Kuna dawa ya kuacha Pombe?

Kuna dawa ya kuacha Pombe?

kuacha pombe ni unabidi ujikane(uwe na nia thabiti, uvumilivu na kuepuka tamaa)
Epuka pia marafiki wanaotumia pombe na maeneo hatarishi.

mimi nilitumia njia hiyo nikafanikiwa.
 
anaweza tu kufikiria kwani kazaliwa na pombe au anafanya kazi kwajili ya pombe kwanai alivyokua hanywi pombe alipungukiwa na nini na hiyo pombe imempa nini toka anze kuitumikia
Hakika naamini Ujumbe umemfikia
 
Pombe si Ugonjwa,,Pombe ni Dawa,,Wewe uliona wapi Dawa ikawa na Dawa,,,Kila Kitu ni Kiasi na Kwa Wakati,,Ukifanya vinginevyo ni Kuitafuta fedhea,,,mateso na majeraha unachosha Mwili Tu.###Sira 31:27###
 
Pia mwizi, kusubiri watu walewe afu achomoe chochote......
downloadfile-27.jpg
 
Back
Top Bottom