Kuna Evidence kwanini Rais Samia kasema wananchi hawajui katiba NAMI naunga mkono👇

Kuna Evidence kwanini Rais Samia kasema wananchi hawajui katiba NAMI naunga mkono👇

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa 😃

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa [emoji2]

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
Kwani kuijua katiba ndo inafanya mtu Asiibe?? Tunachotakiwa ni kuwa na strong Institute
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa 😃

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
Ni wewe na ukoo wenu hamjui Katiba. Usituingize kwenye umbumbu wenu. Pumbavu wewe.
 
1694478021442.png
KUMOTO (KU'FIRE!)!!!
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa 😃

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
Nona unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.
 
Naunga mkono hoja. Huwezi kuuza nchi waziwazi kwa waarabu na kujipendekeza huko Arabuni na ukakaa kimya tu bila hofu yoyote huku nchi ikiwa na vikosi vya ulinzi na usalama. Ningekuwa Mimi mngemkuta huyo mama yenu segerea zamaniii
Inside story had it, soldiers wameingilia kati issue ya Bandari
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa 😃

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
ukweli ni kwamba, sio kwamba wananchi wanahitaji katiba saaana. ni kwamba wameichoka ccm, na wanatumia hiyo kutaka katiba kama njia mojawapo ya kutafuta kuiondoa madarakani tu kwasababu wanaamini pengine katiba inaweza kusaidia hilo. ccm wao na shingo zao ngumu wanajifanya kama hawalijui hilo, mioyo ya watanzania haiwataki kabisa na hiyo ni hatari sana kwasababu siku wakipata upenyo au akitokea mkombozi akawahamasisha vizuri, ccm watajua hawajui. huku mtaani watu wana chuki za toka moyoni kabisa hasa baada ya bunge lisilokuwa na upinzani hili kuamua hatima ya maisha yao lipendavyo, wana hasira na wengine imefikia hatua hata hawashirikiani kijamii na wanaccm. hii ni hatari ambayo ccm wanatakiwa kuijua na ipo mioyoni mwa watu.
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa 😃

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
Huu ndiyo mtaala hiyo elimu?
Wananchi walipewa siku mbili tu kutoa maoni yao juu ya DPW kule bungeni, hili la Katiba miaka mitatu, hivi kwa teknolojia ya sasa unahitaji miaka mitatu ya nini
 
Iko hivi! Rais na chama chake wamepiga matukio mengi ambayo Raia wangeakua wanatambua haki zao kikatiba CCM ingeweza kuwa historia hivi tunavyo ongea.

Kwa uchache
. 1 ufisadi mkubwa awamu mbalimbali za utawala wa CCM wananchi wamekaa kimya.

. 2. Wizi wa kura wa wazi wazi wananchi kimya.

3. Kuwanyima wananchi haki ya kuchagua kiongoz wanaye mtaka, hii ilijionyesha wazi 2019 na 2020 pale Magufuli aliamua kutuchagulia wabunge anaowataka yeye bila kupigiwa kura, wananchi kimyaaa.

Kwa ufupi ni kwamba CCM wamepiga matukio mpaka imefikia wao wenyewe wanashangaa kama kweli raia tunajielewa na kuelewa haki zetu. Maana marazote wanazoharibu tupo kimyaaa [emoji2]

Kwahiyo Sasa watapita majumbani kutufundisha katiba
Muulize Samia mwenyewe kama anaijua Katiba. Kitendo cha kuendelea kuwalipa covid 19 waliopo Bungeni ni kuvunja katiba. Yeye haijui nitafutie hotuba yake ambayo kanukuu vifungu vya katiba.
 
Mzee wangu nikiianza kimkosoa SAMIA ananigokea sana sasa sijui kaoa wake wawili sijui Samia kampa nini
 
Tatizo wanatumia vyombo vya dola kufanya intimidation kwa wananchi, laiti kama mambo yangefanyika kwenye fair ground hiki chama kingekuwa mahututi.

Hivi inakuwaje tanzania iongozwe na chama kiasisi.
 
ukweli ni kwamba, sio kwamba wananchi wanahitaji katiba saaana. ni kwamba wameichoka ccm, na wanatumia hiyo kutaka katiba kama njia mojawapo ya kutafuta kuiondoa madarakani tu kwasababu wanaamini pengine katiba inaweza kusaidia hilo. ccm wao na shingo zao ngumu wanajifanya kama hawalijui hilo, mioyo ya watanzania haiwataki kabisa na hiyo ni hatari sana kwasababu siku wakipata upenyo au akitokea mkombozi akawahamasisha vizuri, ccm watajua hawajui. huku mtaani watu wana chuki za toka moyoni kabisa hasa baada ya bunge lisilokuwa na upinzani hili kuamua hatima ya maisha yao lipendavyo, wana hasira na wengine imefikia hatua hata hawashirikiani kijamii na wanaccm. hii ni hatari ambayo ccm wanatakiwa kuijua na ipo mioyoni mwa watu.
Ni kweli Chief. Na ndo maana ccm wamejishikisha kwenye vyombo vya Dola wakiamini ndio salama Yao at least kwa sasa
 
Back
Top Bottom