Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Umeongea kulingana na ufaulu wako wa hesabu sekondari ππMungu mwenyew amewezesha uwepo wa pombe kuwepo!!
Pia kaahidi huko peponi kutakuwa mito unayotiririka pombe daily.
πWeka Ile emoji ya macho juu
πKuna kale ka pombe unakunywa unafurahi tu zaidi ya hapo hapana.
Halafu ukishaacha pombe anakua mmbeaπππNa peponi kuna mito ya pombe π
anza na kuchukia uleviDuhh naomba ushauri huku natukanwa
Safianza na kuchukia ulevi
basi utacha tena uchukie uliwa una hela mfukoni si wakati huna hela
anaweza tuh kufikiria kwani kazaliwa na pombe au anafanya kazi kwajili ya pombe kwani alivyokua hanywi pombe alipungukiwa na nini na hiyo pombe imempa nini toka anze kuitumikiaSafi
Hakika naamini Ujumbe umemfikiaanaweza tu kufikiria kwani kazaliwa na pombe au anafanya kazi kwajili ya pombe kwanai alivyokua hanywi pombe alipungukiwa na nini na hiyo pombe imempa nini toka anze kuitumikia
π€¨πHalafu ukishaacha pombe anakua mmbeaπππ
hakika mkuu sikupingi maana kwenye biblia sijawahi ona pombe imekatazwa bali nimeona hata yesu alitengeneza pombe watu wakanywaUmeongea kulingana na ufaulu wako wa hesabu sekondari ππ
Pia mwizi, kusubiri watu walewe afu achomoe chochote......Halafu ukishaacha pombe anakua mmbeaπππ
Pia mwizi, kusubiri watu walewe afu achomoe chochote......
Cc ephen_π
π sasa mnakunywaga nini? Au mchuzi wa maharageAcha tu....na zilivyochungu....mbona unaacha kirahisi tu
π€£π€£π€£π€£π€£Mbavu zanguuπ sasa mnakunywaga nini? Au mchuzi wa maharage