Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kwanini huo uhuru umeuambatanisha na mambo mabaya tu? Hakuna ambao wameutumia huo uhuru kufanya mambo mazuri? Mimi sijaoa kwaiyo nina uhuru wa kutumia kipato changu kwa ajiri ya masilahi yangu tu na hii imeniwezesha kununua kiwanja na kuanza ujenzi kitu ambacho ingekua kigumu kidogo kama ningekua nimroa kwa sababu kumtunza mke kungeniongezea gharama za maisha. Hauoni kama uhuru umeninufaisha?
Hongera
Kuna wengine nidhamu ya kupambania hayo malengo hawana,
Humu mitaani tunayaona, pia kuna wengine wameoa wamekaa kwenye mstari
Kikubwa cha kuomba ni kupata mwenza sahihi mwenye akili ya kujua akae nafasi gani katika ndoa.
 
Hoja yako ni nzuri ulichokosea ni kitu kimoja haujaclassify generation ipi ya ndoa? Maana ndoa za zamani zimedumu na zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno hata sisi wengine ni product za hizo ndoa ni kwasababu wazazi wetu kila mmoja wao anajua jukumu lake na hata mafanikio yenyewe yamechangiwa na uimara wa mama zetu bila kupepesa macho unaona kabisa. Wewe ulitakiwa ujikite kwenye hii generation ya wanawake wa sasa je wana quality kama za mama zetu hawa je ni productive wanastahili kuolewa? Wanamchango wowote? Maana unaweza ukapingwa na watu kwenye uzi wako kumbe unayepingana nae ni wa kizazi cha Zamani na ndio waliobahatika kupata wanawake wa maana mfano mzuri Grahams
Umesema sahihi kabisa Mkuu, Wanawake wengi wa zamani walikuwa viwango tofauti na sasa
 
Hongera
Kuna wengine nidhamu ya kupambania hayo malengo hawana,
Humu mitaani tunayaona, pia kuna wengine wameoa wamekaa kwenye mstari
Kikubwa cha kuomba ni kupata mwenza sahihi mwenye akili ya kujua akae nafasi gani katika ndoa.
Ni kweli, pamoja na kutafuta mtu sahihi pia tusiache fate zetu mikononi mwa mtu mwingine kwa kufikiri kwamba ni mtu sahihi.

Watu wanabadilika, hisia zinabadilika na mifumo ya kijamii na kiutawala haina time na masilahi ya mwanaume, kwaiyo tusisahau kukaa kitaalamu.

Huku PM kwangu napewa visa vingi sana vya watu waliopigwa matukio na wanawake, kwaiyo haya ninayoyaandika yapo katika jamii yetu hii hii. Ni vile tu maumivu ya mwanaume hayapewi airtime kama ilivyo kwa wwnzetu wanawake
 
Kuto Kuoa ama Kuoa hakuwezi kukufanya ufanikiwe ama ushindwe.

Japo Kuoa Kuna nafasi kubwa sana za kukufanya Ufanikiwe.

~Unapooa, kama hujanunua kiwanja utaanza kufikiria kununua na kujenga
~Utaachana na kubadirisha Wanawake, hivyo utakuwa na nafasi ya kutulia na Mwanamke mmoja ambaye mtafanya naye maisha
~Kama ulikuwa na kawaida ya kukesha Baa, Unapooa lazima utaacha hiyo tabia hivyo kukufanya upate muda mwingi wa kujiuliza na kutafakari kuhusu maisha na kuja na mawazo mbadala ya kufanya kuongeza kipato
~Unapata heshima tofauti na ukiwa single, hivyo ni rahisi kuaminiwa Kwa nafasi mbalimbali Kazini hata biashara. Nafasi ambazo zinaweza kukuongezea kipato n.k

Vijana oeni Kwa mustakabali wa maisha yenu ya sasa na baadaye
Ongeza sauti babu upande wa huku hawajaskia
 
Apataye mke apata kitu chema, amepata kibali kwa kwa Bwana, zingatia neno kibali,

Huwez kuwa kiongozi mkubwa bila kuoa, lazima uwe na mke ndipo uaminike, Hata Ben alilazimika kuoa ili awe Raisi, kuna fursa kama

Apataye mke apata kitu chema, amepata kibali kwa kwa Bwana, zingatia neno kibali,

Huwez kuwa kiongozi mkubwa bila kuoa, lazima uwe na mke ndipo uaminike, Hata Ben alilazimika kuoa ili awe Raisi, kuna fursa kama hizo huwezi pata kama haujaoa mkuu
Benjamin William Mkapa alimuoa Anna Joseph Maro mnano August 27, 1966 na Akaja kuwa Rais mnano 1995.
 
Ndoa ni Heshima ndoa ni Utamaduni ndoa ni Dini Ndoa ni Uhalali.

Ukipata Mwanamke Anaeujua Ufeminism na akajua Ubaya wake na Akautukana mbele yako Oa nasisitiza Oa.

Na kama haujui basi mfundishe aujue hadi aelewe kuwa ni Mfumo wa KISHETANI. akielewa OA.

Akikengeuka ndani ya Ndoa Usicheleweshe Kupiga Chini HUTOISHI MAISHA YA AMANI NA FURAHA NA FEMINIST.

LABDA KAMA UTAKUBALI NA WEWE UWE MWANAMKE.
 
Hapo ni sawa na kuuza uhuru wako binafsi,yaan hela yangu halafu nihojiwe tena,sasa nimetafuta za nini? Labda punguani ndiyo anaweza hizo kazi za kuhojiwa.
Yeah, uko sahihi.

Lakini ili ufanikiwe kifedha ni lazima uuze uhuru wako binafsi, ndio maana watu wanaajiri financial planners. Hela ni zako lakini unapangiwa cha kufanya.
 
Qur'an 28:24. Basi Musa akawanyweshea; kisha akarudi kivulini, na akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia. 24

Dua hiyo ilijibiwa kwa Muumba wetu kumpatia Kazi, mke na pakuishi.
Asante kwa ufafanuzi, Nakupenda sana Faiza.
 
Sasa kila ntu akiwa Rais inakuwaje? Watu wote hamuwezi kuwa viongozi.
Ndio maana nikaonyesha namna kuoa kunavyoweza kufanya ukafanikiwa baadhi ya maeneo, lakini katika mazingira mengine ili ufanikiwe ni sharti uwe umeoa. sijui hapo umeelewa
 
Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.

= delusional


JF tunajazana sana ujinga.

Uneducated fools from uneducated schools.
 
Mkuu angalia tu usije pata mhaho sababu wanaume wa sasa wabishi mno, wataoa tu hata wakiwa wanakatwa vichwa saa ya ngono kama mdudu vunja chungu.
images - 2024-10-23T202842.534.jpeg
 
Back
Top Bottom