Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Soma uielewe paragraph ya kwanzaNatamani nijue umri wako mpaka sasa ni miaka mingapi na hayo unayoyaita maisha umeyatengeneza kwa kiwango gani wakati ukizisogelea siku za kuoa ili wanao usiwaachie umaskini?
Kwa sababu baba yako alijitengenezea maisha mapema wewe ulikulia mboga saba eti?na leo kila mmoja hapo nyumbani anaweza akapewa nyumba yake biashara akasoma anakotaka siyo?acheni masihara maisha siyo maigizo wazee hahah
Kuoa sioni kama ni jambo baya bali una oa nani na mchango wake ni upi kwako hilo ndio swali la msingi linapaswa hawa kataa ndoa mnatakiwa muwajibu?Fanya chaguo sahihi Mkuu, ila Kuoa ni muhimu Kwa Kila Mwanaume anayejielewa
Umezungumza kitu kama “hao wazee wanaowashauri vijana waoe maisha yao nao ni mabaya kwa maana kuoa kungekuwa kunarahisisha maisha wasingekuwa maskini bado kama walivyo” ukiunganisha na ulivyomaliza pale chini ndipo hoja yangu iliposimama.Soma uielewe paragraph ya kwanza
KWa mwanaume ndoa inaongeza kiwango cha huo utumwa.Hata ukiitoa ndoa, maisha ya mwanadam kwa ujumla ni utumwa.
Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;Ndivyo mema yatakavyokujia,Ayubu.22:21...Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.
Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.
Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.
Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.
Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.
Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.
Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.
Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.
Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Uelewa wako ni mdogo sana umekimbilia kupanickUmezungumza kitu kama “hao wazee wanaowashauri vijana waoe maisha yao nao ni mabaya kwa maana kuoa kungekuwa kunarahisisha maisha wasingekuwa maskini bado kama walivyo” ukiunganisha na ulivyomaliza pale chini ndipo hoja yangu iliposimama.
Kwamba wewe binafsi upo ktk hatua gani kwanza kiumri,kimafanikio huku ukimuiga baba yako tajiri mwenye tofauti na hao wazee uliowataja hapo juu?
Kama unaoa we oa tu, lakini mtu asikudanganye eti ndo utafanikiwa, Kama huna hela ndo utazidi kuwa masikini, ukipewa ushauri, Angalia kwanza na Hali yako, mtu asikupe nadharia ya zali, Duniani hakuna zali, mafanikio yanatokana na juhudi, hata maandiko yanasema hivyo.Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.
Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.
Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.
Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.
Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.
Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.
Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.
Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.
Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Katika iyo safari mwanamke alichangia nin? mtaji? ujuzi wa kitaaluma? connection ya kazi?.. usiniambie mchango wake ni sex na kupika chakula, huduma ambazo mwanaume anaweza kuzipata bila hata ya uwepo wa uyo mwanamke kwenye maisha yake.Kuna ambao wanaanza pamoja kutoka Chini, hao ni wengi pia
Uliyepank ni wewe kwa kushindwa kusimamia hoja zako,usione wote humu mnafanana ufahamu.Uelewa wako ni mdogo sana umekimbilia kupanick
Kwa hii comment yako bado kuna watu wanabisha kwamba ndoa sio utumwa kwa mwanaume.Unanyimwa unyumba kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.
Na ikithibitika umechepuka umekwisha kabisa.
Mchepuko hana nafasi kwenye mali za watoto. 😅
Na hicho ndicho ninachowaambia watu hapa., mafanikio ni suala subjective ambalo halina connection ya moja kwa moja na ndoa labda uoe kimkakati from the first place, kama injia alivyooa kwenye familia ya gsmKuna wazee wanawajaza sana ujinga vijana wanawahamisisha waoe na ukiangalia uchumi wao haueleweki eti mke anakuja na baraka
Wanawaambia utakachokula ndio hichohicho atakula mkeo
Sasa ugali wa mtu mmoja ni sawa na wa watu wawili?
