia hii ukiwaambia ya kuwa Watu wasifanye mapenzi ya Ndoa MAPADRE na MASHEIKH wataongoza mapambano ya Kukuua....
Mkuu umeshindwa kuelewa Clouds Entertainment ndo Clouds Fm? Acha na story za kutuma vifaa hizo ni story za mtaani..Hiyo ni Televisheni, vipi kuhusu redio. Inamaana vile vifaa alivyokua anavituma Ruge kutoka marekani alikua analipwa hela yake na sio kuwekeza? Kwa mawazo yake ya uwekezaji tu asingekua tayari kuipigania redio ya familia ambayo mmoja wa wanafamilia inasemekana anaihujumu (inasemekana). Nina imani alikua na mkono wake redioni, ndio maana televisheni haikua na ubunifu hata kidogo kwasababu marehemu hakuwa sehemu yake.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ruge hakuwa na hisa pale, CMG inamilikwa na familia ya Kusaga na Joe ndio ana hisa nyingi zaidi.
"There is a company profile for Clouds Television at the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA), according to which Alex Mkama hold 25% of the shares, just as much as Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited holds 50% of shares. The current shareholders of Clouds Entertainment are Joseph M. Kusaga (50%), Judith Violet Kusaga (10%), Sheba Martha Kusaga (10%), Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga (5%), Alex Justine Kusaga (5%), and Prisca Mkama Kusaga (10%). "
Source:Media Ownership Monitor
Aisee!Dah walifungua wote from the idea na kila kitu then Ruge hana share yoyote na alikua Poa tu kweli Ruge alikua wa kipekee na Kusaga ni nyoka , yaani wamepanga halafu akaweka majina ya ndugu zake badala ya Ruge halafu akamtumia big time na Ruge kimya ???? Uchawi upo
Najua hujasoma hiyo link, na kama umesoma hujaelewa, ok, soma hapo chini kwa kiswahili.
"Clouds Media Group ni kampuni ya kimataifa na vyombo vya habari mbali mbali na miongoni mwa vyombo vya habari, ilianzishwa mwaka 1998 na Joseph Kusaga na Ruge Mutahaba.
Akivutiwa na mandhari ya muziki ya Los Angeles, Kusaga ameungana na mdau wake wa biashara wa muda mrefu, Ruge Mutahaba, walianza kupanga kituo cha redio kwa Tanzania ambacho muda si mrefu kitakuwa Clouds FM.
Hakuna data za Kampuni katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Kuna wasifu wa kampuni kwa ajili ya Clouds Television katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Utoaji wa Leseni (BRELLA). Clouds Entertainment Limited inamiliki 50% ya hisa.
Ruge Mutahaba hivi sasa bado ni Director of Strategy and Programs Development katika Clouds Media Group."
Source: Media Ownership Monitor
Kwani Joe kusaga ni mchaga ? Hapana
Yes indeed, ni kurya au mjitaKuryanian
Sidhani kama tunabishana Mkuu, hakuna taarifa niliyotoa kichwani hapo zaidi ya ku-share taarifa zilizo kwenye hiyo link, tunaweza kuwa tunatofautiana uelewa tu wa hizo taarifa, otherwise kama unge-share pia chanzo cha taarifa tofauti na hizo, kwenye hiyo tafsiri ya kiswahili kweli kuna makosa, ila ile ya kiingereza na ipo kwenye hiyo link wameeleza mgawanyo wa shares wa CMG.Sijajua uko upande gani wa mabishano, lakini tafakari kwa hayo machache.