Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Natamani nijue umri wako mpaka sasa ni miaka mingapi na hayo unayoyaita maisha umeyatengeneza kwa kiwango gani wakati ukizisogelea siku za kuoa ili wanao usiwaachie umaskini?

Kwa sababu baba yako alijitengenezea maisha mapema wewe ulikulia mboga saba eti?na leo kila mmoja hapo nyumbani anaweza akapewa nyumba yake biashara akasoma anakotaka siyo?acheni masihara maisha siyo maigizo wazee hahah
Soma uielewe paragraph ya kwanza
 
Soma uielewe paragraph ya kwanza
Umezungumza kitu kama “hao wazee wanaowashauri vijana waoe maisha yao nao ni mabaya kwa maana kuoa kungekuwa kunarahisisha maisha wasingekuwa maskini bado kama walivyo” ukiunganisha na ulivyomaliza pale chini ndipo hoja yangu iliposimama.

Kwamba wewe binafsi upo ktk hatua gani kwanza kiumri,kimafanikio huku ukimuiga baba yako tajiri mwenye tofauti na hao wazee uliowataja hapo juu?
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;Ndivyo mema yatakavyokujia,Ayubu.22:21...
 
Umezungumza kitu kama “hao wazee wanaowashauri vijana waoe maisha yao nao ni mabaya kwa maana kuoa kungekuwa kunarahisisha maisha wasingekuwa maskini bado kama walivyo” ukiunganisha na ulivyomaliza pale chini ndipo hoja yangu iliposimama.

Kwamba wewe binafsi upo ktk hatua gani kwanza kiumri,kimafanikio huku ukimuiga baba yako tajiri mwenye tofauti na hao wazee uliowataja hapo juu?
Uelewa wako ni mdogo sana umekimbilia kupanick
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Kama unaoa we oa tu, lakini mtu asikudanganye eti ndo utafanikiwa, Kama huna hela ndo utazidi kuwa masikini, ukipewa ushauri, Angalia kwanza na Hali yako, mtu asikupe nadharia ya zali, Duniani hakuna zali, mafanikio yanatokana na juhudi, hata maandiko yanasema hivyo.

We pambana ukipata hela, Kama unaona utaifirahia ukiwa na familia we oa tu, mbona Kuna watu hawana hela lakini wanatamani kutimiza ndoto ya kuoa? Kwani hakuna masikini wenye furaha?

Fanya ile kitu moyo unaipenda. Oa, tafuta pesa enjoy!
 
Kuna ambao wanaanza pamoja kutoka Chini, hao ni wengi pia
Katika iyo safari mwanamke alichangia nin? mtaji? ujuzi wa kitaaluma? connection ya kazi?.. usiniambie mchango wake ni sex na kupika chakula, huduma ambazo mwanaume anaweza kuzipata bila hata ya uwepo wa uyo mwanamke kwenye maisha yake.

Wanawake wa hivyo wengi huwa hawana options kwaiyo anaamua kujishikiza tu kwa mwanaume ili aje kujipa entitled kwenye mafanikio ya uyo mwanaume uko mbeleni.
 
Unanyimwa unyumba kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.
Na ikithibitika umechepuka umekwisha kabisa.
Mchepuko hana nafasi kwenye mali za watoto. 😅
Kwa hii comment yako bado kuna watu wanabisha kwamba ndoa sio utumwa kwa mwanaume.

Embu tu-switch upande, ikithibitika mwanamke amecheat au amembambikia mtoto mumewe je sheria inamuwajibisha vipi huyu mwanamke?
 
Kuna wazee wanawajaza sana ujinga vijana wanawahamisisha waoe na ukiangalia uchumi wao haueleweki eti mke anakuja na baraka

Wanawaambia utakachokula ndio hichohicho atakula mkeo

Sasa ugali wa mtu mmoja ni sawa na wa watu wawili?

Vijana tengenezeni uchumi kabla hamjaoa la sivyo mtawarithisha watoto wenu umasikini
Na hicho ndicho ninachowaambia watu hapa., mafanikio ni suala subjective ambalo halina connection ya moja kwa moja na ndoa labda uoe kimkakati from the first place, kama injia alivyooa kwenye familia ya gsm
 
Iyo nadharia itafanya kazi endapo utapata mwanamke mwenye mchango wa kiuchumi tu, huo ndio usahihi pekee.

