Kuna dini inawafanyia 'brain wash' washirika wake kila mwisho na mwanzo wa mwaka

Kuna dini inawafanyia 'brain wash' washirika wake kila mwisho na mwanzo wa mwaka

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Twende kwenye mada direct.
Kila wiki ya mwisho ya December kuna dini inawafanyia brain wash washirika wake. Hapo wanasahaualishwa waliyotabiriwa mwaka unaoisha ambayo ni hewa (hayajatimia) na kutabiriwa mambo mapya.

Basi wanapigwa msasa mpaka wanafikia hatua kila muumini analiona ghorofa lake katika ulimwengu wa roho, range, V8, kazi nzuri anaiona hata kama alifeli form 4, na mwisho hutoa sadaka.

Mwaka unaingia wanakula msoto ikifika tena mwisho wa mwaka wanapigwa tena msasa (brain wash).

Hilo jambo ni continuous milele na milele.

Tufanye kazi, tusomeshe watoto jamani.
 
Twende kwenye mada direct.
Kila wiki ya mwisho ya December kuna dini inawafanyia brain wash washirika wake. Hapo wanasahaualishwa waliyotabiriwa mwaka unaoisha ambayo ni hewa (hayajatimia) na kutabiriwa mambo mapya.

Basi wanapigwa msasa mpaka wanafikia hatua kila muumini analiona ghorofa lake katika ulimwengu wa roho, range, V8, kazi nzuri anaiona hata kama alifeli form 4, na mwisho hutoa sadaka.

Mwaka unaingia wanakula msoto ikifika tena mwisho wa mwaka wanapigwa tena msasa (brain wash).

Hilo jambo ni continuous milele na milele.

Tufanye kazi, tusomeshe watoto jamani.
Unaficha nini? Hiyo ni dini ya ukristo full stop
 
Mbona hujaja na taarifa kamili
Kwanini hujaelezea kanisa gani na mtumishi gani? Na kwenye hiyo event uliyokuwepo alisema nini na washirika ndipo wakaanza kutoa sadaka
 
Hili jukwaa libadilishwe liwe jukwaa la kuusema Ukristo maana asilimia 80 ya mada hapa zinaulenga Ukristo tu. Nadhani jf wafikilie Hilo.
 
Twende kwenye mada direct.
Kila wiki ya mwisho ya December kuna dini inawafanyia brain wash washirika wake. Hapo wanasahaualishwa waliyotabiriwa mwaka unaoisha ambayo ni hewa (hayajatimia) na kutabiriwa mambo mapya.

Basi wanapigwa msasa mpaka wanafikia hatua kila muumini analiona ghorofa lake katika ulimwengu wa roho, range, V8, kazi nzuri anaiona hata kama alifeli form 4, na mwisho hutoa sadaka.

Mwaka unaingia wanakula msoto ikifika tena mwisho wa mwaka wanapigwa tena msasa (brain wash).

Hilo jambo ni continuous milele na milele.

Tufanye kazi, tusomeshe watoto jamani.
Kila kitu ni imani
Imani hujenga
Imani huua
Imani hufubaza
Imani hustawisha
Imani hupoteza
Ukiwa na imani thabiti hata kwa ukubwa wa chembe ya haradali unaweza kuhamisha hata milima
 
Kila kitu ni imani
Imani hujenga
Imani huua
Imani hufubaza
Imani hustawisha
Imani hupoteza
Ukiwa na imani thabiti hata kwa ukubwa wa chembe ya haradali unaweza kuhamisha hata milima
Sasa ile Imani ya kuwaibia watu fedha kwa kuwadanganya wanamtolea Mungu huku nabii ananywea k vant na kuhonga hatuitaki
 
Twende kwenye mada direct.
Kila wiki ya mwisho ya December kuna dini inawafanyia brain wash washirika wake. Hapo wanasahaualishwa waliyotabiriwa mwaka unaoisha ambayo ni hewa (hayajatimia) na kutabiriwa mambo mapya.

Basi wanapigwa msasa mpaka wanafikia hatua kila muumini analiona ghorofa lake katika ulimwengu wa roho, range, V8, kazi nzuri anaiona hata kama alifeli form 4, na mwisho hutoa sadaka.

Mwaka unaingia wanakula msoto ikifika tena mwisho wa mwaka wanapigwa tena msasa (brain wash).

Hilo jambo ni continuous milele na milele.

Tufanye kazi, tusomeshe watoto jamani.
Bila kuwasema wakristo au kuiponda imani yao hamujiskii raha😂😂😂Waislamu wa kidgitali mnafurahisha
 
Back
Top Bottom