Vijana tengenezeni uchumi kabla hamjaoa la sivyo mtawarithisha watoto wenu umasikini
Hoja yako ni nzuri ulichokosea ni kitu kimoja haujaclassify generation ipi ya ndoa? Maana ndoa za zamani zimedumu na zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno hata sisi wengine ni product za hizo ndoa ni kwasababu wazazi wetu kila mmoja wao anajua jukumu lake na hata mafanikio yenyewe yamechangiwa na uimara wa mama zetu bila kupepesa macho unaona kabisa. Wewe ulitakiwa ujikite kwenye hii generation ya wanawake wa sasa je wana quality kama za mama zetu hawa je ni productive wanastahili kuolewa? Wanamchango wowote? Maana unaweza ukapingwa na watu kwenye uzi wako kumbe unayepingana nae ni wa kizazi cha Zamani na ndio waliobahatika kupata wanawake wa maana mfano mzuri GrahamsIyo nadharia itafanya kazi endapo utapata mwanamke mwenye mchango wa kiuchumi tu, huo ndio usahihi pekee.
Lakini kama hana huo mchango maana yake atakua liability nankukuongezea gharama za maisha kitu ambacho kitapunguza kazi ya kuyafikia mafanikio.
Hoja zimeelezwaUliyepank ni wewe kwa kushindwa kusimamia hoja zako,usione wote humu mnafanana ufahamu.
Hilo ulijue.
Siku zote chanzo huwa ni nyie, hawezi chepuka bila sababu yoyote ile ilhali alikupenda na akakubali kuolewa na weweKwa hii comment yako bado kuna watu wanabisha kwamba ndoa sio utumwa kwa mwanaume.
Embu tu-switch upande, ikithibitika mwanamke amecheat au amembambikia mtoto mumewe je sheria inamuwajibisha vipi huyu mwanamke?
Ukiyachoka hayo mwanamke unadai talaka na mwanaume atawajibishwa kwa kupoteza sehemu ya mali zake ambapo unapewa wewe kama compensation ya muda na mchango wako kwenye iyo ndoa.1. Kuchepuka
2. Ulevi kupindukia
3. Kuchelewa kurudi nyumbani
4. Kuzaa nje ya Ndoa
5.Dharau
Ni kweli lakini pamoja na sifa za huyu mwanamke uliemuongelea hapa tusisahau kwamba hisia zinabadilika, sasa huko mbeleni mwanamke huyu akikengeuka?Ukioa mke sahihi/mwema ambaye anajua nini maana ya ndoa,anajua maana ya maisha ,anajua umuhimu wa familia na mume ktk maisha yake, anayeijua nafasi yake kwenye nyumba na mwenye hofu ya Mungu,lazima milango ya baraka ifunguke.Ila baraka wengi wanaitafsiri ktk hela,sometimes mnaweza mkawa na kipato cha kawaida huku maisha yenu yakawa yamejawa furaha na upendo.
Umeelewa mada?Ninyi ndio (foolish principal -FP)wapumbavu waandamizi.tupe mifano ya matajiri Tanzania ambao hawajaoa.
Sasa si analipwa.Nimesema mtu akifanya hizo kazi anakuwa anatoa mchango wa kiuchumi kwako, haijalishi ni house girl au house boy.
Aliomba nini na akapewa nini?Unajuwa Mtume Mussa alipokuwa na shida tena ugenini, aliomba nini akapewa nini na Mwenyezi mungu?
Achaneni na hizi fikra za kizamani, kama nyie mliingia kwenye ndoa blindly tu msifikiri na sisi tunatafanya ivyo ivyo.Hii conclusion wewe unaitoa wapi ikiwa bado hujaoa?Baba yako na mama yako bado wanaishi wote mpaka leo kipi kinakufanya kuanza kuwaza maisha ambayo huyaishi wala hujawahi kuyaishi huku kuna ambao wanayaishi na hawana habari?
Bold ndogo,kwa sababu tuna akili kuwazidi,that's it!