Lakini kama hana huo mchango maana yake atakua liability nankukuongezea gharama za maisha kitu ambacho kitapunguza kazi ya kuyafikia mafanikio.
Hoja yako ni nzuri ulichokosea ni kitu kimoja haujaclassify generation ipi ya ndoa? Maana ndoa za zamani zimedumu na zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno hata sisi wengine ni product za hizo ndoa ni kwasababu wazazi wetu kila mmoja wao anajua jukumu lake na hata mafanikio yenyewe yamechangiwa na uimara wa mama zetu bila kupepesa macho unaona kabisa. Wewe ulitakiwa ujikite kwenye hii generation ya wanawake wa sasa je wana quality kama za mama zetu hawa je ni productive wanastahili kuolewa? Wanamchango wowote? Maana unaweza ukapingwa na watu kwenye uzi wako kumbe unayepingana nae ni wa kizazi cha Zamani na ndio waliobahatika kupata wanawake wa maana mfano mzuri Grahams
 
Kwa hii comment yako bado kuna watu wanabisha kwamba ndoa sio utumwa kwa mwanaume.

Embu tu-switch upande, ikithibitika mwanamke amecheat au amembambikia mtoto mumewe je sheria inamuwajibisha vipi huyu mwanamke?
Siku zote chanzo huwa ni nyie, hawezi chepuka bila sababu yoyote ile ilhali alikupenda na akakubali kuolewa na wewe
 
1. Kuchepuka
2. Ulevi kupindukia
3. Kuchelewa kurudi nyumbani
4. Kuzaa nje ya Ndoa
5.Dharau
Ukiyachoka hayo mwanamke unadai talaka na mwanaume atawajibishwa kwa kupoteza sehemu ya mali zake ambapo unapewa wewe kama compensation ya muda na mchango wako kwenye iyo ndoa.

Sasa tubadilishe upande mwanamke ndie umechepuka, mlevi, unachelewa kurudi nyumbani, umebeba mimba nje ya ndoa na mwanaume anataka mtalakiane je sheria itakuwajibisha vipi wewe mwanamke?
 
Ukioa mke sahihi/mwema ambaye anajua nini maana ya ndoa,anajua maana ya maisha ,anajua umuhimu wa familia na mume ktk maisha yake, anayeijua nafasi yake kwenye nyumba na mwenye hofu ya Mungu,lazima milango ya baraka ifunguke.Ila baraka wengi wanaitafsiri ktk hela,sometimes mnaweza mkawa na kipato cha kawaida huku maisha yenu yakawa yamejawa furaha na upendo.
Ni kweli lakini pamoja na sifa za huyu mwanamke uliemuongelea hapa tusisahau kwamba hisia zinabadilika, sasa huko mbeleni mwanamke huyu akikengeuka?

Tusisahau kwamba taasisi ya ndoa inalinda masilahi ya mwanamke haina time na masilahi ya mwanaume.

Kwaiyo bado tunarudi pale pale kwamba mfumo wa ndoa ni kandamizi kwa mwanaume
 
Hii conclusion wewe unaitoa wapi ikiwa bado hujaoa?Baba yako na mama yako bado wanaishi wote mpaka leo kipi kinakufanya kuanza kuwaza maisha ambayo huyaishi wala hujawahi kuyaishi huku kuna ambao wanayaishi na hawana habari?

Bold ndogo,kwa sababu tuna akili kuwazidi,that's it!
Achaneni na hizi fikra za kizamani, kama nyie mliingia kwenye ndoa blindly tu msifikiri na sisi tunatafanya ivyo ivyo.

Lazima kwanza tuziangalie hasara na faida tukiwa nje ya ndoa. Kwaiyo pale tunapozi-point hasara za ndoa tulieni.

Kizazi cha vijana wa sasa sio sawa na kizazi chenu ambacho mlikua mnaingia tu kwenye ndoa kichwa kichwa kama nyumbu
 
Back
Top Bottom