kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Wewe ishi humo kwenye social media haya yanatokea na mpaka likufike!Ingawa ni CHAI itoshe kusema jamaa alikosea. Na kwenye huu ulimwengu wa social media ni wapi huko wanaweza kuchoma magogo na matairi barabarani huku wakifanya uporaji hadharani bila kujulikana?