Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Mzee mmoja aliwahi niambia "ukitaka kuishi na mwanamke feminism vaa miwani ya mbao, pili kuna muda lazima uwe bubu au kiziwi Sijui alimaanisha nini
Kwa kifupi ni kwamba hawana utiifu na ile womanhood kama waliokua nayo wanawake wa zamani, kwaiyo anachotaka kumaanisha ndugu yetu wanaume tuzishushe standards zetu ili kwenda nao sambamba
 
Mwanaume mbishi mbishi na Mjuaji kweli ataona ndoa ni chungu na haina faida.
Wanaume waelewa wanajua utamu wa ndoa na Wala hakuna hayo unayoeleza.

Ndoa ni kuelewana wote wawili kuwa kitu kimoja.

Uanze kuchepuka nani akuache wewe adhabu ni kupukutisha mali zako unazoshindwa kuzitumia kwa akili. 😜😜😜
Ni lini wanawake mmeanza kutusemea wanaume? Mnafikiri hatujui mkitumwagia misifa iyo ni ishara ya hatari?
 
Hakuna shule ya kufundisha kanuni za maisha ya ndoa masta take it from me mtakaririshwa hivyo hivyo kanuni za kwenda kuajiriwa etc lakini hiyo sahau.

Kwamba mkeo CEO sijui manager ufundishwe utaishi nae hivi au vile?na kwanini kuoa mke aliyejikomboa kiuchumi usioe mlio sawa ili nguzo uwe wewe?ukitaka dezo utaumia inajulikana mwanamke na mali ni maji na mafuta wewe ukajichanganye kisa hukufundishwa shule namna ya kuishi nae uje kushambulia taasisi ya ndoa?
Mfumo mzima wa ndoa katika ufanyaji kazi wake na endapo ndoa ikifika tamati ni kandamizi kwa mwanaume., hivi kwanini mnataka mambo rahisi kueleweka yaonekane magumu
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Ukioa mke sahihi/mwema ambaye anajua nini maana ya ndoa,anajua maana ya maisha ,anajua umuhimu wa familia na mume ktk maisha yake, anayeijua nafasi yake kwenye nyumba na mwenye hofu ya Mungu,lazima milango ya baraka ifunguke.Ila baraka wengi wanaitafsiri ktk hela,sometimes mnaweza mkawa na kipato cha kawaida huku maisha yenu yakawa yamejawa furaha na upendo.

Changamoto ktk kizazi hiki cha sasa kumpata huyo mke mwema ni shughuli tena si ya kitoto.
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Ninyi ndio (foolish principal -FP)wapumbavu waandamizi.tupe mifano ya matajiri Tanzania ambao hawajaoa.
 
Ukioa mke sahihi/mwema ambaye anajua nini maana ya ndoa,anajua maana ya maisha ,anajua umuhimu wa familia na mume ktk maisha yake, anayeijua nafasi yake kwenye nyumba na mwenye hofu ya Mungu,lazima milango ya baraka ifunguke.Ila baraka wengi wanaitafsiri ktk hela,sometimes mnaweza mkawa na kipato cha kawaida huku maisha yenu yakawa yamejawa furaha na upendo.

Changamoto ktk kizazi hiki cha sasa kumpata huyo mke mwema ni shughuli tena si ya kitoto.
Ubarikiwe sana
 
Kuna wazee wanawajaza sana ujinga vijana wanawahamisisha waoe na ukiangalia uchumi wao haueleweki eti mke anakuja na baraka

Wanawaambia utakachokula ndio hichohicho atakula mkeo

Sasa ugali wa mtu mmoja ni sawa na wa watu wawili?

Vijana tengenezeni uchumi kabla hamjaoa la sivyo mtawarithisha watoto wenu umasikini
 
Mfumo mzima wa ndoa katika ufanyaji kazi wake na endapo ndoa ikifika tamati ni kandamizi kwa mwanaume., hivi kwanini mnataka mambo rahisi kueleweka yaonekane magumu
Hii conclusion wewe unaitoa wapi ikiwa bado hujaoa?Baba yako na mama yako bado wanaishi wote mpaka leo kipi kinakufanya kuanza kuwaza maisha ambayo huyaishi wala hujawahi kuyaishi huku kuna ambao wanayaishi na hawana habari?

Bold ndogo,kwa sababu tuna akili kuwazidi,that's it!
 
Unajuwa Mtume Mussa alipokuwa na shida tena ugenini, aliomba nini akapewa nini na Mwenyezi mungu?
 
Kuna wazee wanawajaza sana ujinga vijana wanawahamisisha waoe na ukiangalia uchumu wao haueleweki eti mke anakuja na baraka

Wanaawambia utakachokula ndio hichohicho atakula mkeo

Sasa ugali wa mtu mmoja ni sawa na wa watu wawili?

Vijana tengenezeni uchumi kabla hamjaoa la sivyo mtawarithisha watoto wenu umasikini
Natamani nijue umri wako mpaka sasa ni miaka mingapi na hayo unayoyaita maisha umeyatengeneza kwa kiwango gani wakati ukizisogelea siku za kuoa ili wanao usiwaachie umaskini!

Kwa sababu baba yako alijitengenezea maisha mapema wewe ulikulia mboga saba eti?na leo kila mmoja hapo nyumbani anaweza akapewa nyumba yake biashara akasoma anakotaka siyo?acheni masihara maisha siyo maigizo wazee hahah
 
Hebu tuambie rafiki, wengi hatujui aliomba nini Nabii Mussa Salaam?
Qur'an 28:24. Basi Musa akawanyweshea; kisha akarudi kivulini, na akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia. 24

Dua hiyo ilijibiwa kwa Muumba wetu kumpatia Kazi, mke na pakuishi.
 
Back
Top Bottom