Andika vizur huelewekiUnakufa mkeo naoa utakua umesaidia nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika vizur huelewekiUnakufa mkeo naoa utakua umesaidia nn?
Hiyo wheel spana Hadi ufungie Buti wakati chuma zinalia,labda ungesema kingine mkuu.. matumizi ya gear river yangemsaidia sana Bora angegonga ata mmoja aue kabisa matakataka hayoFala sana hata wheel spana ingetosha basi ukikosa trai engo!
Waache wafe na mama yao kama mazingira ya mapambano yanaweza kukupotezea uhai......Hahaha, ukiwa umebambikiziwa?
Hahahaha, Una roho mbaya sana mkuu.Waache wafe na mama yao kama mazingira ya mapambano yanaweza kukupotezea uhai......
Unaweza kunibless pdf mkuuWanaume fanyeni mazoezi ,hizo ni athari zake !Utasikia ohoooo maisha yenyewe mazoezi stupid kabisa ,mwingine utasikia Mimi sisomi vitabu sina muda stupid kabisa .Mwisho kabisa hongera Erik Kabendera kumbe joni aliachana na mke wake kabla ya Kuwa Rais 😆😆😆 kwenye kamati ilibidi wazeee waende wamwombe mama arudi Kwa mumewe so sad
Tukiacha masihara pembeni mkuu.....Hahahaha, Una roho mbaya sana mkuu.
Kuna jamaa alikuwa na rungu "wakamtigo" na hiyo rungu...zana za jadi ambazo mwisho wa siku zinaweza kuwaepusha na aibu kama hizo.
Upo sawa, unless umeamua utoe sadaka siyo utegemee chochote kutoka kwake.Tukiacha masihara pembeni mkuu.....
Nakuhusia kamwe usifikie hatua ya kuhatarisha maisha au Uhai wako kwa ajili ya mwanamke......pigania watoto wako hata kama wakija kukutupa......lakini sio mwanamke......
Wapo waliowahi kutoa figo zao kwa ajili ya kuokoa uhai wa wapenzi wao lakini pia wakawakimbia.....
Juu ya mwanamke fanya kwa kiasi.....
Kwa hiyo unaona jamaa yupo sawaMnyama yeyote anapokabiliwa na hatari hua ana option 2: fight or flight (kupambana au kukimbia). Kufa is not an option!
Manake sasa ukifa ndio unakua umefanya nini? Hata simba mwenyewe na maguvu yote lakini kuna wakati akishaona hapa kazidiwa hua anatimua mbio balaa.
Mkuu mbona unauliza swali ambalo jibu lake lipo wazi kabisa.Kwahiyo na wewe ungefanya kama alivyofanya jamaa?.
Hatimae wabakaji wamefikiwa kwa hio una hamu ya kubakwa na wewe?Kubakwa muda mwingine kuna raha yake. Hasa kama mumeo ni "kimoja chali"
Duuh!Kubakwa muda mwingine kuna raha yake. Hasa kama mumeo ni "kimoja chali"
Khalaghabhahoo!Hiii n kama story ya wale wazeee wa itaendelea
Hivyo ndivyo itakavyokuwa mimi na wewe tutakufa na wake zetu wataolewa, ila Mimi napata malipo kwa Allah wewe hupati kwa sababu ya Nia, ila wewe inaonekana uko upande wa jamaa ambaye mke wake kadhulumiwa, pole kwa mke wakoUnakufa mkeo naoa utakua umesaidia nn?