Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Umeongea kulingana na ufaulu wako wa hesabu sekondari 😂😂Mungu mwenyew amewezesha uwepo wa pombe kuwepo!!
Pia kaahidi huko peponi kutakuwa mito unayotiririka pombe daily.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kulingana na ufaulu wako wa hesabu sekondari 😂😂Mungu mwenyew amewezesha uwepo wa pombe kuwepo!!
Pia kaahidi huko peponi kutakuwa mito unayotiririka pombe daily.
🙄Weka Ile emoji ya macho juu
😋Kuna kale ka pombe unakunywa unafurahi tu zaidi ya hapo hapana.
Halafu ukishaacha pombe anakua mmbea😁😁😁Na peponi kuna mito ya pombe 🙄
anza na kuchukia uleviDuhh naomba ushauri huku natukanwa
Safianza na kuchukia ulevi
basi utacha tena uchukie uliwa una hela mfukoni si wakati huna hela
anaweza tuh kufikiria kwani kazaliwa na pombe au anafanya kazi kwajili ya pombe kwani alivyokua hanywi pombe alipungukiwa na nini na hiyo pombe imempa nini toka anze kuitumikiaSafi
Hakika naamini Ujumbe umemfikiaanaweza tu kufikiria kwani kazaliwa na pombe au anafanya kazi kwajili ya pombe kwanai alivyokua hanywi pombe alipungukiwa na nini na hiyo pombe imempa nini toka anze kuitumikia
🤨😏Halafu ukishaacha pombe anakua mmbea😁😁😁
hakika mkuu sikupingi maana kwenye biblia sijawahi ona pombe imekatazwa bali nimeona hata yesu alitengeneza pombe watu wakanywaUmeongea kulingana na ufaulu wako wa hesabu sekondari 😂😂
Pia mwizi, kusubiri watu walewe afu achomoe chochote......Halafu ukishaacha pombe anakua mmbea😁😁😁
Pia mwizi, kusubiri watu walewe afu achomoe chochote......
😂 sasa mnakunywaga nini? Au mchuzi wa maharageAcha tu....na zilivyochungu....mbona unaacha kirahisi tu
🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zanguu😂 sasa mnakunywaga nini? Au mchuzi wa maharage